NDY ZISHUSHE TU.
Maduka ya dawa asiliYANAPATIKANA WAPI.¿
TIBA YA NGUVU ZA KIUMENahitaji wataalamu anaweza kunisaidia jinsi ya kutibu nguvu za kiume zijirudi kama awali anisaidie maana nimekuwa natumia mkongo mwanzo mwisho.au pia niendelea kutumia?
Soma Pia: Mazoezi ya Kegel husaidia kutibu changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume
Mm nataka dawa,, ww unanitumia screenshot kweli!😁Limeisha hilo njoo na 20 elf whats app 0712505049 mkeo lazima alalamike baba janja unakamia sana nowdays
Mtumie 20 hio akale kitimotoMm nataka dawa,, ww unanitumia screenshot kweli!😁
Baba Midimu. Pole sana, Yadamaga.Nahitaji wataalamu anaweza kunisaidia jinsi ya kutibu nguvu za kiume zijirudi kama awali anisaidie maana nimekuwa natumia mkongo mwanzo mwisho.au pia niendelea kutumia?
Soma Pia: Mazoezi ya Kegel husaidia kutibu changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume
Kutumia nini mkuu
Hujaweka kipimo. Unachanganya kiasi gani habat kwenye kiasi gani asali. Unatumia kipimo ganiUnachanganya na asali ya nyuki wadogo unatumia asbh kabla hujala chochote na usiku wkt wa kulala
Na ukiitumia kwa Mara ya kwanza kama ulikua na tatizo lzm mashine iamke
Mmmh kwanini aje PM, weka hadharani na wengine tupate madini hayo jamani,ndo faida ya hii mitandao ati,.Njoo PM. Nina dawa
Kijiko kimoja cha asaliHujaweka kipimo. Unachanganya kiasi gani habat kwenye kiasi gani asali. Unatumia kipimo gani
Sawa Mwamba wa TangaKijiko kimoja cha asali
Kijiko kimoja cha habbat
Kijiko cha chakula
Pole, nawewe unaumwa huo ugonjwa?Linaelekea kuwa tatizo la kitaifa.
Jaman pole sana rafk, tumia juice ya Vitunguu maji, asali na limao yaan utajaza shahawa hadi raha, unywe asbh na jioni usizidishe usije ukaleta balaa dyudyu kusimama ovyo ovyoNahitaji wataalamu anaweza kunisaidia jinsi ya kutibu nguvu za kiume zijirudi kama awali anisaidie maana nimekuwa natumia mkongo mwanzo mwisho.au pia niendelea kutumia?
Soma Pia: Mazoezi ya Kegel husaidia kutibu changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume
Nimesha watibu wengi na miongoni mwao wamo humu jamvini, ni pm. Tatizo watu wakishapona hawajui kutoka mrejesho kwenye jamvi hata ukiwasihi hasa kwenye matatizo haya.Nahitaji wataalamu anaweza kunisaidia jinsi ya kutibu nguvu za kiume zijirudi kama awali anisaidie maana nimekuwa natumia mkongo mwanzo mwisho.au pia niendelea kutumia?
Soma Pia: Mazoezi ya Kegel husaidia kutibu changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume
JamaniPole, nawewe unaumwa huo ugonjwa?
...Mpaka akufuate PM ? SI tatizo aameliweka wazi hapa? Kama unamsaidia, msaidie TU hapa hapa, Kuna wenginewatafaidika! Hayo ya Kuitana Chemba hayo...?? [emoji57]Njoo PM. Nina dawa