Wilfred Ramadhan
JF-Expert Member
- Apr 7, 2022
- 503
- 905
Uoga wa kike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani nipigwe Chale za makalioni kisa demu? Demu ananisadikisha kuwa ananilindaHuku sisi ni ndugu muombe umughaka msaada wa dawa.
Aiseee......Uoga wa kike
Haha hahah hahMi nilisoma naona Monica kaja usiku eti anataka blow job.....nikaona fresh Tu maana umghaka alisema na mkono WA sweta
Ninalindwa na zile stika zinazolinda magari. Hujawahi kuona mtu ananunua stika sh. Laki moja anabandika kwenye gari lake? Stika imeandikwa gari hili linalindwa na damu ya YesuMtafute Monica wako akaulinde, umughaka alipenda akalindwa na Monica na mama yake
UMUGHAKA atatrend humu balaa!!
Tunasubiria sehemu ya 18...
IshatokaUMUGHAKA atatrend humu balaa!!
Tunasubiria sehemu ya 18...
Uzi unaitwajeUMUGHAKA ana uzi wake wa kichawi, aisee unasisimua sana.
Nilipoanza kuusoma niliona ni hadithi tu, lakini sasa ninachokiona ni zaidi ya hadithi.
Kuna wamama niliwaota usiku uliopita wakiwa uchi, cha ajabu wale wamama niliowaota nimekutana nao leo asubuhi Puma, Mwenge.
Nikatoka hapo nikaenda kanisani Mabibo External, tukiwa tunatoa sadaka, nimewaona tena wakiwa kwenye mstari wa kutoa sadaka.
Muda huu niko na rafiki zangu hapa kwa Eddo Chips, Namanga Msasani nimewaona tena wamekaa meza ya jirani.
Macho yao ni mekundu sana na wananikodolea macho, mmoja ananitabasamia tabasamu gumu.
Mungu niepushe na haya maroho ya uchawi.
Niwekee link dearUMUGHAKA atatrend humu balaa!!
Tunasubiria sehemu ya 18...