Nasimama na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Nasimama na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Street Hustler

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
2,175
Reaction score
4,299
Kumekuwa na nyuzi nyingi sana ambazo zinaanzishwa kwa hoja ya kutokuwa na Imani na Waziri Mkuu hivi Hawa watu wapo nyuma ya Nani? Hivi hawaoni jinsi anavyojitajidi kupambana na mchwa inayoligharimu Taifa.

Kama sio Majaliwa unadhani huko kwenye halmashauri Hali ingekuwaje japo wanamzidi akili sababu wanajua mtetezi wao yupo?

Mawaziri na wizara zote zinaripoti kwa rais lakini Kama wangekuwa wanawajibika kwa Waziri Mkuu aisee hawa kina Nape, Makamba, Mwigulu, aweso wasingekuwa ni mawaziri wakusemasema vitu visivyohitajika kusikia watanzania.

Waziri Mkuu yaan Kassim Majaliwa kwa Sasa ndio nguzo imara kwenye serikali hapa Tanzania.

Mawaziri wameshindwa kumuheshimisha Rais na wanaofanya juhudi za kumdharau Waziri Mkuu sema kwa uhodari na uwanaume alionao Kassim Majaliwa nakwambia anakomaa nao.

Hata Hilo genge nasikia wanasema amebaki Kassim tuu ili mamboyao yaende vizuri nawashauri karatasi ya kura ndio itaamua nasio wao.

Rais ni taasisi kubwa Kama kuona anatakiwa kuona sababu wateule wake hasa mawaziri wengi wanaviburi vya pesa na wengi wanatafutiwa mmoja wao she kuwa namba moja na wanaofanya haya ni wateule wako ndani ya chama wengine wateule wako wa serikalini na wengine umeamua kuishi nao sababu wanaonekana Ni wazuri kwenye Biashara za kimataifa.

Rais aangalie vizuri watu wake wa karibu wanamsaliti parefu na Kassim Majaliwa anajitahidi kupambana nao lakini Rais huumpi nguvu tafadhali lione Hilo.

Mwisho Tanzania Ni yetu sote tufanye kazi kwa juhudi tuondoe umaskini kwenye familia zetu kwani kulalamika hakujawahi kuleta ugali mezani.
 
Kumekuwa na nyuzi nyingi sana ambazo zinaanzishwa kwa hoja ya kutokuwa na Imani na Waziri Mkuu hivi Hawa watu wapo nyuma ya Nani?
Safi sanaa
Hawa akina Sijui Magoto ni Wahaini. Anatakiwa akamatwe haraka sanaa.

Hatuhitaji Mabeberu humu ndani. Tutamlinda MAJALIWA KASIMU. Waziri Mkuu wetuu .

Ndio kiongozi pekee anaweza vaa viatu za Uraisi kwa Sasa wa nchi yetu. Baba Majaliwa tembea Kifua Mbele , usiogope mimi na Wazalendo wa kweli wa Taifa hili tuko nyuma yakoo. Na tutakulinda Dhidi ya Wadhalimu ,na wanyang'anyi wa Rasilimali za nchi yetuu

Nasimama na Mhe Kasim Majaliwa Kasim

👏👏👏👏🏋️‍♂️🏋️‍♀️🏋️‍♂️🏋️‍♀️🏋️‍♂️🏋️‍♀️🏋️‍♂️🏋️‍♀️🏋️‍♂️
 
Safi sanaa

Hawa akina Sijui Magoto ni Wahaini

Anatakiwa wakamatwe haraka sanaa.

Hatuhitaji Mabeberu humu ndani

Tunamlinda MAJALIWA KASIMU

Waziri Mkuu wetuu .

Ni Waze tuuu kiongozi pekee naweza vaa viatu za Uraisi kwa Sasa ni MKM

.Baba Majaliwa tembea Kifua Mbele ,usiogope mimi na Wazalendo wa kweli wa Taifa hili tuko nyuma yakoo.Na tutakulinda Dhidi ya Wadhalimu ,na wanyang'anyi wa Rasilimali za nchi yetuu


Nasimama na Mhe Kasim Majaliwa Kasim

👏👏👏👏🏋️‍♂️🏋️‍♀️🏋️‍♂️🏋️‍♀️🏋️‍♂️🏋️‍♀️🏋️‍♂️🏋️‍♀️🏋️‍♂️
Kabisa tusimame nae pamoja
 
Ni Kweli wananchi wapenda HAKI tunapenda aendelee kuwepo.

Tatizo Linakuja ambapo MZANI umeelemea upande mmoja.

Wameondolewa Karibia wote wapenda HAKI wamebakia waovu wanamsukumiza aanguke.

Ktk vita watu husema, ukizidiwa, RETREAT na ujipange UPYA.

Bt Mungu pia hajawahi shindwa, mmoja aweza wachakaza maelfu kama ROHO wa Mungu Yu ndani yake kama hadithi ya SAMSONI na DELILAH.
 
Ni Kweli wananchi wapenda HAKI tunapenda aendelee kuwepo.

Tatizo Linakuja ambapo MZANI umeelemea upande mmoja.

Wameondolewa Katiba wote wapenda HAKI wamebakia waovu wanamsukumia aanguke.

Ktk vita watu husema, ukizidiwa, RETREAT na ujipange UPYA.

Bt Mungu pia hajawahi shindwa, mmoja aweza wachakaza maelfu kama ROHO wa Mungu Yu ndani yake kama hadithi ya SAMSONI na DELILAH.
Gari pekee ambalo unaeza kuendesha ukiwa nje n game tuu au lamabox lakini hili lenyewe lazima uwe ndani.

Tulikuwa tumefika mbali Kama Taifa kwenye Mambo ya utendaji Kama Taifa wizi na ufujaji ulikuwa umepungua Ila sasa unapamba Moto Ni Bora Majaliwa abaki hapo nasie tutakaa nyuma yake kwani ukweli tunauona.
 
Gari pekee ambalo unaeza kuendesha ukiwa nje n game tuu au lamabox lakini hili lenyewe lazima uwe ndani.

Tulikuwa tumefika mbali Kama Taifa kwenye Mambo ya utendaji Kama Taifa wizi na ufujaji ulikuwa umepungua Ila sasa unapamba Moto Ni Bora Majaliwa abaki hapo nasie tutakaa nyuma yake kwani ukweli tunauona.
Ok tuendelee mapambano,

Maana tumepiga kelele weeeee, Marope, Mwigu, Pena na mtoto wa Nanii waondoshwe,

Matokeo, Bado wanapeta na kibao kinamgeukia MP.!!!

The bible says; UOVU hautamwokoa yule aliyeuzoea,

Na mchimba mashimo hutumbukia Yeye mwenyewe.

Ameeeen.
 
Mimi pia nasimama na Majaliwa. Sijaona wenye hoja za msingi.
Wezi hao wanablah blah nyingi Sana.

Hv kuanguka ndege ndio Waziri mkuu ajiuzulu?

Sasa uwajibikaji wa afisa anga utaonekana wapi?

Uwajibikaji wa kikosi cha uokozi utaonekana wapi?

Anaetoa leseni ya ndege kuruka atainekana waoi?

Hao n TRAB na TRAP ndio zinawasumbua
 
Hapa Kazi Tu!
FB_IMG_1666103260872.jpg
 
Majaliwa anajitahidi kupambana sana sema wale vijana3 na yule mzee kule green house hawamkubali kabisa lakini ndio hvyo tena

hata shule tulimchukia sana mwalimu aliyetuandaa vyema kuwa vijana waadilifu na wenye nidhamu.
 
Kumekuwa na nyuzi nyingi sana ambazo zinaanzishwa kwa hoja ya kutokuwa na Imani na Waziri Mkuu hivi Hawa watu wapo nyuma ya Nani?

hivi hawaoni jinsi anavyojitajidi kupambana na michwa inayoligharimu Taifa.

kamasio majaliwa unadhani huko kwenye halmashauri Hali ingekuwaje japo wanamzidi akili sababu wanajua mtetezi wao yupo?

Mawaziri na wizara zote zinaripoti kwa rais lakini Kama wangekuwa wanawajibika kwa Waziri Mkuu aisee hawa kina nape, makamba, mwigulu, aweso wasingekuwa n mawaziri wakusemasema vitu visivyohitajika kusikia watanzania.

Waziri Mkuu yaan Kassim Majaliwa kwa Sasa ndio nguzo imara kwenye serikali hapa Tanzania.

Mawaziri wameshindwa kumuheshimisha Rais na wanaofanya juhudi za kumdharau Waziri mkuu sema kwa uhodari na uwanaume alionao Kassim Majaliwa nakwmabia anakomaa nao.

Hata Hilo genge naskia wanasema amebaki Kassim tuu ili mamboyao yaende vizuri nawashauri karatasi ya kura ndio itaamua nasio wao.

Rais n taasisi kubwa Kama kuona anatakiwa kuona sababu wateule wake hasa mawaziri wengi wanaviburi vya pesa na wengi wanatafutiwa mmoja wao she kuwa namba moja na wanaofanya haya ni wateule wako ndani ya chama wengine wateule wako wa serikalini na wengine umeamua kuishi nao sababu wanaonekana Ni wazuri kwenye Biashara za kimataifa.

Rais aangalie vizuri watu wake wa karibu wanamsaliti parefu na Kassim Majaliwa anajitahidi kupambana nao lakini Rais huumpi nguvu tafadhali lione Hilo.

Mwisho Tanzania Ni yetu sote tufanye kazi kwa juhudi tuondoe umaskini kwenye familia zetu kwani kulalamika hakujawahi kuleta ugali mezani.

Majaliwa anayelinda watu kukwepa Kodi?. Refer mama kibonge na kesi ya ukwepaji Kodi.
 
Safi sanaa

Hawa akina Sijui Magoto ni Wahaini

Anatakiwa akamatwe haraka sanaa.

Hatuhitaji Mabeberu humu ndani

Tutamlinda MAJALIWA KASIMU

Waziri Mkuu wetuu .

Ndio kiongozi pekee anaweza vaa viatu za Uraisi kwa Sasa wa nchi yetu

.Baba Majaliwa tembea Kifua Mbele ,usiogope mimi na Wazalendo wa kweli wa Taifa hili tuko nyuma yakoo.Na tutakulinda Dhidi ya Wadhalimu ,na wanyang'anyi wa Rasilimali za nchi yetuu


Nasimama na Mhe Kasim Majaliwa Kasim

👏👏👏👏🏋️‍♂️🏋️‍♀️🏋️‍♂️🏋️‍♀️🏋️‍♂️🏋️‍♀️🏋️‍♂️🏋️‍♀️🏋️‍♂️

Ukisimama naye kubali kuanguka naye. Waziri Mkuu muongo haijawahi kutokea.
 
Ukisimama naye kubali kuanguka naye. Waziri Mkuu muongo haijawahi kutokea.
Wala hata hatuanguki

Kama mama ni 2030

Majaliwa naye 2030

Alafu akimaliza huyu mama

MAJALIWA anachukua nchi atunyoosheee

Atupeleke uchumu wa juu zaidi
 
Kumekuwa na nyuzi nyingi sana ambazo zinaanzishwa kwa hoja ya kutokuwa na Imani na Waziri Mkuu hivi Hawa watu wapo nyuma ya Nani?

hivi hawaoni jinsi anavyojitajidi kupambana na michwa inayoligharimu Taifa.

kamasio majaliwa unadhani huko kwenye halmashauri Hali ingekuwaje japo wanamzidi akili sababu wanajua mtetezi wao yupo?

Mawaziri na wizara zote zinaripoti kwa rais lakini Kama wangekuwa wanawajibika kwa Waziri Mkuu aisee hawa kina nape, makamba, mwigulu, aweso wasingekuwa n mawaziri wakusemasema vitu visivyohitajika kusikia watanzania.

Waziri Mkuu yaan Kassim Majaliwa kwa Sasa ndio nguzo imara kwenye serikali hapa Tanzania.

Mawaziri wameshindwa kumuheshimisha Rais na wanaofanya juhudi za kumdharau Waziri mkuu sema kwa uhodari na uwanaume alionao Kassim Majaliwa nakwmabia anakomaa nao.

Hata Hilo genge naskia wanasema amebaki Kassim tuu ili mamboyao yaende vizuri nawashauri karatasi ya kura ndio itaamua nasio wao.

Rais n taasisi kubwa Kama kuona anatakiwa kuona sababu wateule wake hasa mawaziri wengi wanaviburi vya pesa na wengi wanatafutiwa mmoja wao she kuwa namba moja na wanaofanya haya ni wateule wako ndani ya chama wengine wateule wako wa serikalini na wengine umeamua kuishi nao sababu wanaonekana Ni wazuri kwenye Biashara za kimataifa.

Rais aangalie vizuri watu wake wa karibu wanamsaliti parefu na Kassim Majaliwa anajitahidi kupambana nao lakini Rais huumpi nguvu tafadhali lione Hilo.

Mwisho Tanzania Ni yetu sote tufanye kazi kwa juhudi tuondoe umaskini kwenye familia zetu kwani kulalamika hakujawahi kuleta ugali mezani.
Na kumekuwa na nyuzi nyingi za kumtetea PM, kama hii yako. Hivi mwenye akili atashindwa kung'amua kweli kwamba watu mnalipwa ili mumtetee!!???
 
Shida ya huyu bwana ni uongo uongo mwingi na kuanzisha vitu asivyovimalizia
 
Kumekuwa na nyuzi nyingi sana ambazo zinaanzishwa kwa hoja ya kutokuwa na Imani na Waziri Mkuu hivi Hawa watu wapo nyuma ya Nani?

hivi hawaoni jinsi anavyojitajidi kupambana na michwa inayoligharimu Taifa.

kamasio majaliwa unadhani huko kwenye halmashauri Hali ingekuwaje japo wanamzidi akili sababu wanajua mtetezi wao yupo?

Mawaziri na wizara zote zinaripoti kwa rais lakini Kama wangekuwa wanawajibika kwa Waziri Mkuu aisee hawa kina nape, makamba, mwigulu, aweso wasingekuwa n mawaziri wakusemasema vitu visivyohitajika kusikia watanzania.

Waziri Mkuu yaan Kassim Majaliwa kwa Sasa ndio nguzo imara kwenye serikali hapa Tanzania.

Mawaziri wameshindwa kumuheshimisha Rais na wanaofanya juhudi za kumdharau Waziri mkuu sema kwa uhodari na uwanaume alionao Kassim Majaliwa nakwmabia anakomaa nao.

Hata Hilo genge naskia wanasema amebaki Kassim tuu ili mamboyao yaende vizuri nawashauri karatasi ya kura ndio itaamua nasio wao.

Rais n taasisi kubwa Kama kuona anatakiwa kuona sababu wateule wake hasa mawaziri wengi wanaviburi vya pesa na wengi wanatafutiwa mmoja wao she kuwa namba moja na wanaofanya haya ni wateule wako ndani ya chama wengine wateule wako wa serikalini na wengine umeamua kuishi nao sababu wanaonekana Ni wazuri kwenye Biashara za kimataifa.

Rais aangalie vizuri watu wake wa karibu wanamsaliti parefu na Kassim Majaliwa anajitahidi kupambana nao lakini Rais huumpi nguvu tafadhali lione Hilo.

Mwisho Tanzania Ni yetu sote tufanye kazi kwa juhudi tuondoe umaskini kwenye familia zetu kwani kulalamika hakujawahi kuleta ugali mezani.
Mimi pia, naunga mkono, Wasimsumbue MAJALIWA.
 
Back
Top Bottom