Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,155
- 34,303
Hauna jinsi.Sahivi nimekuwa Toto Zuri..😊😁
Unataka pisi kali ila sisi ndo tupo na si wenyewe tushawahiwa na That Gentleman .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hauna jinsi.Sahivi nimekuwa Toto Zuri..😊😁
Mi ninamke kabisa nyie pisi kali endeleeni na ukali wenu..😂
Shida yako tu nikaliwe na Simba huko nife si ndivyo nikose mademu..?😂
Labda twende ziwa Viktoria tukachezee maji ya sangara tuwale,tukajianike kwenye mawe,tupande na vilima tukalale na Malaika beach..😁
Bushmamy na Financial Services Njooni Huku Wapenzi.. Nawapenda ❤️🌹❤️Kwa upande wakike financial services anawawakilisha..🤣
Sitaki kwenda maporini mimi..😂Weee kweli Kiberenge Furushi 😂😂😂😂
Sasa unataka Simba wafe njaa....!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ziwa victoria lina mamba wengi huogopi kuzama na kuliwa?
Kama hutaki pori la Seluo basi tafuta tour guide wa kututembeza Nshamba hadi Mtukura...
Nawenyewe wamekubali kuwa wawiliwawili..😂Bushmamy na Financial Services Njooni Huku Wapenzi.. Nawapenda ❤️🌹❤️
Ndo maanake uliniboa sanaaaa .Hapana bwana mimi sipo hivo au ajili ya ule uzi wako wa kidhungu?😉
Namuita sitaki utani na mdogo wangu.Kwa upande wakike financial services anawawakilisha..🤣
Ndo mnavyosingiziaga.Mi ninamke kabisa nyie pisi kali endeleeni na ukali wenu..😂
Jifunze uvumilivu muda mwengine hicho kidada kitanichamba na kunichambua Kama karanga ushaniletea balaa..😥
Mi mbona sihangaiki sahivi nipo poa sana..😁Ndo mnavyosingiziaga.
Manpokuwa mnahangaika wanakuwaga wapi my waifu wenu?