Nasumbulia na tatizo la nguvu za kiume naomba msaada

Nasumbulia na tatizo la nguvu za kiume naomba msaada

pia kana unaweza kuwa na uwezo asbh na jion kabla ya mechinna kabla ya kulaka

chukua kahawa og ile inaoatikana sokoni wambie og sio beikubwaaaa

chukua parachichi sagaaaaa
Chukua tangooo sagaaaaaaa
chukua asali vijiko 3 weka himo na maji nusu ltr

Changanya na kahawa kunywaa asbh na jion

Mwajuma anakutafuta mwenywe sio uchawi n ekimu dunia ya Mungu

dk Pdidytz
 

Attachments

  • Screenshot_20241002-130318_Instagram Lite.png
    Screenshot_20241002-130318_Instagram Lite.png
    1.2 MB · Views: 26
Nahitaji wataalamu anaweza kunisaidia jinsi ya kutibu nguvu za kiume zijirudi kama awali anisaidie maana nimekuwa natumia mkongo mwanzo mwisho.au pia niendelea kutumia?

Soma Pia: Mazoezi ya Kegel husaidia kutibu changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume
TIBA YA NGUVU ZA KIUME
🌿MAHITAJI🌿
👉Kisenganyika
👉Lubung'wa
👉Msigi
👉Mtundwa

⚡Changanya dawa hizo kwa ujazo sawa
⚡Chukua kijiko kimoja Cha mchanganyiko wako koroga kwenye uji ama maji moto kikombe kimoja
⚡ Kunywa dawa hiyoo, fanya hivyo kutwa mara mbili.

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi
What's app/call
0656303019
~Chief Sang'ida .
 
Nahitaji wataalamu anaweza kunisaidia jinsi ya kutibu nguvu za kiume zijirudi kama awali anisaidie maana nimekuwa natumia mkongo mwanzo mwisho.au pia niendelea kutumia?

Soma Pia: Mazoezi ya Kegel husaidia kutibu changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume
Baba Midimu. Pole sana, Yadamaga.

Ulipata suluhu?

Ushauri wangu kutokana na maelezo mbali mbali ya watu.
1. Badili demu, unaweza kuwa naxemu ushamzoea na yeye ashakuzoea. Kila mara ukikutana nae lazima kumbukumbu zitokee hivyo jamaa Yako atalala tu.
2. Jipe likizo kidogo, achana na wanawake hata miezi Sita. Usiwawaze, hapa akili itapata utulivu utashangaa Asubuhi jogoo anawika tu.
3. Sijui umri wako ila Kuna ushauri mwingine unaendana na umri. Mfano kama uko chini ya miaka 20 ningekwambia ukacheck na ungonjwa wa kichocho. Vijana wengi waliochunga na kuoga kwenye madimbwi wanapata sana hii changamoto.. n.k.
4. Fanya mazoezi Kunywa maji mengi.
5. Muombe Mungu wako kwa Imani. Imani huokoa.
6. Fanya tendo la ndoa sehemu tulivu.
7. Ukishindwa kabisa haya ..Kuna njia nyingine siwezi isema hapa
 
Unachanganya na asali ya nyuki wadogo unatumia asbh kabla hujala chochote na usiku wkt wa kulala
Na ukiitumia kwa Mara ya kwanza kama ulikua na tatizo lzm mashine iamke
Hujaweka kipimo. Unachanganya kiasi gani habat kwenye kiasi gani asali. Unatumia kipimo gani
 
Anza kwa kubadilisha profile,wewe mwanaume unawekaje profile ya ua jekundu,then ishi kama mwanaume,kula kiume,badilisha mtindo wa maisha,
 
Njoo PM. Nina dawa
...Mpaka akufuate PM ? SI tatizo aameliweka wazi hapa? Kama unamsaidia, msaidie TU hapa hapa, Kuna wenginewatafaidika! Hayo ya Kuitana Chemba hayo...?? [emoji57]
 
Back
Top Bottom