Nasoma uzi wa Umughaka, unanisisimua sana, sasa naona nafukuzwa na wachawi

Nasoma uzi wa Umughaka, unanisisimua sana, sasa naona nafukuzwa na wachawi

UMUGHAKA ana uzi wake wa kichawi, aisee unasisimua sana.

Nilipoanza kuusoma niliona ni hadithi tu, lakini sasa ninachokiona ni zaidi ya hadithi.

Kuna wamama niliwaota usiku uliopita wakiwa uchi, cha ajabu wale wamama niliowaota nimekutana nao leo asubuhi Puma, Mwenge.

Nikatoka hapo nikaenda kanisani Mabibo External, tukiwa tunatoa sadaka, nimewaona tena wakiwa kwenye mstari wa kutoa sadaka.

Muda huu niko na rafiki zangu hapa kwa Eddo Chips, Namanga Msasani nimewaona tena wamekaa meza ya jirani.

Macho yao ni mekundu sana na wananikodolea macho, mmoja ananitabasamia tabasamu gumu.

Mungu niepushe na haya maroho ya uchawi.
Chukua namba zao au acha bangi mzee
 
Labda kama hakijaandikwa kwenye maandiko matakatifu
Hayahaya maandiko yanayosema wadudu wana miguu minne?
Mambo ya walawi 11:20''Wadudu wote wenye mabawa wanatembea kwa miguu minne kwenu ni machukizo. "

Wewe uanamjua mdudu yeyote mwenye miguu minne?
 
Hayahaya maandiko yanayosema wadudu wana miguu minne?
Mambo ya walawi 11:20''Wadudu wote wenye mabawa wanatembea kwa miguu minne kwenu ni machukizo. "

Wewe uanamjua mdudu yeyote mwenye miguu minne?
Wadudu wapo wengi sana wenye idadi tofauti ya miguu
 
Hayahaya maandiko yanayosema wadudu wana miguu minne?
Mambo ya walawi 11:20''Wadudu wote wenye mabawa wanatembea kwa miguu minne kwenu ni machukizo. "

Wewe uanamjua mdudu yeyote mwenye miguu minne?
c677efe29ff639cfeec83e5f3fff6dae.png
 
UMUGHAKA ana uzi wake wa kichawi, aisee unasisimua sana.

Nilipoanza kuusoma niliona ni hadithi tu, lakini sasa ninachokiona ni zaidi ya hadithi.

Kuna wamama niliwaota usiku uliopita wakiwa uchi, cha ajabu wale wamama niliowaota nimekutana nao leo asubuhi Puma, Mwenge.

Nikatoka hapo nikaenda kanisani Mabibo External, tukiwa tunatoa sadaka, nimewaona tena wakiwa kwenye mstari wa kutoa sadaka.

Muda huu niko na rafiki zangu hapa kwa Eddo Chips, Namanga Msasani nimewaona tena wamekaa meza ya jirani.

Macho yao ni mekundu sana na wananikodolea macho, mmoja ananitabasamia tabasamu gumu.

Mungu niepushe na haya maroho ya uchawi.

Mwise...
 
UMUGHAKA ana uzi wake wa kichawi, aisee unasisimua sana.

Nilipoanza kuusoma niliona ni hadithi tu, lakini sasa ninachokiona ni zaidi ya hadithi.

Kuna wamama niliwaota usiku uliopita wakiwa uchi, cha ajabu wale wamama niliowaota nimekutana nao leo asubuhi Puma, Mwenge.

Nikatoka hapo nikaenda kanisani Mabibo External, tukiwa tunatoa sadaka, nimewaona tena wakiwa kwenye mstari wa kutoa sadaka.

Muda huu niko na rafiki zangu hapa kwa Eddo Chips, Namanga Msasani nimewaona tena wamekaa meza ya jirani.

Macho yao ni mekundu sana na wananikodolea macho, mmoja ananitabasamia tabasamu gumu.

Mungu niepushe na haya maroho ya uchawi.
Mtafute Monica wako akaulinde, umughaka alipenda akalindwa na Monica na mama yake
 
UMUGHAKA ana uzi wake wa kichawi, aisee unasisimua sana.

Nilipoanza kuusoma niliona ni hadithi tu, lakini sasa ninachokiona ni zaidi ya hadithi.

Kuna wamama niliwaota usiku uliopita wakiwa uchi, cha ajabu wale wamama niliowaota nimekutana nao leo asubuhi Puma, Mwenge.

Nikatoka hapo nikaenda kanisani Mabibo External, tukiwa tunatoa sadaka, nimewaona tena wakiwa kwenye mstari wa kutoa sadaka.

Muda huu niko na rafiki zangu hapa kwa Eddo Chips, Namanga Msasani nimewaona tena wamekaa meza ya jirani.

Macho yao ni mekundu sana na wananikodolea macho, mmoja ananitabasamia tabasamu gumu.

Mungu niepushe na haya maroho ya uchawi.
Huku sisi ni ndugu muombe umughaka msaada wa dawa.
 
Back
Top Bottom