Nasimama na Mkuu wa mkoa wa Dar, kutukumbusha kuwajibika

Nasimama na Mkuu wa mkoa wa Dar, kutukumbusha kuwajibika

Huyu mweka mada ni zwazwa anataka tulee serikali isiyowajibika tumechoka na hilo!, we usipolipa kodi kwenye biashara yako unafungiwa ila wao hiyo hamsini ambayo huduma hiyo ni wajibu wao wanajibu watu kijinga!.
Tanzania tunalea ujinga sana!, Mtu unakuja na hoja ati ujauzito sio jambo la ghafla haya na hapo hospitali kwani hawajui kuwa ujauzito sio jambo la ghafla..? walikuwa wapi kujiandaa!. hakuna mtu atalalamikia serikali kama serikali haijajipa jukumu hilo mbona huduma tunazojua zakulipia hatupigi kelele..?

wanataka kutuona mazwazwa hawa, hapo ingekuwa ni mke wa kiongozi angehudumiwa vizuri na kila kitu kingepatikana pasipo kuombwa hata senti moja jinga sana mweka mada!.
Na kupelekwa India au Ulaya juu au kujifungulia Agakhan kwa pesa ya serikali. Kiufupi issue hapa ni double standards na matumizi mabaya ya fedha za umma. Mwananchi anaambiwa achangie 50,000 sawa lakini baadae unasikia fedha za mfuko wa bima ya afya watu wamejikopesha, mara ma V8 yamenunuliwa, mara mabilioni yameibwa daah
 
Na kupelekwa India au Ulaya juu au kujifungulia Agakhan kwa pesa ya serikali. Kiufupi issue hapa ni double standards na matumizi mabaya ya fedha za umma. Mwananchi anaambiwa achangie 50,000 sawa lakini baadae unasikia fedha za mfuko wa bima ya afya watu wamejikopesha, mara ma V8 yamenunuliwa, mara mabilioni yameibwa daah
Mke wako
Hutaki kuchangia afya
 
Na kupelekwa India au Ulaya juu au kujifungulia Agakhan kwa pesa ya serikali. Kiufupi issue hapa ni double standards na matumizi mabaya ya fedha za umma. Mwananchi anaambiwa achangie 50,000 sawa lakini baadae unasikia fedha za mfuko wa bima ya afya watu wamejikopesha, mara ma V8 yamenunuliwa, mara mabilioni yameibwa daah
Mkuu wengiwao humu wanabwabwaja tu lkn wakubwa huko juu wanatafuna mapande hiyo pesa inatosha kabisa kufanya hizo huduma kwa wamama wanaojifungua.
halafu ukiandika hapa watu wanasema tunapenda vya bure utafikiri huduma zote za afya tunatumia bure wakati hiyo ya wanaijifungua inawashinda!..
Zanzibar matibabu ni bure kwa hospitali za serikali!, mbona wao wanaweza yani walau yale magonjwa ya hapa na pale mtu anapata matibabu fresh tu mpaka dawa unapewa bure!.
wao wanawezaje halafu mtu kujifungua tu huko bara mtu anakaza shingo wakiambiwa wafanye kama Zanzibar wanaweza hawa...???
 
Mkuu usitetee ujinga serikali yetu imezidi kutowajibika ipasavyo we hujui tu!, hili swala mimi ningekuwa ndo rais namuondosha huyo mkuu wa mkoa napia naenda kwenye hiyo hospital ana kwa ana nione wanakwama wapi mpaka wanakosa vitu basics kama hivyo!, hospital mnakosa gloves fungeni sasa mkalale tujue hakuna huduma!.. mkuu hivi we unajisikiaje majority of people wanategemea hospitali za serikali, hii haijalishi uwe tajiri ama maskini halafu private vitu vipo ila government vitu hakuna!. swala ni uwajibikaji tu!.
Msitetee ujinga badilikeni fikra hizo!.
Kwanza nani atu
Mke wako
Hutaki kuchangia afya
Hujaelewa hoja zangu na siwezi kushangaa kwa sababu mmezoea kuparamia hoja.
 
Ukipata muda kajielimishe kuhusu programu moja ilikuwa inaitwa LINDA MAMA hapo Kenya.
.
 
Nchi nyingi zilizoendelea kujifungua ni bure kabisa na wameazimia kwamba hakuna kifo kutatokea sababu ya mama kujifungua. Huduma za mama na mtoto zinatakiwa kuwa bure kabisa.
Wenzetu wanaenda mbali ukijifungua unakutana na package yenye kila kitu.
Kazi ya kodi ni nini? Wao si wanatibiwq bure na kutumia ma V8 kwa kodi zetu?
Viongozi wetu ni wa ajabu sana, wakishashiba hawakumbuki mwenye njaa.
Kazi kutumia rasilimali zetu hovyo.
 
Back
Top Bottom