Nasoma Business law, simuelewi vizuri mwalimu naomba nisaidiwe baadhi ya maswali

Nasoma Business law, simuelewi vizuri mwalimu naomba nisaidiwe baadhi ya maswali

Habari?
Law sio field yangu lakini kwenye kozi yangu nasoma Business law.
Kuna vitu nahitaji kuvijua vizuri/zaidi kuhusu law of contract, pia naomba atakae amua kunielewesha atoe mifano nadhani ndiyo nitaelewa vizuri.

1: Kuhusu cinsideration
-Consideration ni nini? mfano wake ni upi?
- promise ina utofauti gani na offer?
-Aina tatu za consideration zinakuaje
Past, Excuted na excutory?.

-Na kumove consideration ni kufanya nini?
-Na nani anaweza move consideration?

-Pia sifa za consideration ni zipi?

-Adequate ina maana gani kwenye consideration na Sufficient ina maana gani?

2. Kuhusu Free assent.
Kipengele cha mistake
Mistake inakuaje na je, katika hali zipi mistake inaweza pelekea agreement kuwa void na katika hali zipi inaweza pelekea agreement kuwa valid?

3: Kuhusu intention to create legal relations
Katika hali zipi domestic agreement zinaweza kuwa na lega effects?

Natanguliza shukrani.
wewe ni mwaka wa kwanza? kama unashindwa maswali haya ya contract law, basi hukutakiwa kusoma sheria, utakuwa umevamia. mwangalie nditi huyu nimekuattachia.
 

Attachments

Moja ya module rahisi mno kwa ngazi ya elimu ya juu... ila mnafanya mchezo mchezo tu huko, muwe mnafikiri na mlikotoka na mjitathmini mnaelekea wapi maishani mwenu enyi vijana mliopo vyuoni. Kazi fashion, ujuaji, kunyoa minyoo ya kipumbavu, club, simu nzuri, movie, laptop kali na kupenda ngono tu!...

Inamaana huna group discussion chuoni?! Huna marafiki au Course-mate?! Haya hata groups hakuna uulize?! Hao wakufunzi wana kazi gani?!

Kama ni kijana wa kiume AMKA! JITATHMINI! JITAMBUE! MAISHA SIO LELE MAMA... NA HILO NI SOMO RAHISI SANA! TULIZA AKILI.

Ahsante!
Huenda akawa anajua sema anataka kupima watu, au huenda ajui pia, ILA kweli chuo marafiki wote, magroup hujaelewa uje kuuliza JF daaah😂😂😂😂
 
Habari?
Law sio field yangu lakini kwenye kozi yangu nasoma Business law.
Kuna vitu nahitaji kuvijua vizuri/zaidi kuhusu law of contract, pia naomba atakae amua kunielewesha atoe mifano nadhani ndiyo nitaelewa vizuri.

1: Kuhusu cinsideration
-Consideration ni nini? mfano wake ni upi?
- promise ina utofauti gani na offer?
-Aina tatu za consideration zinakuaje
Past, Excuted na excutory?.

-Na kumove consideration ni kufanya nini?
-Na nani anaweza move consideration?

-Pia sifa za consideration ni zipi?

-Adequate ina maana gani kwenye consideration na Sufficient ina maana gani?

2. Kuhusu Free assent.
Kipengele cha mistake
Mistake inakuaje na je, katika hali zipi mistake inaweza pelekea agreement kuwa void na katika hali zipi inaweza pelekea agreement kuwa valid?

3: Kuhusu intention to create legal relations
Katika hali zipi domestic agreement zinaweza kuwa na lega effects?

Natanguliza shukrani.
Ulimuuliza mwalimu wako after class kuwa humuelewi?
 
Back
Top Bottom