Hauna jinsi.Sahivi nimekuwa Toto Zuri..ππ
Mi ninamke kabisa nyie pisi kali endeleeni na ukali wenu..π
Shida yako tu nikaliwe na Simba huko nife si ndivyo nikose mademu..?π
Labda twende ziwa Viktoria tukachezee maji ya sangara tuwale,tukajianike kwenye mawe,tupande na vilima tukalale na Malaika beach..π
Bushmamy na Financial Services Njooni Huku Wapenzi.. Nawapenda β€οΈπΉβ€οΈKwa upande wakike financial services anawawakilisha..π€£
Sitaki kwenda maporini mimi..πWeee kweli Kiberenge Furushi ππππ
Sasa unataka Simba wafe njaa....!!π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Ziwa victoria lina mamba wengi huogopi kuzama na kuliwa?
Kama hutaki pori la Seluo basi tafuta tour guide wa kututembeza Nshamba hadi Mtukura...
Nawenyewe wamekubali kuwa wawiliwawili..πBushmamy na Financial Services Njooni Huku Wapenzi.. Nawapenda β€οΈπΉβ€οΈ
Ndo maanake uliniboa sanaaaa .Hapana bwana mimi sipo hivo au ajili ya ule uzi wako wa kidhungu?π
Namuita sitaki utani na mdogo wangu.Kwa upande wakike financial services anawawakilisha..π€£
Ndo mnavyosingiziaga.Mi ninamke kabisa nyie pisi kali endeleeni na ukali wenu..π
Jifunze uvumilivu muda mwengine hicho kidada kitanichamba na kunichambua Kama karanga ushaniletea balaa..π₯
Mi mbona sihangaiki sahivi nipo poa sana..πNdo mnavyosingiziaga.
Manpokuwa mnahangaika wanakuwaga wapi my waifu wenu?