Nasoma uzi wa Umughaka, unanisisimua sana, sasa naona nafukuzwa na wachawi

Nasoma uzi wa Umughaka, unanisisimua sana, sasa naona nafukuzwa na wachawi

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
UMUGHAKA ana uzi wake wa kichawi, aisee unasisimua sana.

Nilipoanza kuusoma niliona ni hadithi tu, lakini sasa ninachokiona ni zaidi ya hadithi.

Kuna wamama niliwaota usiku uliopita wakiwa uchi, cha ajabu wale wamama niliowaota nimekutana nao leo asubuhi Puma, Mwenge.

Nikatoka hapo nikaenda kanisani Mabibo External, tukiwa tunatoa sadaka, nimewaona tena wakiwa kwenye mstari wa kutoa sadaka.

Muda huu niko na rafiki zangu hapa kwa Eddo Chips, Namanga Msasani nimewaona tena wamekaa meza ya jirani.

Macho yao ni mekundu sana na wananikodolea macho, mmoja ananitabasamia tabasamu gumu.

Mungu niepushe na haya maroho ya uchawi.
 
UMUGHAKA ana uzi wake wa kichawi, aisee unasisimua sana.

Nilipoanza kuusoma niliona ni hadithi tu, lakini sasa ninachokiona ni zaidi ya hadithi.

Kuna wamama niliwaota usiku uliopita wakiwa uchi, cha ajabu wale wamama niliowaota nimekutana nao leo asubuhi Puma, Mwenge.

Nikatoka hapo nikaenda kanisani Mabibo External, tukiwa tunatoa sadaka, nimewaona tena wakiwa kwenye mstari wa kutoa sadaka.

Muda huu niko na rafiki zangu hapa kwa Eddo Chips, Namanga Msasani nimewaona tena wamekaa meza ya jirani.

Macho yao ni mekundu sana na wananikodolea macho, mmoja ananitabasamia tabasamu gumu.

Mungu niepushe na haya maroho ya uchawi.
Umughaka amekuponza comrade
 
UMUGHAKA ana uzi wake wa kichawi, aisee unasisimua sana.

Nilipoanza kuusoma niliona ni hadithi tu, lakini sasa ninachokiona ni zaidi ya hadithi.

Kuna wamama niliwaota usiku uliopita wakiwa uchi, cha ajabu wale wamama niliowaota nimekutana nao leo asubuhi Puma, Mwenge.

Nikatoka hapo nikaenda kanisani Mabibo External, tukiwa tunatoa sadaka, nimewaona tena wakiwa kwenye mstari wa kutoa sadaka.

Muda huu niko na rafiki zangu hapa kwa Eddo Chips, Namanga Msasani nimewaona tena wamekaa meza ya jirani.

Macho yao ni mekundu sana na wananikodolea macho, mmoja ananitabasamia tabasamu gumu.

Mungu niepushe na haya maroho ya uchawi.
Ni swala la muda tu, MONICA utakutana nae ukiwa unaelekea nyumbani😆😆😆😆 na jioni ya leo utakutana na MWISE na tako lake
 
Yeah, uchawi upo kama unaufuatilia na kuuamini.
Ukiupuuzia haupo.
Ni kama nabii/mchungaji hawezi kumuombea na kumponesha mtu asiye na imani....

Hivohivo mtu kamwe hawezi kumroga asiyeamini uchawi.
 
Yeah, uchawi upo kama unaufuatilia na kuuamini.
Ukiupuuzia haupo.
Ni kama nabii/mchungaji hawezi kumuombea na kumponesha mtu asiye na imani....

Hivohivo mtu kamwe hawezi kumroga asiyeamini uchawi.
Wewe ndio mchawi mwenyewe. Mara nyingi wachawi huwasadikisha watu kuwa uchawi haupo, ila ukiuamini ndio unakudhuru. Hata vitabu vya dini vinakiri kuwa uchawi upo na una dhuru

1665312678212.png
 
Wanakufata Hadi kanisani.🤣
Ungezoom vizuri ht hao uliokaa nao pamoja na viongozi nao ni Kama hao ma-shangazi.
 
Back
Top Bottom