Nasoma Business law, simuelewi vizuri mwalimu naomba nisaidiwe baadhi ya maswali

Nasoma Business law, simuelewi vizuri mwalimu naomba nisaidiwe baadhi ya maswali

Unajitetea sana kuna shida sehemu si bure.
Sisi tunaweka saini ya mikataba ya madini ikulu DODOMA, kati ya nchi yenu na makampuni tajiri kutoka nchini Australia hivi sasa... endelea kushindana mitandaoni na anonymous.

Tunawapangia ulaji wenu na namna ya kuishi. Business law niliisomea Duniani huko sio machokoroni huko unakokudhania wewe... 😊

YESSS! kuna shida mahali na tupo tunawazidishia shida hivi sasa hapa. Soon mtapanda daladala kwa mia nane
 
Sawa Mrs Van lakini najua ninachokisema. Mimi ni mkereketwa wa mambo ya elimu na nina angalau fununu ya mifumo mbalimbali ya elimu huko Ulaya, Marekani, Asia na hata hapa Afrika. Nimeshafanya kazi kwenye mashirika yanayojihusisha na elimu katika nchi za Kiafrika ikiwemo Tanzania. Kuna wakati inafika unatamani ujifiche ili kukwepa aibu inapofika wakati, kwa mfano, usaili wa mwanafunzi wa Kitanzania kupatiwa scholarship. Yaani vijana wetu wako shallow ajabu na huwezi kuwalinganisha na Wakenya, Waganda na wengineo. Kwa nini wa kwetu tu ndiyo wawe hivi?

Mwanzoni nilidhani pengine ni ishu ya Kiingereza lakini baadaye niligundua kuwa ni mfumo wetu wa elimu kwa ujumla wake. Wanafunzi wetu hawatafuti maarifa. Ni kukariri kariri tu na kukopi kopi hapa na pale wanafaulu mitihani yao basi. Na mfumo wetu unaendekeza hii tabia.

Huyu amenishangaza kwa sababu mambo anayouliza ni basic sana na yapo tu mtandaoni one click away. Angekuwa anauliza mambo serious angalau...lakini pengine ni kwa vile siyo uwanja wake...

Mrs Van. Hebu rudi tena ukaangalie maswali anayouliza. Hebu jipe muda wa masaa mawili tu uzame mtandaoni kutafuta majibu. Au nenda library hapo chuoni na mitandaoni kutafuta vitabu husika. Kweli huwezi kujibu hayo maswali basic? [emoji15][emoji15][emoji15]
Mimi binafsi masomo yenye story hua siyapendi na hua sifanyi vizur napenda mahesabu. Tumetofautiana uelewa kuna wengine ni slow learners hata huko america wapo. Mimi simshangai sababu kila mtu na akili na utashi wake
 
Habari?
Law sio field yangu lakini kwenye kozi yangu nasoma Business law.
Kuna vitu nahitaji kuvijua vizuri/zaidi kuhusu law of contract, pia naomba atakae amua kunielewesha atoe mifano nadhani ndiyo nitaelewa vizuri.

1: Kuhusu cinsideration
-Consideration ni nini? mfano wake ni upi?
- promise ina utofauti gani na offer?
-Aina tatu za consideration zinakuaje
Past, Excuted na excutory?.

-Na kumove consideration ni kufanya nini?
-Na nani anaweza move consideration?

-Pia sifa za consideration ni zipi?

-Adequate ina maana gani kwenye consideration na Sufficient ina maana gani?

2. Kuhusu Free assent.
Kipengele cha mistake
Mistake inakuaje na je, katika hali zipi mistake inaweza pelekea agreement kuwa void na katika hali zipi inaweza pelekea agreement kuwa valid?

3: Kuhusu intention to create legal relations
Katika hali zipi domestic agreement zinaweza kuwa na lega effects?

Natanguliza shukrani.
Ww mbona hata boda itakufaa looks maswali gn hayo ulilazimishwa kwenda chuo lazma
 
JF imejaa watu wapumbavu now days kijana badala mumpatie maelezo mnaanza kumjibu shit

Tumieni Akili katika kujibu watu mnajikuta mmemaliza Maisha kumbe washamba tu

Kijana yupo sahihi kuuliza swali lake hapa Mimi sijasoma business Law lakin ningekuwa najua ningempa maelezo yakutosha then huko chuoni na JF forum wapi Kuna Great thinkers?
 
Mimi binafsi masomo yenye story hua siyapendi na hua sifanyi vizur napenda mahesabu. Tumetofautiana uelewa kuna wengine ni slow learners hata huko america wapo. Mimi simshangai sababu kila mtu na akili na utashi wake
Unavyochangia mada tu unaonekana ni sista duu, kama sikosei ulimaliza elimu yako ya ngazi ya juu kutoka kwenye zile vyuo zinazoongozaga kwa Connection nchini. IFM, CBE au TIA

Mchukue mtoto aliyemaliza I.B braeburn, Aurusha Modern, St. Constatine, Feza au IST alafu mchukue mwanachuo wa IFM au UDSM waambie waelezee katiba ndipo utaji-prove wrong!... Vijana wetu hawana mihemko na shule! Wanaendekeza mambo ya hovyohovyo tu! The late phase 5 (Magufuli) alisoma fani gani?! Mbona alikuwa smart kwenye kila category?! Unataka kusemaje hapo... na huo ni mfano mkubwa sana nimekupa.

Kuna Auditing firm ipo Upanga inaitwa "Covenant" mfuatilie mmiliki na mwanzilishi alisoma nini na leo hii anafanya mambo ya biashara pia na yanakwenda vizuri kwelikweli! JITATHMINI.


Usiwekeze nguvu kutetea ujinga. Siku utakapokuwa mzazi mwenye maono utaelewa. Usipoelewa hatutashangaa... wanawake hamuelewagi ndomana mwalimu wenu ni kipofu.

Huyo Mumeo Van ndo ataelewa
 
JF imejaa watu wapumbavu now days kijana badala mumpatie maelezo mnaanza kumjibu shit

Tumieni Akili katika kujibu watu mnajikuta mmemaliza Maisha kumbe washamba tu

Kijana yupo sahihi kuuliza swali lake hapa Mimi sijasoma business Law lakin ningekuwa najua ningempa maelezo yakutosha then huko chuoni na JF forum wapi Kuna Great thinkers?
Kuna mambo ni upotevu wa muda! Maadili yanamomonyoka kila kukicha! Vitu vingine ni uzembe! Tathmini kabla huja-criticize mkuu

Msomi mmoja alisema "Ubongo wa bin-Adam, mfumo wake ulivyo umekunjwa au umesokotwa, ukikunjuliwa unaweza kukunjuka na kufika bara la Amerika na kurudi" tathmini hiyo kauli na utaelewa alimaanisha nini.

Wewe hukusoma Business law kwa sababu hukutaka ila hata hivi sasa unaweza kuisoma na ukai-master! Tathmini 😊👍🏾
 
Huo muda ambao umeanzisha uzi humu ungetafuta sources library na kwenye internet ungepata majibu mazuri sana badala yake unataka majibu mepesi ya wana JF. Naweza kukupa majibu ila hayatokuwa sahihi zaidi ya ambayo ungepata kwa academia
 
Kuna mambo ni upotevu wa muda! Maadili yanamomonyoka kila kukicha! Vitu vingine ni uzembe! Tathmini kabla huja-criticize mkuu

Msomi mmoja alisema "Ubongo wa bin-Adam, mfumo wake ulivyo umekunjwa au umesokotwa, ukikunjuliwa unaweza kukunjuka na kufika bara la Amerika na kurudi" tathmini hiyo kauli na utaelewa alimaanisha nini.

Wewe hukusoma Business law kwa sababu hukutaka ila hata hivi sasa unaweza kuisoma na ukai-master! Tathmini 😊👍🏾
Ushauri mpatie Mwanao wa kumzaa wewe mwenyewe huna heshima unatukana Mtu hata humjui unajikuta Maisha umemaliza hujui hata destination what will happen nadhani unatatizo la chuki linakusumbua na itakugharimu


Usije ukafungua bakuri lako kutukana mtu mtandaoni au mtaani kisa tu unajikuta una ego nakuonya usirudie jifunze kuishi vizuri na watu huna jibu kaa kimya
 
Mimi binafsi masomo yenye story hua siyapendi na hua sifanyi vizur napenda mahesabu. Tumetofautiana uelewa kuna wengine ni slow learners hata huko america wapo. Mimi simshangai sababu kila mtu na akili na utashi wake
Sawa! 🙏🏿
 
Huo muda ambao umeanzisha uzi humu ungetafuta sources library na kwenye internet ungepata majibu mazuri sana badala yake unataka majibu mepesi ya wana JF. Naweza kukupa majibu ila hayatokuwa sahihi zaidi ya ambayo ungepata kwa academia
We kwanza upo chuo mwaka wa tatu SUA sasa sijui utamsaidiaje
 
Ushauri mpatie Mwanao wa kumzaa wewe mwenyewe huna heshima unatukana Mtu hata humjui unajikuta Maisha umemaliza hujui hata destination what will happen nadhani unatatizo la chuki linakusumbua na itakugharimu


Usije ukafungua bakuri lako kutukana mtu mtandaoni au mtaani kisa tu unajikuta una ego nakuonya usirudie jifunze kuishi vizuri na watu huna jibu kaa kimya
WEWE MPUMBAVU UNANIONYA MIMI KAMA NANI?!
 
Unavyochangia mada tu unaonekana ni sista duu, kama sikosei ulimaliza elimu yako ya ngazi ya juu kutoka kwenye zile vyuo zinazoongozaga kwa Connection nchini. IFM, CBE au TIA

Mchukue mtoto aliyemaliza I.B braeburn, Aurusha Modern, St. Constatine, Feza au IST alafu mchukue mwanachuo wa IFM au UDSM waambie waelezee katiba ndipo utaji-prove wrong!... Vijana wetu hawana mihemko na shule! Wanaendekeza mambo ya hovyohovyo tu! The late phase 5 (Magufuli) alisoma fani gani?! Mbona alikuwa smart kwenye kila category?! Unataka kusemaje hapo... na huo ni mfano mkubwa sana nimekupa.

Kuna Auditing firm ipo Upanga inaitwa "Covenant" mfuatilie mmiliki na mwanzilishi alisoma nini na leo hii anafanya mambo ya biashara pia na yanakwenda vizuri kwelikweli! JITATHMINI.


Usiwekeze nguvu kutetea ujinga. Siku utakapokuwa mzazi mwenye maono utaelewa. Usipoelewa hatutashangaa... wanawake hamuelewagi ndomana mwalimu wenu ni kipofu.

Huyo Mumeo Van ndo ataelewa
Aisee Mkuu hili ni kweli, vijana wa ifm,cbe,nit,tia hamna kitu, ukiwauliza kuhusu katiba wanakujibu Mimi sio mwanasiasa,aisee hao watoto wa IST wako aware na mambo mengi sana
 
Tena they're very! Very! Very! Competent kwenye kila kitu jaman

Mpaka nasikiaga uchungu... sasa haya matoto yetu yana laana gani najiulizaga. Wale watoto wanajua mpaka government system ya nchi yetu nje ndani ila havinaga hata habari.

Ukiwapeleka kwenye afya wamo, Sanaa na michezo wamo, Sayansi ndo usiseme... mtoto anachapa Code kama Robot, ukimleta kwenye historia ndo uta-blow ubaki mdomo wazi. Atakupa mpaka historia za Angola na uswidi. Unadhani hamjui Nyerere ila atatumia takriban dakika 20 anamuelezea. Msimamishe msomi hewa wa Vyuo vyetu amuelezee Sokoine angalau kwa dakika 45... kama ni mzazi mwenye uchungu na uzalendo chozi litakutoka.

Ulaaniwe utandawazi 😣😔😔😔
Aisee Mkuu hili ni kweli, vijana wa ifm,cbe,nit,tia hamna kitu, ukiwauliza kuhusu katiba wanakujibu Mimi sio mwanasiasa,aisee hao watoto wa IST wako aware na mambo mengi sana
 
Back
Top Bottom