Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
mr mashangazi uyo atoe wap huo usingo fazaPoor Brain anajifanya ni single faza namuita achukue huu ushauri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mr mashangazi uyo atoe wap huo usingo fazaPoor Brain anajifanya ni single faza namuita achukue huu ushauri
Sijui kwanini maana hata ukiniuliza Kwanini nitakuwa sijui ni Kwanini imekuwa ngumu kuku jibu kwanini kwa sababu siwezi kuelezea vizuri ni kwanini Bongo sio bahati mbaya ni makusudiKwanini??
Hapo ongeza.. Huyo mwanaume aliyemzalisha awe alishakufwa tena ikiwezekana ujue lilipo kaburi lake na upate uthibitisho wa video ya msiba na cheti cha kifo pia uthibitisho wa serikali za mitaa kwamba kweli jamaa alikufaga na uhakikishe kaburi lake limejengwa vizuri kwa zege ili lisije kubomoka!mimi single mother nitamuoa kama anakidhi hivi vigezo
mrefu,awe na kazi ya kueleweka awe na mshahara minimum 2.5m salary
Na hawazeekiTukifika 40+ ni ruksa? To yeye ningoje ngoje bado krismasi kama 12 ivi
Kama ni mhindi(maize) umeupukuchua wote umebakiza bunzi(gunzi) tuu.Kwema Wakuu!
Nafahamu Nina rafiki zangu wakike waliosingle mothers.
Ninajua wapo dada zangu wakike single mother
Na ninajua wapo watoto wakike huenda wakawa single mother.
Lakini hii haitanifanya nisiseme Jambo hili.
Kama Una Miaka chini ya arobaini yaani ni kijana. Mimi kama Taikon Master, na Kaka zako wenye Akili, na Baba zako wenye HEKIMA tunakushauri kamwe usifikirie kuoa single mother.
Usioe Single mother hasa ukiwa Kijana chini ya miaka 40.
Huna sababu hata Moja ya maana ya kuoa single mother.
Ni kweli mapenzi ni upofu lakini haimaanishi uwe mpumbavu.
Kuna mambo unatakiwa uyaelewe kuhusu single mother
1. Kama asingekuwa single mother ni hakika asingekuwa na wewe. Hiyo ni hakika
2. Ni hakika kuwa, wewe tayari ni Step Dad, baba wa Kambo. Hakunaga faida hata Moja utakayoipata kwa kuwa step dad. Ukibisha, nenda tafuta mtu mzima unayemheshimu Sana na aliyefanikiwa Sana. Mwenye AKILI. Muulize kuna faida ya kuwa step Dad. Atakupa Majibu.
3. Kijana mdogo unapooa single mother ni dalili ya kutojiamini, kutojitambua na kujidharua. Wakwanza atakayekudharau ni Mamaako aliyekuzaa hata kama naye alikuwa single mother.
Elewa, ikiwa kijana kuoa mwanamke Mkubwa kuliko yeye kwake inaonekana amejidharau sembuse kuoa single mother.
4. Joto la jiwe kutoka kwa single mother utaanza kuliona mkishazoeana
Elewa, mwanamke hata awe hajaenda shule au awe mjinga kiasi gani. Lakini naturally anauwezo wa kukusoma na kukujua ikoje.
Wakati wewe huna hili wala lile unahangaika kumhudumia Mkeo ambaye ni single mother kwa upendo wote yeye Muda huo anautumia kukusoma ulivyo.
Ndani ya Miaka miwili mitatu tayari atakuwa amekujua vilivyo.
Kipindi mkishazoeana na ashakujua ukiwa huna hili wala lile. Ndio ataanza kukumbuka maisha yake ya nyuma. Atakumbuka marafiki zake. Na mwishowe atamkumbuka Yule Mwanaume aliyekuwa anampenda ambaye mara nyingi ndio wanaowazalishaga watoto wa Kwanza.
Hatakumbuka ubaya wake kama alivyokuhadithia wewe.
Hatimaye, kimyakimya anaanzisha mawasiliano ya Siri na mzazi mwenziye bila ya wewe Kujua.
Kumbuka hapa atakuwa Hana Hofu kwa Sababu ni Kama Nyani aliyerudishwa kwenye Pori analolijua.
Kisosholojia, hapo ni Njia anayoirudia anaijua fika kwa Sababu ndio aliyoijia.
Asije akakudanganya hawawasiliani.
Ukitaka kujua Jambo hilo. Tafuta ndugu yako yoyote ambaye alizaa na mwanamke Fulani. Muulize anawasiliana na shemeji. Utapata Majibu.
5. Kumbuka, asilimia tisini wanawake wenye watoto wao ndio huwatafuta wazazi wenza lakini wewe hutojua.
6. Kumbuka asilimia tisini ya single mother huingia kwenye mahusiano mapya kama project ya Kupata sehemu ya kukuza na kuwalea watoto wao. Na sio sababu ya Mapenzi au kujenga Familia.
7. Elewa, hata ufanye nini mtoto wa single mother hatakuja kuwa Wako Maisha.
8. Elewa, utakapogusa maslahi ya mtoto wa single mother utakuwa umejimaliza mwenyewe. Utakuwa umejiingiza kwenye shida.
9. Itakupasa mtoto wa single mother ambaye sio wako awe na furaha ili nawe uwe na furaha.
10. Single mother ukimuoa anakuchukulia kama haukuwa na option nyingine zaidi na uzuri wake ndio uliochangia kukupumbaza. Hivyo atakudharau tuu.
Jambo ambalo ni Kweli Kabisa.
Yaani uache watoto wabichi, vibinti chuchu konzi alafu utegemee single mother uliyemuoa akuheshimu.
Elewa, mwanamke uliyemuoa ni sehemu mambo yanayokujengea heshima kwenye jamii au mahali popote pale.
11. Kuoa single mother kutapelekea watoto wako utakaowazaa wawe wapili , watatu kuendelea kwa mama husika Jambo ambalo litakufanya ukose mzaliwa wa Kwanza.
Elewa, mzaliwa wa Kwanza anatokana na mwanamke kuzaa kwa mara ya Kwanza.
Huwezi mzalisha mwanamke single mother alafu huyo mtoto ukamuita mzaliwa wa Kwanza.
Usiwe wale wanaume mabwege ambao hupumbazwa na Maneno ya Wanawake wakipewa sifa za kijinga.
Mara mwanaume wa kweli lazima atoe Pesa. Na majianaume mabwege hujikuta yakiwa matumwa na misukule ya wanawake.
Mara hudumia tuu mtoto single mother ndio uanaume huo sijui ukipenda boga penda na ua lake. Ubwege bwege tuu. Baba wa mtoto yupo. Mpelekeeni Babaake akamtunze mtoto
Unandugu kibao Maskini, wasaidie hao.
Watoto wa dada au Kaka zako, hizo pesa saidia wazazi wako.
Jijenge mwenyewe au kale Raha na sio uingizwe ujinga ujinga kama lijinga. Unazidiwa akili Mpaka na Wanyama bhana.
Shenzi!
Ngoja nipumzike sasa
Mimi nina 35 nataka nioe kabla ya 2030 je Mwanamke wa miaka 21 atawafaa kua shemeji yenu kwa wakati huo au tusubir mwongozo mpya?
Robert Heriel Mtibeli
Viwekeni hapa.😃😃
Mkuu wewe ndiye unayeoa.
Hauna vigezo vyako?
Vigezo vya jumla vya wanaume wengi vinafahamika
Kuna tofauti kati ya kujielewa na kuishi na trauma. Mwanamke kujielewa sio lazima uwe damaged kwanza.Single mama wengi wanajielewa...
Si unajua ukishang'atwa na nyoka ukiguswa na Jani unastuka...
Mwanamke kuwa single mother tayari ni red flag iliyo wazi kabisa. Sawa future ya mahusiano ni uncertain lakini uncertainity iyo isikufanye ukapuuza red flags from the first placeUnaweza usioe single maza ukaoa fresh kabisa ila ukachapiwa watoto wote na mwamba mwingine tu .
Feminist wamewadanganya kwamba mwanamke ana uhuru kama wa mwanaume, wamewadanganya kwamba usingle mother ndio ustrong woman. Hawajawaambia ukweli kwamba katika dating pool kiasili mwanamke ni victim.Ila mabinti sijui wana shida gani?
Kuna mabinti hapa ninapoish yupo mmoja mjamzito ana wenzie wajawazito pia km tano na wote wamepigwa mimba na watu !!!
Sasa selewii kwa namna hii sehemu nyingn ukute Tena hv masingle parents inakuja kuwa ttzo sugu hapo baadae kama kutafuta kazi
Poa, za wewe?Hi Dawud kitambo sana, Vipi mambo?
Poa Ms. Dawud 😀Poa, za wewe?
Na akuonyeshe kaburi la mzazi mwenzie.mimi single mother nitamuoa kama anakidhi hivi vigezo
mrefu,awe na kazi ya kueleweka awe na mshahara minimum 2.5m salary
Noma sana!Ukifika umri huo unaweza kufanya hivyo japokuwa akili za umri huo za wanaume zinazidi kuvutiwa na vibinti Vidogovidogo kwani huo ndio uanaume
Hiyo mikono hujanawa vizuri mbona michafu sn,halafu unakuta mtu huyo mnashare bakuli la mboga, *****Nalyaga nkoyi. Aho namalūgūlya nūchima lyanikī lyamadako matale. Nilūmbaga sana.
Gīnehūbebe? Olyaga? Ochimaga? 😁👋
View attachment 3211207