Nasubiri nini kuamini Rais Samia alitaka(ga) kujiuzulu Awamu ya 5?

Nasubiri nini kuamini Rais Samia alitaka(ga) kujiuzulu Awamu ya 5?

Mama alikuwa anaandaliwa na kanuni ya 'Natural Selection'

Ila hakujua kama anaefuata ni yeye kukaa kwenye Kiti

Kwenye maisha unaweza ukawa unaona mambo magumu kumbe unaandaliwa kwa kusudi fulani na ajuae ni Mungu tu hata Shetani huwa hajui

Hata Lissu aliandaliwa kwa kusudi fulani, mapito yote lengo lilikuwa amnyooshe mtu mmoja ambae nchi nzima ilikuwa inamnyara

Ila jamaa (Lisu) alikuwa anapita nae na mia
Lissu bado anakazi ya kufanya nchi hii Mungu ajawahi kufanya kazi kwa hasara.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna Mungu mjinga wa namna hiyo! Kwa hiyo, unaamini Mungu ndo alimtoa Magufuli Duniani au alikufa kwa Ugonjwa? Au unaamini Mungu kazi yake ni kusikia Sala kuwa fulani hatakiwi na kisha Mungu kuchukua hatua? Kwa hiyo, mfano huyu mnaemshabikia akifa atakuwa ni Mungu amesikiliza Sala za akina nani? Zitakuwa Sala Za wale wasiompenda au wale wanaompenda?

Sometimes mungu huwapa watu wake kiongoz mwema na huwapa pia kiongoz mwovu,Ili wapate kumkumbuka na kumshukuru kwa kila hatua ambazo kiongoz huyo mwema au mwovu anawapitisha,Magufuli mwema au mwovu??kama ni mwema why walalahoi wengi Wana celebrate kuondoka kwake
 
Ni maneno tu ya mitaani! Ajiuzulu halafu ale wapi? Sura ya kujuzulu iko wapi? Mtu anayetanguliza kubadilisha mavazi kwa Siku hata Mara tatu, anaweza kuwa na vinasaba vya msimamo maishani? Msimamo chanya unaambatana na kujikatalia Kwa ajili ya wengi. Kama sifa hiyo haipo Ni ndoto za kuishi Mwezini.
We ni nyani MASIKINI kwakweli Sasa ulitaka mkuu wa nchi avae kauka nikuvae?
 
Ni maneno tu ya mitaani! Ajiuzulu halafu ale wapi? Sura ya kujuzulu iko wapi? Mtu anayetanguliza kubadilisha mavazi kwa Siku hata Mara tatu, anaweza kuwa na vinasaba vya msimamo maishani? Msimamo chanya unaambatana na kujikatalia Kwa ajili ya wengi. Kama sifa hiyo haipo Ni ndoto za kuishi Mwezini.
Hata akibadilisha mara kumi wewe inakuhusu Nini?
 
Sometimes mungu huwapa watu wake kiongoz mwema na huwapa pia kiongoz mwovu,Ili wapate kumkumbuka na kumshukuru kwa kila hatua ambazo kiongoz huyo mwema au mwovu anawapitisha,Magufuli mwema au mwovu??kama ni mwema why walalahoi wengi Wana celebrate kuondoka kwake
Walalahoi wa humu jukwaani sio wengi kwa kuwalinganisha na wale walioweka kanga ili gari la mwili liweze kupita juu. JPM alieleweka sana kwa watu wa hali ya chini, hakujikweza mbele ya mwananchi wa kawaida aliendelea kuwa kama kipindi kile alipokuwa waziri wa ujenzi.
 
Na yule aliyekuwa balozi ubel ndugu Sokoine.Tetesi zinasemaje alipoenda kumuona lissu hospital.

Mama akijaandika kitabu cha safari ya uongozi wake nadhani atasema kijiuzulu ilitokeaje.
Akiwa NG'O mojawapo alisema kuna bosi wake alimtambulisha kuwa nina staff mwanake,Mama aliamua kuondoka.Leo Rais
Mwendazake alimpeleka ubalozini , dr mpoki kisa alimuhudumia lisu Dodoma hsp.
 
Na yule aliyekuwa balozi ubel ndugu Sokoine.Tetesi zinasemaje alipoenda kumuona lissu hospital.

Mama akijaandika kitabu cha safari ya uongozi wake nadhani atasema kijiuzulu ilitokeaje.
Akiwa NG'O mojawapo alisema kuna bosi wake alimtambulisha kuwa nina staff mwanake,Mama aliamua kuondoka.Leo Rais
Umeandaje we mbwa. Mbona hueleweki
 
Mwarobaini wa huu upuuzi wote ni katiba mpya tu
Mwarobani ni uzalendo maana uzalendo unatoka moyoni laikini katiba ni maandishi ambayo huwa na maana sana yakikutana na mzalendo wa kweli. Lakini kwa watu wengi nyumbu hudhania katiba ndo kila kitu. Hata qurani na biblia zipo na kila leo mnatenda zambi maana hamko tayari kuacha dhambi kutoka moyoni na ukumbuke hawa wanaopiga kelele za katiba mara nyingi hutizama matumbo yao tu na wala sio wananchi wa kawaida. Siku nyingine utoe ufafafnuzi nchi gani iliyo na katiba nzuri ambayo imemaliza matatozo yote? Kumbuka mtu akiwa mzalendo katiba ni kitu kidogo sana maana kaitiba ni mwongozo tu na taratibu amabazo hata sasa zipo na zinafanya kazi vizuri.
 
Sometimes mungu huwapa watu wake kiongoz mwema na huwapa pia kiongoz mwovu,Ili wapate kumkumbuka na kumshukuru kwa kila hatua ambazo kiongoz huyo mwema au mwovu anawapitisha,Magufuli mwema au mwovu??kama ni mwema why walalahoi wengi Wana celebrate kuondoka kwake
Wa lala hoi wa humu jamii forum? Unafiki tu.
 
Mwarobani ni uzalendo maana uzalendo unatoka moyoni laikini katiba ni maandishi ambayo huwa na maana sana yakikutana na mzalendo wa kweli. Lakini kwa watu wengi nyumbu hudhania katiba ndo kila kitu. Hata qurani na biblia zipo na kila leo mnatenda zambi maana hamko tayari kuacha dhambi kutoka moyoni na ukumbuke hawa wanaopiga kelele za katiba mara nyingi hutizama matumbo yao tu na wala sio wananchi wa kawaida. Siku nyingine utoe ufafafnuzi nchi gani iliyo na katiba nzuri ambayo imemaliza matatozo yote? Kumbuka mtu akiwa mzalendo katiba ni kitu kidogo sana maana kaitiba ni mwongozo tu na taratibu amabazo hata sasa zipo na zinafanya kazi vizuri.
Hivi wachina ni wazalendo kwa taifa lao au wana katiba nzur?
 
alimpiga,si hata mkewe alikuwa anampiga mateke mpaka akawa analia akina mange wanapita nje wanasikia akiomba msaada[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi wachina ni wazalendo kwa taifa lao au wana katiba nzur?
ni wazalendo,maana katiba yao imeruhusu rais atawale mpaka akichoka.

kitu ambacho sio democrasia kwa mujibu wa magharibi.
 
Back
Top Bottom