dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
VPS za maana zipo EU na US unang'ang'ana na providers wa Bongo ungundue nini aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu sirudii tena mzee..NimekomaVPS za maana zipo EU na US unang'ang'ana na providers wa Bongo ungundue nini aisee
Ni sahihi unachosema mkuu. Very trueWenzio ni reseller 😀 ujaelewa manake?? Au bado tu, wenzio wanategemea wahindi wawape majibu kisha wakujibu wewe hahaha, so huo muda hawana kwani wao Wana server
Sana sanaaa, na kila week wananipatia reportWahindi huwa wako vizuri kwa kweli,
Kuna data huwa nahifadhi katika kampuni fulani ya kihindi.Sana sanaaa, na kila week wananipatia report
Kwa security na error logs ni kwa haraka hii haisubiri week ipite or kufika na sometimes ikiwa wametatua tayari ndio napokea tena kwa personal email .
Wanakwamisha sana watanzania .VPS za maana zipo EU na US unang'ang'ana na providers wa Bongo ungundue nini aisee
Dahh!!!wenzetu wanazingatia sana customer service and careKuna data huwa nahifadhi katika kampuni fulani ya kihindi.
Kuna siku nili kosa access kwa saa 1, huwezi amini wali nicheck kuomba radhi na kupewa discount ya mwezi unao fata.
Nadhani ndo misingi tunayo paswa kuji funza, sio kwenda Kama ma mbuzi tu.Dahh!!!wenzetu wanazingatia sana customer service and care
data centers uchwara zina run kwa umeme na tanesco na diesel back-up gen ya 2kVAWanakwamisha sana watanzania .
Ndio nchi yetu,kwa upande wangu nilikurupuka nikifikiri naokoa gharama kwa kuwapatia kazi watu wa nyumbani sababu sikuwa nafahamu mazingira halisi ya kwao lakini kwa muda sehemu niliyokuwepo ingenipa urahisi kuepuka changamoto iliyotokea.Daahh!!! Bongo hii sijui tuna tabu gani hakyanani!!
Huu ndio utaratibu mzuri unaotakiwa lakini company nyingi za kitanzania hapo hadi usumbuane nao kwa email na simu mara utume watu waende ofisini kwao ,ni kero.Kuna data huwa nahifadhi katika kampuni fulani ya kihindi.
Kuna siku nili kosa access kwa saa 1, huwezi amini wali nicheck kuomba radhi na kupewa discount ya mwezi unao fata.
Hiv national data centre wao hawa d3al na hiz habari???data centers uchwara zina run kwa umeme na tanesco na back-up diesel gen ya 2kVA
Hakika, itabidi tupate company names za uhakika kwa changamoto ndogo ndogo iwe rahisi kuwakimbilia.data centers uchwara zina run kwa umeme na tanesco na back-up diesel gen ya 2kVA
Safari bado ngumu,data centers uchwara zina run kwa umeme na tanesco na diesel back-up gen ya 2kVA
Hizo simu SI mpaka wapokee, hizo email labda wakose kazi.Huu ndio utaratibu mzuri unaotakiwa lakini company nyingi za kitanzania hapo hadi usumbuane nao kwa email na simu mara utume watu waende ofisini kwao ,ni kero.
Ngumu sana sanaSafari bado ngumu,
Unatuma email saa 12 asubuh, hawajibu, unapiga simu ndio wanaaza kuangakia kama kuna email zumeingia. Unatuma ujume saa 12 asubuh unakuja jibiwa saa 11 jionHizo simu SI mpaka wapokee, hizo email labda wakose kazi.
Hapo ukute una client wa maana ume msubirisha, lazima akuone hamnazoUnatuma email saa 12 asubuh, hawajibu, unapiga simu ndio wanaaza kuangakia kama kuna email zumeingia. Unatuma ujume saa 12 asubuh unakuja jibiwa saa 11 jion
Mkuu nima client wa maana mnooo na mmoja wapo hakuna office operation kwake inafanyika bila system ambazo nina wa serve. Yan siku nzima leo imekua chungu mnooo.Hapo ukute una client wa maana ume msubirisha, lazima akuone hamnazo