Hata sijui kama anakuelewa chief, kuna vijana wenzetu humu wakipata hela ya kula leo hawajali ya kesho, hii ni shida kubwa sana.ww fala kilimo cha tz wateja wetu wakubwa ni kenya
mipaka ikifunguliwa gunia la mahindi linauzwa hadil 120k na sometimes wanalifata hap hapa
tangu wafunge gunia linacheza 30-50k
You are talking nonsense kabisa. Hujui uchumi hata kidogo. Umeandika pumba kabisa.Wakulima Walime, Watanzania tule kwani Kenya tu ndo wanamatumbo peke Yao?.. Viongozi wetu sio wajinga na sisi Watanzania tupunguze uoga, changamoto kidogo tu mshaanza kupost Mabandiko...
nimekuuliza unalima kuuzia wakenya peke yake au?Apple, tende na mazao mengine yaliyopo sokoni ambayo hatupimi Tz, unafikiri ni kwanini? Kilimo ni biashara kama zilivyo biashara nyingine.
Ficha ujinga wako, dhana nzima ya comparative advantage hujui.kwani unalima kwa ajiri ya kenya!!!
unafikiri kenya wakianza kulima na wao utamuuzia nani mahindi??
Nchi hii usipokuwa mwanasiasa lazima upate tabuKati ya majirani zetu ambao wanapaswa wawe soko letu kubwa la bidhaa za kilimo na biashara nyingine ni Wakenya...
Wakulima wasiwe na shaka, serikali ya magufuli itanunua tangawizi zoooote kama ilivyo nunua coroshow za mtwaraKilimanjaro kuna kilimo cha tangawizi na vitunguu, mazao ambayo yana soko Kenya..kwa muda sasa soko la hayo mazao limeyumba kweli..kiwanda chenyewe cha tangawizi huko Miamba kina taralila sio za kitoto. Dahhh!!
ukificha ujinga unakomaa unakuwa upumbavu,na hautakutoka tena.Ficha ujinga wako, dhana nzima ya comparative advantage hujui.
Tunasema 70% ya watanzania ni wakulima sasa inakuwaje hiyo 70% inashindwa kujilisha yenyewe na hiyo 30% mpaka tuzuie kusafirisha nje?ww fala kilimo cha tz wateja wetu wakubwa ni kenya
mipaka ikifunguliwa gunia la mahindi linauzwa hadil 120k na sometimes wanalifata hap hapa
tangu wafunge gunia linacheza 30-50k
Mawazo kama haya ndio huwa mnamshauri matokeo mambo yanawatokea puani kama koroshoWakulima Walime, Watanzania tule kwani Kenya tu ndo wanamatumbo peke Yao?.. Viongozi wetu sio wajinga na sisi Watanzania tupunguze uoga, changamoto kidogo tu mshaanza kupost Mabandiko, Kama hawanunui wao tutauza kwingine watakapo hitaji, ikishindikana tuuziane humuhumu Maisha yaendelee mi hua hainingii akilini kununua debe la Mahindi 20,000 wakati mengine yanapelekwa Kenya huko.. hii Ni Vita ya kiuchumi na Kenya wameshaona Kuna uwezekano wakageuka koloni la Tanzania.. Punguzeni Uoga Vijana, maendeleo hayaji bila changamoto.. Sengwile Makamanda!!
Wewe ni mjinga sana kenya igeuke koloni la tanzania??Wakulima Walime, Watanzania tule kwani Kenya tu ndo wanamatumbo peke Yao?.. Viongozi wetu sio wajinga na sisi Watanzania tupunguze uoga, changamoto kidogo tu mshaanza kupost Mabandiko, Kama hawanunui wao tutauza kwingine watakapo hitaji, ikishindikana tuuziane humuhumu Maisha yaendelee mi hua hainingii akilini kununua debe la Mahindi 20,000 wakati mengine yanapelekwa Kenya huko.. hii Ni Vita ya kiuchumi na Kenya wameshaona Kuna uwezekano wakageuka koloni la Tanzania.. Punguzeni Uoga Vijana,. We so bure
Taifa lina hasara kubwa kuwa na watu wa aina hii. Hivi unajua gharama za kulima wewe? Ulishawahi kujiuliza ni kwanini mkulima wa kenya na nje ni watu wa vipato vya juu na mkulima wa tz anaongoza kwa umasikiniWakulima Walime, Watanzania tule kwani Kenya tu ndo wanamatumbo peke Yao?.. Viongozi wetu sio wajinga na sisi Watanzania tupunguze uoga, changamoto kidogo tu mshaanza kupost Mabandiko, Kama hawanunui wao tutauza kwingine watakapo hitaji, ikishindikana tuuziane humuhumu Maisha yaendelee mi hua hainingii akilini kununua debe la Mahindi 20,000 wakati mengine yanapelekwa Kenya huko.. hii Ni Vita ya kiuchumi na Kenya wameshaona Kuna uwezekano wakageuka koloni la Tanzania.. Punguzeni Uoga Vijana,. We so bure
Kenya sasa hivi wanakimbizana na nchi za ulaya kwenye kilimo. Afrika wameshampiga bao south na misri kitambo, hawa vijana wanashinda jukwaa la siasa hawasomi yanayojiri kenya na nje ya tz matokeo yake ndio hayaWewe ni mjinga sana kenya igeuke koloni la tanzania??
Wakenya wananunua mazao kwa bei nzuri.Ina maana mnalima ili muwauzie Kenya? Basi nyie mnaolima ni wajinga