Naskia Raha Miieeeee....🥰🥰🥰 Utaaamu ☺️

Naskia Raha Miieeeee....🥰🥰🥰 Utaaamu ☺️

Kwa haraka haraka nikajua huyu ni Z𝐔H𝐔R𝐀 Y𝐔𝐍𝐔S𝐈....kumbe ni Mamaa wa mahaba niue[emoji3059][emoji3059][emoji3059]
 
Tumeambizana hutuoi mafeminist wanatuua mapema

Aahahahahaa uoga wenu tuu


Ila mbona kesi za wanaume kuua wake zao ndo zinaongoza??

Sasa msipooa mnamalizia wapi nyegees...?

Ukisema kwa mashoga nawatizama hiviiii.....!
 
Wakulungwa....

Japo joto kali, jua linawaka ila tabasamu halikauki usoni.....

View attachment 2082327
Najua nimeshapokea mafao ya uzeeni ila hii furaha ya leo ni nje ya mafao....

Mahaba niache nipange mipango maisha mapya ya kustaafu mweeeh mweeeh mweeeeh......

View attachment 2082329


Nasinzia nikikuwaza ooohhh....



Kumbatoooo, kumbatoo ndo kulogwa kwangu hapo ....[emoji7][emoji7]

Kasinde Matata.
Duuuh
 
Shauri yako atakumwagia [emoji23][emoji23][emoji23] huyo au humjui [emoji4][emoji4][emoji4]

Loooh

Kama ana uthubutu ya kunimwagia huku nimekumbatiwa na Mahabuba wangu basi anafaa kuingizwa Jeshi la Taifa.
 
Loooh

Kama ana uthubutu ya kunimwagia huku nimekumbatiwa na Mahabuba wangu basi anafaa kuingizwa Jeshi la Taifa.
Hahaaaaa hainaga macho inaingia popote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bibi kapata kijana....



Toboooo limepata nati sahihi....

Kila lililojema Mkuu


Kumbatoo [emoji23][emoji23][emoji39][emoji39] Kasie Matata
 
Back
Top Bottom