Nasikitishwa sana na kuhisi ninahujumiwa na hawa watoa huduma za ku "host" wavuti (website) wa hapa Tanzania

Nasikitishwa sana na kuhisi ninahujumiwa na hawa watoa huduma za ku "host" wavuti (website) wa hapa Tanzania

Ivan Stepanov

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2023
Posts
6,799
Reaction score
22,209
Sina uhakika kama haya mambo wanafanya wakiwa wanajua uzito wa madhara wanayoweza au wamekua wakusababisha kwetu sisi wateja wao. Kwakweli leo hii nimehisi kukosa kabisa uvumilivu.

Sijui hata niandike nini, niache nini lakini ninyi wajasiriamali wazalendo ambao kwa nia njema kabisa tunaamua kuwaunga mkono na kufanya kazi na nyie, aisee jiangalieni sana sana.

Haiwezena server down-time inamaliza all the 12 day hours bila service kupatikana.
Mtu ume purchase a private virtual server ku manage mifumo ya wateja wako halafu unakutana na ujinga huu ambao kampuni ya RouteAfrica wanatusa nao sisi wateja wao.

Hawana majibu ya maana zaidi ya kukuambia "kuna changamoto National Data Centre".
Seriously, ndio kusema kwamba hamna backup servers incase of emergency ili kutoruhusu sintofahamu kama hii??

Imagine sis wateja wenu tuna wateja wetu ambao ofis zao operation haziend bila systems kuwa hewan????Mnafikiria sisi tunaweza kuwapa majibu rahis rahis hii?

THe whole day today servers are under down-time status na hamna alternative zozote?? Na mwishobwa siku hamna demage compensation zaidi ya viji samahani vyenu.

ROUTEAFRICA niwashauri sanaa ,acheni huu ubabaishaji. Na ninyi ni mfano tu maana karibia Hosting agents wengi Tanzania mna changamoto sana za namna ya ku address na ku handle service faults zinazosababisha sisi wateja wenu kuharibikiwa reputations kwa wateja wetu!.

Badilikeni.

Screenshot_20240902_173408_Samsung Internet.jpg
 
Hii ndio changamoto ya wataalam wetu wa Tanzania.

Nina changamoto kama yako na imechukua muda kutatua na hivi nilikuwa mbali ndio ikaongeza ugumu haswa hadi nikapata msaada wa Indian dude .

Wajirekebishe.
 
Wabongo sisi ni chenga Sana, vipi haiwezekani kuangalia huduma hiyo kwa wakenya maybe??
MWanzoni nilikua najaribu kukwepa sana kufanya kaz na hawa international agents kwa kigezo cha kutokujua their exact office kama ambavyo utafanya kaz na hawa wa hapa. Lakin kwa hatua niliofikia, nitajaribu japo, hawa wanaonizingua wako huko kote Kenya, rwanda uganda ghana kwakifupi wametapakaa Africa
 
MWanzoni nilikua najaribu kukwepa sana kufanya kaz na hawa international agents kwa kigezo cha kutokujua their exact office kama ambavyo utafanya kaz na hawa wa hapa. Lakin kwa hatua niliofikia, nitajaribu japo, hawa wanaonizingua wako huko kote Kenya, rwanda uganda ghana kwakifupi wametapakaa Africa
Jaribu hata wahindi, huwa nalipia huduma ya kutunza data fulani.

Kwa kweli sija wahi kuwa disappointed, cheki uone na Bei zao huwa nafuu.
 
Hii ndio changamoto ya wataalam wetu wa Tanzania.

Nina changamoto kama yako na imechukua muda kutatua na hivi nilikuwa mbali ndio ikaongeza ugumu haswa hadi nikapata msaada wa Indian dude .

Wajirekebishe.
Kumbe siko peke yangu mkuu, hawa jamaa halaf hata simu hawapokei, emauls hawajibu. Na kuna time hata faukt hawajui kama system zao zina shuda mpaka wewe ndio uwashtue ndio waanze kuhangaika. Very disappointing kwakwel
 
Jaribu hata wahindi, huwa nalipia huduma ya kutunza data fulani.

Kwa kweli sija wahi kuwa disappointed, cheki uone na Bei zao huwa nafuu.
Kwa habari ya bei wala sikupingi, hawa wa kwetu tunalipa bei kubwa mnoo kuliko wa nje hilo nalifaham sema kwakua ni watoa huduma wa ndani nikawa naona acha tu nifanye kaz na hawa ila kwa hapa nilipofikia hapana
 
Sina uhakika kama haya mambo wanafanya wakiwa wanajua uzito wa madhara wanayoweza au wamekua wakusababisha kwetu sisi wateja wao. Kwakweli leo hii nimehisi kukosa kabisa uvumilivu...
Pole mkuu ila kati ya vitu ambavyo niliachana navyo kitambo ni hawa hosting provider wa bongo, weledi zero kabisa na kwenye hili niseme tu wakenya wametupiga bao kwa maana angalau wanajitahidi tahidi kidogo.
 
Pole mkuu ila kati ya vitu ambavyo niliachana navyo kitambo ni hawa hosting provider wa bongo, weledi zero kabisa na kwenye hili niseme tu wakenya wametupiga bao kwa maana angalau wanajitahidi tahidi kidogo.
Leo nimenyoosha mikono..not any more kwakwel
 
Leo nimenyoosha mikono..not any more kwakwel
Kuna vitu vya kusapotiana mkuu ila sio kwenye vitu serious na sensitive kama hivo, hasara kubwa sana wanasababisha... hawa unawasapoti kwenye viproject ambavyo havihitaji ungalizi wa karibu ila project kubwa weka maeneo ambayo unauhakika wanahost mifumo mikubwa duniani.
 
Kuna vitu vya kusapotiana mkuu ila sio kwenye vitu serious na sensitive kama hivo, hasara kubwa sana wanasababisha... hawa unawasapoti kwenye viproject ambavyo havihitaji ungalizi wa karibu ila project kubwa weka maeneo ambayo unauhakika wanahost mifumo mikubwa duniani.
Nimejuta sana..
 
Kuna vitu vya kusapotiana mkuu ila sio kwenye vitu serious na sensitive kama hivo, hasara kubwa sana wanasababisha... hawa unawasapoti kwenye viproject ambavyo havihitaji ungalizi wa karibu ila project kubwa weka maeneo ambayo unauhakika wanahost mifumo mikubwa duniani.
Nimejuta mnoo, na kwakwel nimeingia hasara. Na mbaya zaid kwa nature ya systems nime host huko siwez hamisha haraka hara , hapa ni lazima nisubiri mpaka December ambao wateja wengi wanakua likizo ndefu na operations zina simama
 
Kumbe siko peke yangu mkuu, hawa jamaa halaf hata simu hawapokei, emauls hawajibu. Na kuna time hata faukt hawajui kama system zao zina shuda mpaka wewe ndio uwashtue ndio waanze kuhangaika. Very disappointing kwakwel
Hawako makini na kazi zao, ni company ya Tanzania(nawafichia jina) na inamilikiwa Indians ilikuwa ina-operate na kunipatia hadi huduma ya Fiber Internet na sijawahi kukanyaga ofisi zao zaidi ya mawasiliano tu mtandaoni lakini huduma mbovu hadi nigundue mimi, staff's or B partners tena muda mwingine hadi staff's wawasiliane na mimi ili kuwa push bila ya hivyo napokea malalamiko toka kwa wafanyakazi kila muda.

Upande wa Internet ilikuwa changamoto na sifahamu kwanini hawaongezi umakini kwenye kazi zao, upande wa Internet bado nalifanyia kazi kwa watoa huduma ya uhakika.
 
Nimejuta mnoo, na kwakwel nimeingia hasara. Na mbaya zaid kwa nature ya systems nime host huko siwez hamisha haraka hara , hapa ni lazima nisubiri mpaka December ambao wateja wengi wanakua likizo ndefu na operations zina simama
Fanya backup na kwenye cloud kama inawezekana like AWS au Google.
 
Back
Top Bottom