Naskia Raha Miieeeee....🥰🥰🥰 Utaaamu ☺️

Bibi kapata kijana....



Toboooo limepata nati sahihi....

Kila lililojema Mkuu


Kumbatoo [emoji23][emoji23][emoji39][emoji39] Kasie Matata

Laiti ungejua......!

Kumbato la kipekee...

Lenye upendo wa dhati...
 
Unauzwa, lipia walau kifurushi cha wiki ..!😂😂😂😂

Au na wewe ni furushi...?!🤣🤣🤣
Umeanza ukorofi Sasa hivi utakula mabanzi ya shingo sitajali Bibi kizee Kwanza nahasira hapa yani mtu nimemuomba namba kanichamba huyo ati Mimi ninasura kama embe ng'ong'o☹️
 
Umeanza ukorofi Sasa hivi utakula mabanzi ya shingo sitajali Bibi kizee Kwanza nahasira hapa yani mtu nimemuomba namba kanichamba huyo ati Mimi ninasura kama embe ng'ong'o☹️

Kenzy Mapezi Furushi bin Kiberenge 😂😂😂😂
 
Ngoja hako kavulana kakupukutishe hizo hela za mafao halafu uje na uzi wa kututaka ushauri hapa
 
Tuachane na hayo vipi lakini sili hiyo penisheni hata mia dia..?😁

Tafuta tour guide atutembeze pori la Selou
Huko utakula sehemu ya mafao ya bibi.
 
Na siku mkivurugana Usiache Kuja Kutupa Habari 🥰🥰
 
Tafuta tour guide atutembeze pori la Selou
Huko utakula sehemu ya mafao ya bibi.
Shida yako tu nikaliwe na Simba huko nife si ndivyo nikose mademu..?😂
Labda twende ziwa Viktoria tukachezee maji ya sangara tuwale,tukajianike kwenye mawe,tupande na vilima tukalale na Malaika beach..😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…