wax
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 5,945
- 5,733
Mkuu mbona kifaru hana speedTena speed ya kifaruView attachment 1832180
Labda speed ya light
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mbona kifaru hana speedTena speed ya kifaruView attachment 1832180
Mama alikuwa anaandaliwa na kanuni ya 'Natural Selection'
Ila hakujua kama anaefuata ni yeye kukaa kwenye Kiti
Kwenye maisha unaweza ukawa unaona mambo magumu kumbe unaandaliwa kwa kusudi fulani na ajuae ni Mungu tu hata Shetani huwa hajui
Hata Lissu aliandaliwa kwa kusudi fulani, mapito yote lengo lilikuwa amnyooshe mtu mmoja ambae nchi nzima ilikuwa inamnyara
Ila jamaa (Lisu) alikuwa anapita nae na mia
Sawa kabisa'Natural Selection'
Mkuu kumbuka kifaru huwa hajui kuwa Kuna shimo ama mlima ni mbele mbele😂😂😂,Mkuu mbona kifaru hana speed
Labda speed ya light
watanzania tumshukuru sana MunguMUNGU alitufanyia sana wepesi Watanzania kwa kulifyekelea mbali lile haramia la chattle street.
Huenda pia Lissu kachangia kwa kiasi flani mwendazake kwenda zake kutokana na minyoosho ya 2020 kwenye kampeni hadi kupelekea umeme wa moyo kupiga shoti kwa stress.Mama alikuwa anaandaliwa na kanuni ya 'Natural Selection'
Ila hakujua kama anaefuata ni yeye kukaa kwenye Kiti
Kwenye maisha unaweza ukawa unaona mambo magumu kumbe unaandaliwa kwa kusudi fulani na ajuae ni Mungu tu hata Shetani huwa hajui
Hata Lissu aliandaliwa kwa kusudi fulani, mapito yote lengo lilikuwa amnyooshe mtu mmoja ambae nchi nzima ilikuwa inamnyara
Ila jamaa (Lisu) alikuwa anapita nae na mia
Acheni kuongea ujinga. Hakuupenda utawala wake kivipi wakati hakuwahi kujiuzulu? Kwa maelezo yako haya ina maana tuna Kiongozi mnafiki? Hakuridhika na utawala huo kivipi wakati anajinasibu kuwa yeye hana tofauti na Magufuli?Mama hakuupenda kabisa uongozi wa dikteta jiwe. Ila alilazimika kubakia kwasabb hakuwa na namna
Hakuna Mungu mjinga wa namna hiyo! Kwa hiyo, unaamini Mungu ndo alimtoa Magufuli Duniani au alikufa kwa Ugonjwa? Au unaamini Mungu kazi yake ni kusikia Sala kuwa fulani hatakiwi na kisha Mungu kuchukua hatua? Kwa hiyo, mfano huyu mnaemshabikia akifa atakuwa ni Mungu amesikiliza Sala za akina nani? Zitakuwa Sala Za wale wasiompenda au wale wanaompenda?watanzania tumshukuru sana Mungu
NomaParagrafu ya mwisho ina ujumbe mzito na wa muhimu ambao umeufikisha kwa wakati
Acheni kuongea ujinga. Hakuupenda utawala wake kivipi wakati hakuwahi kujiuzulu? Kwa maelezo yako haya ina maana tuna Kiongozi mnafiki? Hakuridhika na utawala huo kivipi wakati anajinasibu kuwa yeye hana tofauti na Magufuli?
Daaah Kiswahili kina zidi kuharibika
Ni "KUJIUZULU"
Nilimkumbusha tu kutofautisha "kujiudhuru" na "kujiuzulu"Ni typing error
Ni maneno tu ya mitaani! Ajiuzulu halafu ale wapi? Sura ya kujuzulu iko wapi? Mtu anayetanguliza kubadilisha mavazi kwa Siku hata Mara tatu, anaweza kuwa na vinasaba vya msimamo maishani? Msimamo chanya unaambatana na kujikatalia Kwa ajili ya wengi. Kama sifa hiyo haipo Ni ndoto za kuishi Mwezini.Kama kilichodaiwa ni kweli, mimi ningemheshimu sana.
Na wala sidhani kama ingeleta picha mbaya kwa wananchi na jumuia ya kimataifa.
Kinyume chake, nadhani ingetuongezea heshima zaidi.
Kujiuzulu ukiwa hukubaliani na bosi wako ni jambo la heshima mno.
Linaonyesha jinsi ulivyo mtu wa kanuni. Na linaonyesha huna tamaa ya madarakani.
Wewe acha hizo yule Dr wa Tabora alipo acha ajira Jiwe alitangaza vita mpaka hospital iliyo muajiri ifutwe hadharaniKama kilichodaiwa ni kweli, mimi ningemheshimu sana.
Na wala sidhani kama ingeleta picha mbaya kwa wananchi na jumuia ya kimataifa.
Kinyume chake, nadhani ingetuongezea heshima zaidi.
Kujiuzulu ukiwa hukubaliani na bosi wako ni jambo la heshima mno.
Linaonyesha jinsi ulivyo mtu wa kanuni. Na linaonyesha huna tamaa ya madarakani.