Nasisitiza, kijana kama upo chini Miaka 40 usioe Single mother. Hilo huhitaji mjadala

Nasisitiza, kijana kama upo chini Miaka 40 usioe Single mother. Hilo huhitaji mjadala

mimi single mother nitamuoa kama anakidhi hivi vigezo

mrefu,awe na kazi ya kueleweka awe na mshahara minimum 2.5m salary
Hapo ongeza.. Huyo mwanaume aliyemzalisha awe alishakufwa tena ikiwezekana ujue lilipo kaburi lake na upate uthibitisho wa video ya msiba na cheti cha kifo pia uthibitisho wa serikali za mitaa kwamba kweli jamaa alikufaga na uhakikishe kaburi lake limejengwa vizuri kwa zege ili lisije kubomoka!
 
Simba mwenyew akipata jike akalikuta nawatoto wabwana mwingine au mimba nikuwaua tu, cjui tunafel wap
 
Mtoa mada ulishawahi kuoa single Maza au unasikiaga stori za mtaani tu.
 
Kwema Wakuu!

Nafahamu Nina rafiki zangu wakike waliosingle mothers.
Ninajua wapo dada zangu wakike single mother
Na ninajua wapo watoto wakike huenda wakawa single mother.
Lakini hii haitanifanya nisiseme Jambo hili.

Kama Una Miaka chini ya arobaini yaani ni kijana. Mimi kama Taikon Master, na Kaka zako wenye Akili, na Baba zako wenye HEKIMA tunakushauri kamwe usifikirie kuoa single mother.

Usioe Single mother hasa ukiwa Kijana chini ya miaka 40.

Huna sababu hata Moja ya maana ya kuoa single mother.
Ni kweli mapenzi ni upofu lakini haimaanishi uwe mpumbavu.

Kuna mambo unatakiwa uyaelewe kuhusu single mother

1. Kama asingekuwa single mother ni hakika asingekuwa na wewe. Hiyo ni hakika

2. Ni hakika kuwa, wewe tayari ni Step Dad, baba wa Kambo. Hakunaga faida hata Moja utakayoipata kwa kuwa step dad. Ukibisha, nenda tafuta mtu mzima unayemheshimu Sana na aliyefanikiwa Sana. Mwenye AKILI. Muulize kuna faida ya kuwa step Dad. Atakupa Majibu.

3. Kijana mdogo unapooa single mother ni dalili ya kutojiamini, kutojitambua na kujidharua. Wakwanza atakayekudharau ni Mamaako aliyekuzaa hata kama naye alikuwa single mother.
Elewa, ikiwa kijana kuoa mwanamke Mkubwa kuliko yeye kwake inaonekana amejidharau sembuse kuoa single mother.

4. Joto la jiwe kutoka kwa single mother utaanza kuliona mkishazoeana
Elewa, mwanamke hata awe hajaenda shule au awe mjinga kiasi gani. Lakini naturally anauwezo wa kukusoma na kukujua ikoje.
Wakati wewe huna hili wala lile unahangaika kumhudumia Mkeo ambaye ni single mother kwa upendo wote yeye Muda huo anautumia kukusoma ulivyo.
Ndani ya Miaka miwili mitatu tayari atakuwa amekujua vilivyo.

Kipindi mkishazoeana na ashakujua ukiwa huna hili wala lile. Ndio ataanza kukumbuka maisha yake ya nyuma. Atakumbuka marafiki zake. Na mwishowe atamkumbuka Yule Mwanaume aliyekuwa anampenda ambaye mara nyingi ndio wanaowazalishaga watoto wa Kwanza.
Hatakumbuka ubaya wake kama alivyokuhadithia wewe.

Hatimaye, kimyakimya anaanzisha mawasiliano ya Siri na mzazi mwenziye bila ya wewe Kujua.
Kumbuka hapa atakuwa Hana Hofu kwa Sababu ni Kama Nyani aliyerudishwa kwenye Pori analolijua.
Kisosholojia, hapo ni Njia anayoirudia anaijua fika kwa Sababu ndio aliyoijia.

Asije akakudanganya hawawasiliani.

Ukitaka kujua Jambo hilo. Tafuta ndugu yako yoyote ambaye alizaa na mwanamke Fulani. Muulize anawasiliana na shemeji. Utapata Majibu.

5. Kumbuka, asilimia tisini wanawake wenye watoto wao ndio huwatafuta wazazi wenza lakini wewe hutojua.

6. Kumbuka asilimia tisini ya single mother huingia kwenye mahusiano mapya kama project ya Kupata sehemu ya kukuza na kuwalea watoto wao. Na sio sababu ya Mapenzi au kujenga Familia.

7. Elewa, hata ufanye nini mtoto wa single mother hatakuja kuwa Wako Maisha.

8. Elewa, utakapogusa maslahi ya mtoto wa single mother utakuwa umejimaliza mwenyewe. Utakuwa umejiingiza kwenye shida.

9. Itakupasa mtoto wa single mother ambaye sio wako awe na furaha ili nawe uwe na furaha.

10. Single mother ukimuoa anakuchukulia kama haukuwa na option nyingine zaidi na uzuri wake ndio uliochangia kukupumbaza. Hivyo atakudharau tuu.
Jambo ambalo ni Kweli Kabisa.
Yaani uache watoto wabichi, vibinti chuchu konzi alafu utegemee single mother uliyemuoa akuheshimu.

Elewa, mwanamke uliyemuoa ni sehemu mambo yanayokujengea heshima kwenye jamii au mahali popote pale.

11. Kuoa single mother kutapelekea watoto wako utakaowazaa wawe wapili , watatu kuendelea kwa mama husika Jambo ambalo litakufanya ukose mzaliwa wa Kwanza.

Elewa, mzaliwa wa Kwanza anatokana na mwanamke kuzaa kwa mara ya Kwanza.
Huwezi mzalisha mwanamke single mother alafu huyo mtoto ukamuita mzaliwa wa Kwanza.

Usiwe wale wanaume mabwege ambao hupumbazwa na Maneno ya Wanawake wakipewa sifa za kijinga.
Mara mwanaume wa kweli lazima atoe Pesa. Na majianaume mabwege hujikuta yakiwa matumwa na misukule ya wanawake.
Mara hudumia tuu mtoto single mother ndio uanaume huo sijui ukipenda boga penda na ua lake. Ubwege bwege tuu. Baba wa mtoto yupo. Mpelekeeni Babaake akamtunze mtoto

Unandugu kibao Maskini, wasaidie hao.
Watoto wa dada au Kaka zako, hizo pesa saidia wazazi wako.
Jijenge mwenyewe au kale Raha na sio uingizwe ujinga ujinga kama lijinga. Unazidiwa akili Mpaka na Wanyama bhana.

Shenzi!

Ngoja nipumzike sasa
Kama ni mhindi(maize) umeupukuchua wote umebakiza bunzi(gunzi) tuu.

Una kiona mbali kinachoweza kuwasaidia vijana wengi wapumbaf wasiojitambua wala kutambua wajibu wao wa kiume, wapendavitonga.

Lakini ushauri huu konki wataufuata basi?

Wee fikiria wapo vijana wenye title ya ving'ast, mkuu unawajua ving'ast?

Wa kuoa single mother kajitutumua, je anayelelewa, mkuu unajua kulelewa?

Wapumbaf wote hao wengine wametoka katika familia strong zina baba na mama walio hai!
 
Single mother hakupendi, anataka tu mchango wako wa kifedha na ubaba kwenye malezi ya mtoto wake. Mtoto akiwa mkubwa na kuanza kujitegemea single mother atakua wa kwanza kumwambia wewe sio baba ake(hapa anamuandaa mtoto kisaikolojia ili yeye ndie anufaike zaidi na matunda ya mtoto)

Single mother hakupendi, ana trauma za kuachwa na mzazi mwenzie kwaiyo anataka kumthibitishia kwamba ame-move on. Maumivu ya moyo yakipona kupasha kipolo ni suala la right time and right place tu
 
Ila mabinti sijui wana shida gani?

Kuna mabinti hapa ninapoish yupo mmoja mjamzito ana wenzie wajawazito pia km tano na wote wamepigwa mimba na watu !!!

Sasa selewii kwa namna hii sehemu nyingn ukute Tena hv masingle parents inakuja kuwa ttzo sugu hapo baadae kama kutafuta kazi
Feminist wamewadanganya kwamba mwanamke ana uhuru kama wa mwanaume, wamewadanganya kwamba usingle mother ndio ustrong woman. Hawajawaambia ukweli kwamba katika dating pool kiasili mwanamke ni victim.

Mwanamke ni victim kiasili yaani nature inambana na mwanaume ni victim kimfumo yaani sheria za masuala ya mahusiano zinambana. Advantage aliyonayo mwanaume ni kwamba akiweza kuu-oitsmart mfumo anabaki salama.

Tatizo linakuja kwa mwanamke ambae hawezi kui-outsmart nature, ajikute feminist, mwanaharakati, strong woman na upumbavu mwingine lakini mwisho wa yote ili abaki salama anatakiwa kuwa sehemu sahihi kwa wakati sahihi kulingana na nature inavyotaka.
 
Back
Top Bottom