Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
-
- #41
Mkuu,Jamaa anafidi kweli kuchezea misambwanda
Ova
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nchi ina wapmbv wengi sana hii
Jamaa kaja na mbinu tu ya kuwalaa
Tu hakuna cha kupngza kitambi wala kuongeza tako
Jamaa kawafukunyuaaa sana wajinga hawa
Ova
Tena wanamlipa parefu , na bado wanapanga foleni 😂😂😂😂😂Ila madem wanadanganyika ksng sana. Mwamba kagundua mbinu ya kuwagonga na bado wanamlipa
Kati ya vitu vyakukwepa dunia ya sasa nipamoja na wanawake.Kama unafanya biashara au kazi yakukutana na wanawake unatakiwa uwe makini sana.Itakuwa wanamsingizia.
Kwanza alishakataa kufanya kazi na wadada asiowajua ,wadada wengine wanafosi sasa kumkomesha wanamtengenezea zengwe kama hili.
Aise si mchezoMkuu,
Jumapili hii tunafunga mwaka kibabe huko Saudi Arabia na fights za kibabe.
Main card AJ vs Otto Walin, Deontay vs Parker, kuna Bivol naye atacheza, Daniel Dubois naye atapanda ulingoni , kuna uwezekano pia tukafungua mwaka na fights za kibabe zaidi mf Gervonta Davis vs Haney , bila kusahau Usyk vs Fury
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Jamaa mwamba San huyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jamaa kawafaidiKwahyo jamaa anawapaka dawa kwa bibi[emoji41][emoji41]
Hamna dawa akili zenu zinawafelishaKuna muda nahisi anatumia dawa..i mean, inawezekanaje?? Wanawake sisi[emoji119]
Huku mtaani tukiwaomba papuchi wanazingua huko wanatoa na wanalipia dahTena wanamlipa parefu , na bado wanapanga foleni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siamini hadi leo sijapata koneksheni ya jamaa zaidi tu ya kusoma " ni likuuubwaaa jeusiiii"
Ntumie basi nilione[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]