Darlin
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 4,796
- 10,646
Usije ukanipopoa na mimi mkuu,nimeona dongo lako huko juu mhh hatari sana[emoji28]
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38]
Umejihami mapema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usije ukanipopoa na mimi mkuu,nimeona dongo lako huko juu mhh hatari sana[emoji28]
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Damn[emoji23][emoji23][emoji23]Haelewi consideration kwenye business law ujinga mtupu aache kusoma
Elimu sio ya kila mtu kwa ujinga alionao sidhani mtu yeyote serios awe kadomq certificate, au dipoloma au degree atajua kuwa huyo hayuko right place kavamia darasa
Atafute shughuli nyingine za kufanya masomo kwake ni ngozi ya tembo
Kabisa binafsi nahurumia wazazi wake kiumbe waliyemzaa sio wa kuhangaika naye kumsomesha wamwache tu akiwa mpiga debe sawa aikiwa muokota machupa majalalani akauze sawa lakini kwa shule no please wasipoteze pesa zao
Hamna kitu kichwani huyo
Shule huhitaji wenye kitu kichwani
Huyo hana
Mtoa mada kaingia cha kike[emoji38][emoji38][emoji38]
Umejihami mapema
Kifupi mleta mada hakustahili kuwa chuoni
Oya dah inatosha mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]Kifupi mleta mada hakustahili kuwa chuoni
Alitakiwa kuwa kijijini analima au mjini anazungusha mitaani matunda au anauza genge uswahilini
Mtoa mada kaingia cha kike
Hayo makombora huko juu yanalenga pale pale kwenye mshono[emoji23]
Mpumbavu anatakiwa kujibiwa ili ajue upumbavu wake ulipo bila kujibiwa atajiona normal kumbe hamna kitu bwege tuSometime is better to keep quiet kuliko kujibu shiit
Nilikua nacheka na hii comment yako imezidi kunivunja mbavu nacheka kama fala watu wananishangaa [emoji23][emoji23]Akikaa hivi nchale, akigeuka nchale
Nahis hapo ashachukia kuanzia somo, JF na chuo kwa ujumla[emoji23][emoji23][emoji23]
Picha linaanza mtoa mada kashautelekeza uzi wake[emoji23][emoji23]Akikaa hivi nchale, akigeuka nchale
Nahis hapo ashachukia kuanzia somo, JF na chuo kwa ujumla[emoji23][emoji23][emoji23]
Habari?
Law sio field yangu lakini kwenye kozi yangu nasoma Business law.
Kuna vitu nahitaji kuvijua vizuri/zaidi kuhusu law of contract, pia naomba atakae amua kunielewesha atoe mifano nadhani ndiyo nitaelewa vizuri.
1: Kuhusu cinsideration
-Consideration ni nini? mfano wake ni upi?
- promise ina utofauti gani na offer?
-Aina tatu za consideration zinakuaje
Past, Excuted na excutory?.
-Na kumove consideration ni kufanya nini?
-Na nani anaweza move consideration?
-Pia sifa za consideration ni zipi?
-Adequate ina maana gani kwenye consideration na Sufficient ina maana gani?
2. Kuhusu Free assent.
Kipengele cha mistake
Mistake inakuaje na je, katika hali zipi mistake inaweza pelekea agreement kuwa void na katika hali zipi inaweza pelekea agreement kuwa valid?
3: Kuhusu intention to create legal relations
Katika hali zipi domestic agreement zinaweza kuwa na lega effects?
Natanguliza shukrani.
Ushog* hauwezi kuisha kwa style hii [emoji848]Habari?
Law sio field yangu lakini kwenye kozi yangu nasoma Business law.
Kuna vitu nahitaji kuvijua vizuri/zaidi kuhusu law of contract, pia naomba atakae amua kunielewesha atoe mifano nadhani ndiyo nitaelewa vizuri.
1: Kuhusu cinsideration
-Consideration ni nini? mfano wake ni upi?
- promise ina utofauti gani na offer?
-Aina tatu za consideration zinakuaje
Past, Excuted na excutory?.
-Na kumove consideration ni kufanya nini?
-Na nani anaweza move consideration?
-Pia sifa za consideration ni zipi?
-Adequate ina maana gani kwenye consideration na Sufficient ina maana gani?
2. Kuhusu Free assent.
Kipengele cha mistake
Mistake inakuaje na je, katika hali zipi mistake inaweza pelekea agreement kuwa void na katika hali zipi inaweza pelekea agreement kuwa valid?
3: Kuhusu intention to create legal relations
Katika hali zipi domestic agreement zinaweza kuwa na lega effects?
Natanguliza shukrani.
😆😆Nilikua nacheka na hii comment yako imezidi kunivunja mbavu nacheka kama fala watu wananishangaa [emoji23][emoji23]
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
😆😆😆Picha linaanza mtoa mada kashautelekeza uzi wake[emoji23][emoji23]
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Uwe makini na vitabu vya mitandaoni vingine vimepitwa na wakatiKuna vitabu vingi sana kwenye mitandao. Kama mewe ni mwanafunzi achana na hii mitandao tumia muda zaidi kusoma kuna vitabu vya bure online!
Dogo anataka tumfanyie individual assignment yake kizembe tuMoja ya module rahisi mno kwa ngazi ya elimu ya juu... ila mnafanya mchezo mchezo tu huko, muwe mnafikiri na mlikotoka na mjitathmini mnaelekea wapi maishani mwenu enyi vijana mliopo vyuoni. Kazi fashion, ujuaji, kunyoa minyoo ya kipumbavu, club, simu nzuri, movie, laptop kali na kupenda ngono tu!...
Inamaana huna group discussion chuoni?! Huna marafiki au Course-mate?! Haya hata groups hakuna uulize?! Hao wakufunzi wana kazi gani?!
Kama ni kijana wa kiume AMKA! JITATHMINI! JITAMBUE! MAISHA SIO LELE MAMA... NA HILO NI SOMO RAHISI SANA! TULIZA AKILI.
Ahsante!