Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Hahahaa okay!Ni maneno tu ya mitaani! Ajiuzulu halafu ale wapi? Sura ya kujuzulu iko wapi? Mtu anayetanguliza kubadilisha mavazi kwa Siku hata Mara tatu, anaweza kuwa na vinasaba vya msimamo maishani? Msimamo chanya unaambatana na kujikatalia Kwa ajili ya wengi. Kama sifa hiyo haipo Ni ndoto za kuishi Mwezini.
Wewe acha hizo yule Dr wa Tabora alipo acha ajira Jiwe alitangaza vita mpaka hospital iliyo muajiri ifutwe hadharani
Lisu ilitangazwa hadharani ashughulikiwe na akashughulikiwa
Yule bw wa Wizara ya fedha aliuawa kifedhuli sana
Hivyo Mama ulitaka naye aende kirahisi
Nyie Wachungaji ni watu hatare sana!
Hata wewe Nyani huko ulipo naimani ni muongoza uhalifu huko
Ina maana kila afaye amemchukiza Mungu!!?Mungu siku zote huwa anataka tujifunze kitu ,kumchukua huyo baradhuli aliekuwa hana haya na anamdhihaki Mungu wake na akaamua kumuonyesha.Mungu ampe maisha marefu mama
Wivu wa Ke huoMtu anayetanguliza kubadilisha mavazi kwa Siku hata Mara tatu, anaweza kuwa
Jamaa wamezidi ujinga mwingi haoHakuna Mungu mjinga wa namna hiyo! Kwa hiyo, unaamini Mungu ndo alimtoa Magufuli Duniani au alikufa kwa Ugonjwa? Au unaamini Mungu kazi yake ni kusikia Sala kuwa fulani hatakiwi na kisha Mungu kuchukua hatua? Kwa hiyo, mfano huyu mnaemshabikia akifa atakuwa ni Mungu amesikiliza Sala za akina nani? Zitakuwa Sala Za wale wasiompenda au wale wanaompenda?
Tungeona mabadiliko kama dk mpango kutolewa kwenye baraza la mawaziri,yeye ndio kaharibu mifumo ya kodi ya nchi hii kubambikizia wafanyabiashara kodi,kufunga ac zao,kuwapora pesa zao n kuwapa kesi,Kipindi fulani enzi za awamu ya 5 tuliwahi kusikia tetesi kwamba Mama alitaka kujiuzulu. Tetesi zikasema resign hiyo ilizimwa baada ya wazee kuingilia kati kwamba italeta picha mbaya kwa wananchi na kimataifa.
Sasa kwa mabadiliko yanayoendelea sasa ni dhahiri kuna ukweli mama alitaka kuachia ngazi. Kuwajibisha viongozi waliondesha magenge ya kihalifu, kuachia watuhumiwa kwa kesi zisizo na kichwa wala miguu, kukataa hela za dhulma,kuruhusu siasa ziendelee na kuacha kutumia manguvu, kuitikia mialiko ya kimataifa, kutumia lugha za staha, nk nk nk
Nisubiri nini kuamini hili la Samia kutaka kujiudhuru?
Suluhisho la haya yote ni Katiba Mpya ili kudhibiti viongozi wanaotaka kuendesha nchi kama gari bovu
Halafu cha ajabu naye sasa ameaminishwa anaweza na amejiona anaweza kiasi yuko busy kuunda timu ya kumsaidia kushinda!Tungeona mabadiliko kama dk mpango kutolewa kwenye baraza la mawaziri,yeye ndio kaharibu mifumo ya kodi ya nchi hii kubambikizia wafanyabiashara kodi,kufunga ac zao,kuwapora pesa zao n kuwapa kesi,
Pili kumpa doto james ukatibu wakti ni kibaka na tuhuma kibao zinamuhusu.....mama anachoweza ni kulegeza macho sio kutawala
Akumtandika makofi kweliHii ishu ilianza kipindi alienda nairobi akowa ziarani huko akaenda kumwona lissu hospital alikolazwa kimatibabu baada ya kushambuliwa na marisasi.
Aliporudi alifokewa sana kama mtoto mdogo.
Naomba niishie hapo
una chuki kama za Mzee wa LegacyNi maneno tu ya mitaani! Ajiuzulu halafu ale wapi? Sura ya kujuzulu iko wapi? Mtu anayetanguliza kubadilisha mavazi kwa Siku hata Mara tatu, anaweza kuwa na vinasaba vya msimamo maishani? Msimamo chanya unaambatana na kujikatalia Kwa ajili ya wengi. Kama sifa hiyo haipo Ni ndoto za kuishi Mwezini.
safari zote za rais,makamu,waziri mkuu,na viongozi wengine wakuu wa taasisi zinatoka kwa katibu mkuu kiongozi(CS)zikiwa na baraka zote za rais mwenyewe.Hii ishu ilianza kipindi alienda nairobi akowa ziarani huko akaenda kumwona lissu hospital alikolazwa kimatibabu baada ya kushambuliwa na marisasi.
Aliporudi alifokewa sana kama mtoto mdogo.
Naomba niishie hapo
Kila lugha yoyote ina lugha rasmi na isiyo rasmi, hivo hili si jukwaa la lugha wala mtihani wa Sarufi.Daaah Kiswahili kina zidi kuharibika
Ni "KUJIUZULU"
hapana ni logic tu anajaribu kuwaasa mtumie.una chuki kama za Mzee wa Legacy
alimpiga,si hata mkewe alikuwa anampiga mateke mpaka akawa analia akina mange wanapita nje wanasikia akiomba msaada[emoji23][emoji23][emoji23]Akumtandika makofi kweli
Ebwanae kumbe jamaa alikuwa bandidualimpiga,si hata mkewe alikuwa anampiga mateke mpaka akawa analia akina mange wanapita nje wanasikia akiomba msaada[emoji23][emoji23][emoji23]
ukiielewa siasa na kuwajua wanasiasa,utakuwa unaenjoy tu kila wanachofanya.Usiwamini mwanasiasa 100% is all I can say....
saaana.Ebwanae kumbe jamaa alikuwa bandidu
Mwigulu alikuwa anatukanwa kama kijakazi,kama anabisha ajeEbwanae kumbe jamaa alikuwa bandidu
Nasikia yule paramagamba aliambiwa we mzee pumbavu kuja hapaMwigulu alikuwa anatukanwa kama kijakazi,kama anabisha aje