Nasubiri tamko la Wanademokrasia CHADEMA kulaani mauaji yaliyofanywa na Polisi wa Marekani

Nasubiri tamko la Wanademokrasia CHADEMA kulaani mauaji yaliyofanywa na Polisi wa Marekani

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Nikiwa mzoefu wa kufuatilia matamko ya Chama cha Chadema naendelea kusubiri ni lini Chadema itatoa tamko kali na pengine kuandika barua kwa maseneta kule Marekani kuhusiano na tukio la Polisi wa Kimarekani kudhulumu maisha ya mweusi huko marekani.

CC: Mmawia
 
Nikiwa mzoefu wa kufuatilia matamko ya Chama cha Chadema naendelea kusubiri ni lini Chadema itatoa tamko kali na pengine kuandika barua kwa maseneta kule Marekani kuhusiano na tukio la Polisi wa Kimarekani kudhulumu maisha ya mweusi huko marekani.

CC: Mmawia
Makene kwa sasa amevurugwa na wabunge wanaohama!
 
Nikiwa mzoefu wa kufuatilia matamko ya Chama cha Chadema naendelea kusubiri ni lini Chadema itatoa tamko kali na pengine kuandika barua kwa maseneta kule Marekani kuhusiano na tukio la Polisi wa Kimarekani kudhulumu maisha ya mweusi huko marekani.

CC: Mmawia
Subutu, tokea lini Mtumwa akakaripia Bwana wake. Saa nyingine wa TZ , tunajifumba macho, na kujifanya hatuujui ukweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikiwa mzoefu wa kufuatilia matamko ya Chama cha Chadema naendelea kusubiri ni lini Chadema itatoa tamko kali na pengine kuandika barua kwa maseneta kule Marekani kuhusiano na tukio la Polisi wa Kimarekani kudhulumu maisha ya mweusi huko marekani.

CC: Mmawia
Na CCM tamko lao litatoka lini....!?
 
Na CCM tamko lao litatoka lini....!?
CCM sio chama cha kushobokea...tumewaachia "wanademokrasia wasemezane na wanademokrasia wenzao"
Sisi kazi yetu ni kuwaendeleza watanzania
 
Nikiwa mzoefu wa kufuatilia matamko ya Chama cha Chadema naendelea kusubiri ni lini Chadema itatoa tamko kali na pengine kuandika barua kwa maseneta kule Marekani kuhusiano na tukio la Polisi wa Kimarekani kudhulumu maisha ya mweusi huko marekani
Mweusi wa Marekani sio ndugu yako wala hakujui, tamko la nini? Heri kuishauri CCM kutoa tamko la Watanzania weusi waliopotezwa na wasiojulikana
 
Polisi wa Tanzania wafanye haya kwa ndugu wa Mwangosi ndo mje na porojo kama hizi. Mbona hatukuwasikia mkilaani mauaji ya Mwandishi asiye na hatia?
IMG-20200531-WA0028.jpg
 
Nikiwa mzoefu wa kufuatilia matamko ya Chama cha Chadema naendelea kusubiri ni lini Chadema itatoa tamko kali na pengine kuandika barua kwa maseneta kule Marekani kuhusiano na tukio la Polisi wa Kimarekani kudhulumu maisha ya mweusi huko marekani.

CC: Mmawia
one step at a time.
waacheni Chadema wamalizane kwanza na huyu mkoloni mweusi ziraili mtoa roho .... aking'oka huyu mweusi ndiposa watahamia kwa jirani.
simple logic!
 
one step at a time.
waacheni Chadema wamalizane kwanza na huyu mkoloni mweusi ziraili mtoa roho .... aking'oka huyu mweusi ndiposa watahamia kwa jirani.
simple logic!
Walivyokuwa wanatuma barua marekani tulitegemea kuwa wanasimamia haki duniani kote
 
Back
Top Bottom