Nasoma uzi wa Umughaka, unanisisimua sana, sasa naona nafukuzwa na wachawi

Nasoma uzi wa Umughaka, unanisisimua sana, sasa naona nafukuzwa na wachawi

Mi nilisoma naona Monica kaja usiku eti anataka blow job.....nikaona fresh Tu maana umghaka alisema na mkono WA sweta
 
Mtafute Monica wako akaulinde, umughaka alipenda akalindwa na Monica na mama yake
Ninalindwa na zile stika zinazolinda magari. Hujawahi kuona mtu ananunua stika sh. Laki moja anabandika kwenye gari lake? Stika imeandikwa gari hili linalindwa na damu ya Yesu
 
UMUGHAKA atatrend humu balaa!!
Tunasubiria sehemu ya 18...
 
UMUGHAKA ana uzi wake wa kichawi, aisee unasisimua sana.

Nilipoanza kuusoma niliona ni hadithi tu, lakini sasa ninachokiona ni zaidi ya hadithi.

Kuna wamama niliwaota usiku uliopita wakiwa uchi, cha ajabu wale wamama niliowaota nimekutana nao leo asubuhi Puma, Mwenge.

Nikatoka hapo nikaenda kanisani Mabibo External, tukiwa tunatoa sadaka, nimewaona tena wakiwa kwenye mstari wa kutoa sadaka.

Muda huu niko na rafiki zangu hapa kwa Eddo Chips, Namanga Msasani nimewaona tena wamekaa meza ya jirani.

Macho yao ni mekundu sana na wananikodolea macho, mmoja ananitabasamia tabasamu gumu.

Mungu niepushe na haya maroho ya uchawi.
Uzi unaitwaje
 
Naam
 

Attachments

  • 3bf74a91f19a552c4b5f7ec22bb5560f.jpg
    3bf74a91f19a552c4b5f7ec22bb5560f.jpg
    53.2 KB · Views: 29
Haki mi mwenyewe nimeusoma Jana tu,NIMEMUOTA uyu bibi ni mchawi namba mbaya mtaani na kijukuu chake....huu uzi unaanza niogopesha sasa
 
Uko high dimensions ambazo pia wao wapo na uwepo wako unawazuia wao kufanya mambo yao!
Kata mbuga kijaoendelea kupaa na utumie uwezo wako kuwasaidia watu!
All the blessings brother!
 
Back
Top Bottom