SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
NitakupmNdugu yangu kuna jamaa yanguana kampuni huku ujerumani ana -host. Kama una shida ongea nae usiporidhika achane nae. Kama upo tayari ni- PM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NitakupmNdugu yangu kuna jamaa yanguana kampuni huku ujerumani ana -host. Kama una shida ongea nae usiporidhika achane nae. Kama upo tayari ni- PM.
Customer service zao ni totally trash,mimi ni mkali sana kwa watu wangu kwenye kipengele hiki.Hizo simu SI mpaka wapokee, hizo email labda wakose kazi.
Fanya u change chap kaka, la sivyo haupendi ugali wakoMkuu nima client wa maana mnooo na mmoja wapo hakuna office operation kwake inafanyika bila system ambazo nina wa serve. Yan siku nzima leo imekua chungu mnooo.
kuna Jamaa nili hitaji service yao Leo, nika enda ofisini kwao but he wasn't there.Customer service zao ni totally trash,mimi ni mkali sana kwa watu wangu kwenye kipengele hiki.