Mikhail Tal
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 421
- 778
- Thread starter
- #21
Asante mkuj ngoja nipambane nioneUsiogope ni hali ya kwawaida kuwa na mabadiliko ya kimwili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuj ngoja nipambane nioneUsiogope ni hali ya kwawaida kuwa na mabadiliko ya kimwili
Naomba mwongozo kwenye hili, nilitamani kweli kukutana na mtaalamu wa hicho kitu, kwa hospital za serikali naweza pata hiyo huduma?Madaktari uchwara hawa wanaochati facebook wamekupima NEVA?
Labda ni neuropathy.
Jibu la haraka hili hapa! Lakini kabla ya kufikia maamuzi hapa, fanya vipimo alivyokushauri Carlos The Jackal kwanzaStress,sonona
Kwahiyo wanishauri nini mkuu wangu?HIV is equavalent to ARV.
Yale ma ARV huwa yanabomoa mishipa ya NEVA kiasi cha kupata PERIPHERAL NEURAL DAMAGE...
So yes, Ganzi is equal to ARV.
Nitafanya hivo mtaalamuRudi kacheck tena kwa umakini sukari na Hiv....usipuuze.
Asante mtaalamu ngoja nofanye hivo"numbness and tingling" google hiyo ujifunze visababishi vyake
Sikiliza ushauri wa MADAKTAREKwahiyo wanishauri nini mkuu wangu?
Ukosefu wa vitamin b or check hivHii shida ilianza taratibu mwezi wa 12 mwanzoni ilianzia kwenye ncha za videle vya mkono. Nilijua itapona yenyewe ila sioni dalili.
Wiki moja iliyopita naona ni kama inahamia kwenye nyayo na vidole vya mguu.
Nilienda hospital, wakafanya full blood picture, cholesterol, sugar, urinalysis n.k ila nililuwa nipo okay.
Kuna issue ingine, mara mbili nilizoenda hospital kila walinipima blood pressure wananiambia ipo juu halafu pia kitu kingine kwenye viganja vya mkono, idadi ya misuli ni kama imeongezeka.
Embu naombeni wataalamu wa afya mniambie shida yaweza kuwa nini hapa na tiba yake, inanitesa kisaikolojia hii hali.
Asante mkuu nitafanya hivi plus mazoezi piaFanya DETOXIFICATION
Usinywe wala usile kitu chochote cha kiwandani, soda, bia, maji, juisi sijui na manini mengine.....
Stay natural, lala sana vya kutosha, kula vyakula vya asili tu.... Usimeze madawa ya hospitali wala usile sukari abadani maana sukari ndio ADUI MKUU.
Ndani ya miezi mitatu au minne rudi hapa, kwanza utang'ara utakuwa na sura kama ya mtoto.
Mwili utajiponya wenyewe kila udhaifu. Ngozi NG'ARI NG'ARI.
Cc: Kalpana Lamomy Extrovert
Hivi vitamin b natakiwa nile vyakula gani mkuu?Ukosefu wa vitamin b or check hiv
GugoHivi vitamin b natakiwa nile vyakula gani mkuu?
Pole sanaNahisi pia ni kweli, kabla ya mwezi wa 12, i was not okay, kuna mambo yalinitokea mwanangu aliumwa, mimi pia nilitoka kuumwa sababu ya lishe duni (Baada ya wife kuhamia mkoa kikazi lishe yangu haijawa nzuri) kwahiyo from August to November nilikuwa na kipindi fulani cha stress.
Nina hisia kwamba shock ya stress ndo imenipa hii outcome ya high BP
Majibu ya sukari yalisemajeHii shida ilianza taratibu mwezi wa 12 mwanzoni ilianzia kwenye ncha za videle vya mkono. Nilijua itapona yenyewe ila sioni dalili.
Wiki moja iliyopita naona ni kama inahamia kwenye nyayo na vidole vya mguu.
Nilienda hospital, wakafanya full blood picture, cholesterol, sugar, urinalysis n.k ila nililuwa nipo okay.
Kuna issue ingine, mara mbili nilizoenda hospital kila walinipima blood pressure wananiambia ipo juu halafu pia kitu kingine kwenye viganja vya mkono, idadi ya misuli ni kama imeongezeka.
Embu naombeni wataalamu wa afya mniambie shida yaweza kuwa nini hapa na tiba yake, inanitesa kisaikolojia hii hali.
Kwa wenye asili ya vidonda vya tumbo, limao si itakua na madhara kwao mkuu?Fanya DETOXIFICATION
Usinywe wala usile kitu chochote cha kiwandani, soda, bia, maji, juisi sijui na manini mengine.....
Stay natural, lala sana vya kutosha, kula vyakula vya asili tu.... Usimeze madawa ya hospitali wala usile sukari abadani maana sukari ndio ADUI MKUU.
Ndani ya miezi mitatu au minne rudi hapa, kwanza utang'ara utakuwa na sura kama ya mtoto.
Mwili utajiponya wenyewe kila udhaifu. Ngozi NG'ARI NG'ARI.
Na ukitaka kuwakomesha wambea, kila siku asubuhi kunywa juisi ya limao.... utayaangamiza maparasites yote halafu damu itakuwa na PH nzuri sana....
When the blood is good, the body will self-rejuvanate, hata hizo neuropathy zitaisha.
Cc: Kalpana Lamomy Extrovert
Piga kabichi kwa wingiKwa wenye asili ya vidonda vya tumbo, limao si itakua na madhara kwao mkuu?