Nasubiri tamko la Wanademokrasia CHADEMA kulaani mauaji yaliyofanywa na Polisi wa Marekani

Nasubiri tamko la Wanademokrasia CHADEMA kulaani mauaji yaliyofanywa na Polisi wa Marekani

Daaaaaaah great thinker jamii forum wameisha, ila wamebaki waimba pambio na ngojera, afu watunzi wenyewe walishakufa.
Hivi kabla ujaandika ulifikiria nini?
Great thinkers wameelewa nilichoandika
 
Huwezi kuwaacha watu wafakamie sumu eti kwa sababu ni hiyari ya moyo wao.
Kumjibu na kutokumjibu vina uzito sawa. Nimechagua kumjibu ili niwakurupushe wapumbavu kutoka mafichoni. Na kweli wamejitokeza.

Wito wangu ni ule ule jingalao apuuzwe.
Kumpuuza Jingalao ni sawa na kukimbia ulingoni.
Hoja hujibiwa kwa hoja na sio kumpuuza mjenga hoja
 
Wazungu wametuzidi sana akili watu weusi. Akili ya kuwatala ktk nyanja zote tumeshindwa. Weusi walioko marekani wanalalamika wananyanyaswa, tunawaonea huruma kwamba pengine ni kwa sababu ya uhamiaji sio nchi ya asili yao. Lakini hata sisi weusi tulioko kwetu tunawaogopa sana wazungu, angalia watu wa ccm wakiongozwa na mwenyekiti wao wanawachukia sana wapinzani, uwezo wa kubadilisha katiba ili kuwa na ccm peke yake wanao mkubwa, hata hivyo wanashindwa kubadilisha kwa kuwaogopa wazungu. Kwa hali ilivyo sasa mtu wa ccm atakuwa mnafiki akisema anapenda upinzani uwepo. Kwa hiyo wazungu wametufanya weusi tulioko huku kushindwa kujifanyia maamuuzi yetu. Jinsi akina akina jpm, ndugai, siro wanavyofukuza na akina mbowe wasingekuwa wanawaogopa mabeberu wangesha badili katiba zamani wabaki wao wanaendesha siasa za chama kimoja kwa kujiachia
 
Tuende Mbele turudi nyuma ni kweli CDM ni chama kikuu cha Upinzani, ila tangu alivyoondoka Dr.Slaa kiukweli kumekuwa na LEADERSHIP GAP kubwa sana japo Mbowe anajitahidi sana kukiweka CDM kwenye mstari ila amekosa LEADERSHIP MENTORSHIP aliyokuwa anaipata kwa Dr.Slaa
 
Mbna unawashwa na kuweweseka hvyo?Au we nyumba ndogo yake hujapewa matumizi?
Tunamsubiri Mbowe aongee na Taifa kuhusu kifo cha George Floyd maana na yeye siku hizi kajipa ukuu eti ataongea na Taifa. Vipi na yule Shoga wa Ubeligiji hana taarifa za mauaji kule Marekani?
 
Back
Top Bottom