Nasisitiza, kijana kama upo chini Miaka 40 usioe Single mother. Hilo huhitaji mjadala

Nasisitiza, kijana kama upo chini Miaka 40 usioe Single mother. Hilo huhitaji mjadala

lakini huko mbeleni,kama hutaki single maza basi kuoa hutaweza tena maana kuzaa sasa ni simple tu,yaan kama fasheniiii,katoto kadoogo shwaaa tayar,sasa hadi kufikia umri wa kuolewa..........

kwanza mtuache tuzae kabla p2 hazijaozesha vizazi tuje tulie upweke huko miaka 30, wanaume waaminifu tukose,sasa na hata watoto jamaniiiii aaaah msitufanyie ivoooo.....
Kama unavua chupi hovyo... utampataje mwanaume muaminifu?
 
Kama unavua chupi hovyo... utampataje mwanaume muaminifu?
mzee, vijana sio waaminifu hata usipovua chupi ovyo,,mi naamini kuoana sio lazima mvae suti na shela/ra sjui,, vijana wapo tayar waje kwa wazazi watoe posa kama na uwezo wa mali anatoa,,mnapewa baraka mnaenda kuishi.

Baada ya muda unakuja kujua mwenzio kaacha familia mkoa mwingine na alikuficha, kuuliza sababu hazieleweki,hapo tayar mimba kubwa...........shwaaaaa new single maza in town.
 
Hahaaa eti humu wataendelea kusema mpaka kiama, sema wewe narcissistic idiot ndio utaendelea kusema na wajinga wenzio mnaoshare character ndio mtaendelea kupayuka humu.....nyooo huoni hii post inavyoleta chuki kwa Wanawake, vaa miwani utaona pumbafu! By the way sijasema hili kutokana na hii topic peke yake sijajiunga JF jana kujua wewe mpuuzi ukileta topic kuhusu wanawake ujue ni ya kuwaumiza tu.......unaongelea single mothers mpumbavu wewe tangia uanze vita na single mothers wewe BINAFSI umeachieve nini ukiulizwa???..single mothers wamepungua???? Hawajaolewa??? Toa STATISTICS zako...?! Nakuuliza u QUANTIFY ulichoachieve humu....the answer is umeachieve NOTHING which means mashudu yako kuhusu wanawake single mothers, ni njia ya wewe na narcissistic idiots wenzio kupata gratification mbwa nyie.

Pole Sana Rebecca.
Dawa nilizokupa Kipindi kile naona umeziacha ugonjwa umekurudia tena.

Mbwa anatabia nyingi
Mojawapo ni kuzalishwa na madume wengi.
Labda useme wanaume zako waliokuzalisha ndio mbwa
 
Pole Sana Rebecca.
Dawa nilizokupa Kipindi kile naona umeziacha ugonjwa umekurudia tena.

Mbwa anatabia nyingi
Mojawapo ni kuzalishwa na madume wengi.
Labda useme wanaume zako waliokuzalisha ndio mbwa
Eti dawa ulizonipa, zipi hizo??? Wewe unaweza kumpa dawa mkeo tu, nae kwa sababu ni mjinga! Miaka yote ameshindwa kutambua anaishi na li narcissist sorry Limbwa!
 
Eti dawa ulizonipa, zipi hizo??? Wewe unaweza kumpa dawa mkeo tu, nae kwa sababu ni mjinga! Miaka yote ameshindwa kutambua anaishi na li narcissist sorry Limbwa!

Hiyo haina maana yoyote na haiondoi ukweli kuwa hata wewe huwezi kumwombea mtoto wako aoe single Mother tena Akiwa kijana mdogo Kabisa.

Huo ndio ukweli ndio maana unakuuma na sukari yako imepanda
 
Hiyo haina maana yoyote na haiondoi ukweli kuwa hata wewe huwezi kumwombea mtoto wako aoe single Mother tena Akiwa kijana mdogo Kabisa.

Huo ndio ukweli ndio maana unakuuma na sukari yako imepanda
Kijana wangu ataoa mwanamke anayempenda, single mother or not, kwa hio Kijana wako akilleta single mother utamshoot?! Proof you are narcissistic bastard! Eti ukweli, upi huo? Idiot
 
Kijana wangu ataoa mwanamke anayempenda, single mother or not, kwa hio Kijana wako akilleta single mother utamshoot?! Proof you are narcissistic bustard! Eti ukweli, upi huo? Idiot

Huyo hawezi kuwa kijana wangu Mkuu.

Labda akifikisha umri wa UTU uzima Sana. Alishaoa,
Anaongeza Mke wa pili,
Au amekuwa Mgane

Narudia, hakuna Baba au Mama mwenye kili timamu ambaye atafurahia na kuridhia kwa moyo mkunjufu kijana wake mdogo from the fresh aoe Single mother. Huyo mzazi hayupo chini ya Jua.
Vinginevyo awe Mgonjwa au anatumia madawa makali au vilevi vilivyoharibu Akili
 
Huyo hawezi kuwa kijana wangu Mkuu.

Labda akifikisha umri wa UTU uzima Sana. Alishaoa,
Anaongeza Mke wa pili,
Au amekuwa Mgane

Narudia, hakuna Baba au Mama mwenye kili timamu ambaye atafurahia na kuridhia kwa moyo mkunjufu kijana wake mdogo from the fresh aoe Single mother. Huyo mzazi hayupo chini ya Jua.
Vinginevyo awe Mgonjwa au anatumia madawa makali au vilevi vilivyoharibu Akili
Semea nafsi yako, sio wazazi wote wanachukia wanawake kama wewe. Eti hakuna mzazi atakayefurahia...wewe umejuaje hili kama sio assumptions zako tu?!
 
Semea nafsi yako, sio wazazi wote wanachukia wanawake kama wewe. Eti hakuna mzazi atakayefurahia...wewe umejuaje hili kama sio assumptions zako tu?!

Nimesema mzazi mwenye akili timamu.
Sijasema hakuna mzazi pekee.

Wapo watu wameathirika kisaikolojia kutokana na pombe Kali, madawa ya makali ya Magonjwa, madawa ya kulevya, na Umaskini wa kifamilia.

Lakini kwa Watu wenye Akili timamu, hiyo Kitu huwezi hata kuiwaza achilia mbali kuifanya
Au uruhusu kijana wako mdogo ati aanze maisha yake ya ndoa na mwanamke mwenye mtoto wakati wanawake wabichi wapo.

Huyo mzazi hayupo.
 
Nimesema mzazi mwenye akili timamu.
Sijasema hakuna mzazi pekee.

Wapo watu wameathirika kisaikolojia kutokana na pombe Kali, madawa ya makali ya Magonjwa, madawa ya kulevya, na Umaskini wa kifamilia.

Lakini kwa Watu wenye Akili timamu, hiyo Kitu huwezi hata kuiwaza achilia mbali kuifanya
Au uruhusu kijana wako mdogo ati aanze maisha yake ya ndoa na mwanamke mwenye mtoto wakati wanawake wabichi wapo.

Huyo mzazi hayupo.
Hahaaaaa kwa hio wanaofurahia watoto wao kuoa single mothers wameathirika kisaikolojia ila nyie msiofurahia ndio wazima kiakili????

Eti huyo mzazi hayupo...unavyosema for certainty,ukiulizwa umefikiaje hio conclusion hujui bye, SUCKER!
 
Hahaaaaa kwa hio wanaofurahia watoto wao kuoa single mothers wameathirika kisaikolojia ila nyie msiofurahia ndio wazima????

Eti huyo mzazi hayupo...unavyosema for certainty, bye, SUCKER!

Narudia tena na tena
Hakuna huyo mzazi mwenye akili timamu ambaye atafurahia kumwona Kijana wake mdogo Kabisa ndio katoka Chuo au hata hajafikisha Miaka 40, ndio ndoa yake ya Kwanza alafu Kijana alete single mother, mzazi afurahie. Hayupo huyo Mzazi.


Labda kama hujui Maana ya Mzazi.
Au awe mzazi asiyejitambua. Au awe anamatatizo niliyoyataja Kule Juu.

Hakuna asiyejua Ndoa inachangamoto nyingi Sana.

Sasa kijana mdogo kuoa tena Single mother hakuna mzazi ambaye atafurahia Jambo hilo kwani wanajua nini Kinaenda kutokea kwenye maisha ya huyo kijana.

Zingatia, aliyefiwa na Mume hayupo kundi la single mother

Single mothers wanahitaji mwanaume aliyekomaa, mtu mzima, ambaye alishawahi kuwa na familia, Mzee n.k.

Hayo Mengine unayosema ni chuki utajua mwenyewe. Ila kwa ground tunaona kinachoendelea.

Hutaki kuwa single mother USIKUBALI kuzaa kabla hujaolewa.
Chagua mwanaume sahihi ili kuepuka Talaka.
Vinginevyo, utaendelea kuona wanawake wanachukiwa kumbe ndio uhalisia.
 
lakini huko mbeleni,kama hutaki single maza basi kuoa hutaweza tena maana kuzaa sasa ni simple tu,yaan kama fasheniiii,katoto kadoogo shwaaa tayar,sasa hadi kufikia umri wa kuolewa..........

kwanza mtuache tuzae kabla p2 hazijaozesha vizazi tuje tulie upweke huko miaka 30, wanaume waaminifu tukose,sasa na hata watoto jamaniiiii aaaah msitufanyie ivoooo.....
Nakuzoom , wanaume waaminifu wa nini sasa?😂😂
 
Kama unachoongea ni kweli embu eleza ni Kwa namna gani post hii imeonyesha chuki kwa Wanawake.

1. Kwamba kwenye jamii zote duniani single mother sio tatizo?

2. Kwamba single mothers hawawasiliani na Wanaume waliozaa nao Jambo ambalo waume Zao inawapa kero na usumbufu Mkubwa?

3. Kwamba mtoto wa single mother sio wako kama hukumzaa wewe?

Kuhusu hayo maelezo yako mengine yapo juu yako MWENYEWE na ukoo wenu na watoto wenu.

Ukizaa watoto wako waambie kuwa Single mother ni Jambo jema na linalokubqlikq kwenye jamii. Lakini humu na sehemu zingine wataendelea kusema Maneno hayahaya Mpaka kiama.
Ukweli wewe bado ni mtoto unamada za kitoto sana
Una-mambo mengi ya kujifunza hakuna anayependa kuwa single mother

Uwe na mtoto alafu awe single mother huwezi andika huu ujinga
 
Hahaaa eti humu wataendelea kusema mpaka kiama, sema wewe narcissistic idiot ndio utaendelea kusema na wajinga wenzio mnaoshare character ndio mtaendelea kupayuka humu.....nyooo huoni hii post inavyoleta chuki kwa Wanawake, vaa miwani utaona pumbafu! By the way sijasema hili kutokana na hii topic peke yake sijajiunga JF jana kujua wewe mpuuzi ukileta topic kuhusu wanawake ujue ni ya kuwaumiza tu.......unaongelea single mothers mpumbavu wewe tangia uanze vita na single mothers wewe BINAFSI umeachieve nini ukiulizwa???..single mothers wamepungua???? Hawajaolewa??? Toa STATISTICS zako...?! Nakuuliza u QUANTIFY ulichoachieve humu....the answer is umeachieve NOTHING which means mashudu yako kuhusu wanawake single mothers, ni njia ya wewe na narcissistic idiots wenzio kupata gratification mbwa nyie.
Huyo jamaa ni mtoto sana ana mada za kitoto sana na life experience yake ni ndogo sana akikua ataacha
 
Ukweli wewe bado ni mtoto unamada za kitoto sana
Una-mambo mengi ya kujifunza hakuna anayependa kuwa single mother

Uwe na mtoto alafu awe single mother huwezi andika huu ujinga
Single mothers wengi ni matokea ya Wanake kujifanya wanajua na ubishi kukataa kuwasikiliza wazazi na Kaka zao. Kuna Single Mother nilikua napiga nae story ilikuaje akazalishwa nje ya ndoa, Yeye akasema kipindi cha Corona alipunguzwa kazini sasa akarudi Nyumbani kwao sasa kuna rafiki yake akampigia simu kuna kszi Zanzibar ya hotel sasa akawaambia Mama yake na Kaka zake. Sasa Kaka zake wakamkatalia na kumwambia Mama yao mdogo wao hasiende Zanzibar na akienda ataenda kufanya kazi za Bar mdogo wao akalazimisha mwisho wa siku kwenda Zanzibar kufika mwenyeji wake hakupatikana, Mwisho wa siku akafata ujauzito baada ya kufata kazi.
 
ila single fazaz waoe fresh ladies,,oke oke tumekupata studio
Mkuu Mimi mwenyewe Single father lakini nimekataa kuoa Single mother nilihisi kama nina mikosi maana kila nikitongoza nakutana na Single mother nakula nakimbia, ila sasa hivi nilie nae haja zaa huyo ndiyo naoa sasa, Yani kwa Ushauri Kijana siyo Jambo Zurich kuoa Single mother ukioa Single mother au kuingia nae kwenye Mahusiano hakuna raha ya Mapenzi yani huwezi kufurahia mahusiano, ni sawa Kununua gari mpya kabisa na Mwingine anunue gari mikononi kwa mtu unafikili ni nani atafurahia matumizi ya gari ?
Huyu alie nunua gari alilo Liguria mtu hata furahia kwenye matumizi kwanza hilo gari litakua na shida nyingi kuliko gari mpya.
 
Utakayemuoa Kama sio single mother basi ujue possibility ya kuwa alitoa mimba nyingi ni kubwa mno, so ni kuchagua aliyefanya mauaji au utu mwenye hofu ??
 
Back
Top Bottom