Nasoma Business law, simuelewi vizuri mwalimu naomba nisaidiwe baadhi ya maswali

Nasoma Business law, simuelewi vizuri mwalimu naomba nisaidiwe baadhi ya maswali

Uwe makini na vitabu vya mitandaoni vingine vimepitwa na wakati

Mfano shule nyingi zinazoongoza kitaifa sekondari hasa za katoliki hukataza kabisa mwanafunzi kwenda kusoma tuition za mitaani likizo wanajiamini elimu waliyowapa hawataki kabisa mtoto asome Tuition yeyote likizo sababu hujiamini ufundishaji na kuwa wako current ki syllabus nk hawataki watoto wajaze mchanganyiko kichwani

Tuition mwalimu aweza kuwa hata form form failure anaokota vitu Internet vilivyopitwa na wakati na kuwapa wanafunzi mtihani wa taifa ukija wanafeli

Internet sio mbadala wa Mwalimu au lecture hata siku moja

Ndiyo maana ya mitandao kuna mazuri na mabaya lakini kama mwanafunzi unatakiwa kufanya uchunguzi huo na ni rahisi kuliko kwenda kutafuta vitabu Library ambavyo vingi ni vya zamani sana
 
Ndiyo maana ya mitandao kuna mazuri na mabaya lakini kama mwanafunzi unatakiwa kufanya uchunguzi huo na ni rahisi kuliko kwenda kutafuta vitabu Library ambavyo vingi ni vya zamani sana
Mwanafunzi labda wa digrii ya Pili na PhD first degree au sekondari sidhani sana upeo wake mdogo mno

Anatakiwa kuwa dependent sana na material za mwalimu au lectures

Huko Internet sijui Wikipedia au kokote kuingia chaka porini kitu kidogo sana

Akae darasani a pay attention vizuri kwa mwalimu au lecturer akili yake isiwaze Internet
 
Nimejaribu kukuwekea vitabu na Sheria naona nimeshindwa sijajua kuna shida gani...

kama unaccess ya Telegram nitafute my code hii hapa👇nikutumie vitabu vitakusaidia
IMG_20230417_165055_510.jpg
 
Unavyochangia mada tu unaonekana ni sista duu, kama sikosei ulimaliza elimu yako ya ngazi ya juu kutoka kwenye zile vyuo zinazoongozaga kwa Connection nchini. IFM, CBE au TIA

Mchukue mtoto aliyemaliza I.B braeburn, Aurusha Modern, St. Constatine, Feza au IST alafu mchukue mwanachuo wa IFM au UDSM waambie waelezee katiba ndipo utaji-prove wrong!... Vijana wetu hawana mihemko na shule! Wanaendekeza mambo ya hovyohovyo tu! The late phase 5 (Magufuli) alisoma fani gani?! Mbona alikuwa smart kwenye kila category?! Unataka kusemaje hapo... na huo ni mfano mkubwa sana nimekupa.

Kuna Auditing firm ipo Upanga inaitwa "Covenant" mfuatilie mmiliki na mwanzilishi alisoma nini na leo hii anafanya mambo ya biashara pia na yanakwenda vizuri kwelikweli! JITATHMINI.


Usiwekeze nguvu kutetea ujinga. Siku utakapokuwa mzazi mwenye maono utaelewa. Usipoelewa hatutashangaa... wanawake hamuelewagi ndomana mwalimu wenu ni kipofu.

Huyo Mumeo Van ndo ataelewa
Hahaaaa usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Wewe baki kua na uhohehahe wako tu. Maneno kidogo unashusha risala kwani nilikwambia mimi ni mgeni rasmi[emoji848]
 
Mwanafunzi labda wa digrii ya Pili na PhD first degree au sekondari sidhani sana upeo wake mdogo mno

Anatakiwa kuwa dependent sana na material za mwalimu au lectures

Huko Internet sijui Wikipedia au kokote kuingia chaka porini kitu kidogo sana

Akae darasani a pay attention vizuri kwa mwalimu au lecturer akili yake isiwaze Internet
Hivi ndio ilipaswa kumuelekeza maana kila mtu google google wakati hiyo google ni GIGO. Bora hata aliuliza wakubwa zake humu
 
Habari?
Law sio field yangu lakini kwenye kozi yangu nasoma Business law.
Kuna vitu nahitaji kuvijua vizuri/zaidi kuhusu law of contract, pia naomba atakae amua kunielewesha atoe mifano nadhani ndiyo nitaelewa vizuri.

1: Kuhusu cinsideration
-Consideration ni nini? mfano wake ni upi?
- promise ina utofauti gani na offer?
-Aina tatu za consideration zinakuaje
Past, Excuted na excutory?.

-Na kumove consideration ni kufanya nini?
-Na nani anaweza move consideration?

-Pia sifa za consideration ni zipi?

-Adequate ina maana gani kwenye consideration na Sufficient ina maana gani?

2. Kuhusu Free assent.
Kipengele cha mistake
Mistake inakuaje na je, katika hali zipi mistake inaweza pelekea agreement kuwa void na katika hali zipi inaweza pelekea agreement kuwa valid?

3: Kuhusu intention to create legal relations
Katika hali zipi domestic agreement zinaweza kuwa na lega effects?

Natanguliza shukrani.
Hapa ndo ninaona umuhimu wa kiswahili au kingereza kitumike kuanzia shule ya msingi hadi chuo kikuu.Sijasoma Law ila lugha inanifanya kuwa na idea promise yaani ni tayari proposal imekubaliwa ,offer ni kabla ya kuwa promise yaani inaweza kukataliwa au kukubaliwa.
 
Mtafute piem tusije tukampoteza[emoji23][emoji23][emoji23]
Hasira zake zote atamalizia kwangu,yale makombora aliyopigwa sio poa ujue[emoji28]

Imagine mtu anakwambia elimu ishakushinda wewe ilibidi uwe muuza mayai barabarani,au mpiga debe [emoji23][emoji23][emoji119]

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Hasira zake zote atamalizia kwangu,yale makombora aliyopigwa sio poa ujue[emoji28]

Imagine mtu anakwambia elimu ishakushinda wewe ilibidi uwe muuza mayai barabarani,au mpiga debe [emoji23][emoji23][emoji119]

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app

Ndio maana nakwambia mtafute uokoe jahazi[emoji23][emoji23][emoji23]
Usikute kashaacha chuo tayari
Sijui atawaambia nini wazazi

Unakuta saiv yuko makumbusho anauza simu used as new kutoka dubei[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hahaaaa usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Wewe baki kua na uhohehahe wako tu. Maneno kidogo unashusha risala kwani nilikwambia mimi ni mgeni rasmi[emoji848]
TENA MIMI NI HOHEHAHE NGURI! 😃👍🏾
 
Angekua mwanao ungeropoka hivyo? Kwani china kitu gani mfyuuuuuu
Tena asiombe kuwa mwanangu😃😃😃


Mtoto anavyojengwa anakuwa kwa kufuata nyayo, misingi na protokali zilezile kama hujui😊

Mwalimu wa wanawake ni kipofu. Huwezi kuelewa
 
Daah...Aiseee
Lakini hata mimi nilikutana nayo kwenye Engineering, first year
Mambo ya Tort Law is the civil wrong, na kukutana na kesi ya snail in the bottle "Donoghue vs Stevenson"

Lakini mmemshabulia sana kijana wa watu.
 
Muacheni mtoto wa watu na hivi hatujuani unaweza kuta hata ni ndugu yako kama sio mwanao. Yeye amejikita kwenye mambo ya biashara hayo masheria yamemchanga akili. Wewe hujawahi soma kitu hata ukaenda google huelewi ukabaki kuhaha. Kaona akija huku wanasheria watamsaidia kwa lugha nyepesi aelewe.


Nakumbuka na mimi nilisoma business law mwalimu anaingia na kitambi chake na simu tu. Hatoi notes wala nini ni story tu. Akimaliza anaaga anaondoka mnabaki kutoa macho.

The contract was Void or Voidable[emoji1787]

Nlkuwa naenda na gut feeling
 
Unavyochangia mada tu unaonekana ni sista duu, kama sikosei ulimaliza elimu yako ya ngazi ya juu kutoka kwenye zile vyuo zinazoongozaga kwa Connection nchini. IFM, CBE au TIA

Mchukue mtoto aliyemaliza I.B braeburn, Aurusha Modern, St. Constatine, Feza au IST alafu mchukue mwanachuo wa IFM au UDSM waambie waelezee katiba ndipo utaji-prove wrong!... Vijana wetu hawana mihemko na shule! Wanaendekeza mambo ya hovyohovyo tu! The late phase 5 (Magufuli) alisoma fani gani?! Mbona alikuwa smart kwenye kila category?! Unataka kusemaje hapo... na huo ni mfano mkubwa sana nimekupa.

Kuna Auditing firm ipo Upanga inaitwa "Covenant" mfuatilie mmiliki na mwanzilishi alisoma nini na leo hii anafanya mambo ya biashara pia na yanakwenda vizuri kwelikweli! JITATHMINI.


Usiwekeze nguvu kutetea ujinga. Siku utakapokuwa mzazi mwenye maono utaelewa. Usipoelewa hatutashangaa... wanawake hamuelewagi ndomana mwalimu wenu ni kipofu.

Huyo Mumeo Van ndo ataelewa

Kwahiyo ujumbe wa hapa ni kufanya marketing ya Covenant na Goodhope
 
Back
Top Bottom