Nasumbuliwa na harufu ambao mke wangu amekuwa akisema ni harufu ya kizee

Nasumbuliwa na harufu ambao mke wangu amekuwa akisema ni harufu ya kizee

nyie ...hehehehee....binadam woote tuna harufu ya kimtumtu sema tunazidiana.
Cha msingi mzingatie usafi wa mwili kuanzia head to toe, zingatia chakula, mazoezi maji na matunda....
huyohuyo mbuzi jike wako akusaidie mwili usinuke sio akusimange tuu. Ona wataalam wa afya pia huenda Kuna Cha zaidi.

nasubiri tutoto tylitokoment tuzeeke tuje tulete ushuhuda humu....
Wazee hasa wanaume huwa na shida yakulegea mitambo kiasi cha kuvujisha mkojo kila wakati.
 
mambo mengine yanachekesha ila yanafundisha mie ndo leo kusikia kuna harufu ya kizee
 
Ila ni kweli kuna harufu ya uzee... Mimi nipo sensitive Sana na harufu na huwa naisikia Sana .
Kuna wazee tunasali nao jumuiya..unakuwa Ile asubuhi unaisikia harufu toka Kwa mbali.
Na baadhi ya wabibi pia hutoa harufu.
Basi Mimi nikawa kajisemea labda ukizeeka cell zinakufa haraka so zina kuwa zina stink.
 
Habari zenu wana JF

Nimekula nasumbuliwa na harufu ambao mke wangu amekuwa akisema ni harufu ya kizee, nimejaribu kuitumia sabuni tofauti na perfume lakini wapi.

Kazi nikiingia kuoga nikitoka harufu mbaya sana humo ndani, nitumie dawa gani au kama kuna anayejua kutatua hii changamoto naomba msaada wenu jamani.

Asanteni
...Muambie achape Lapa' akatafute Vijana Wasio na Harufu ,! Ni Udhalilishaji. Hiyo Harufu ipo tokea mnaoana, ama ameana Kuisikia Toka Imeanza Kuseeka ??
 
Mkuu hauna harufu yoyote ni vile tu umeshachokwa. Soon utaambiwa unanuka beberu ova.
 
Habari zenu wana JF

Nimekula nasumbuliwa na harufu ambao mke wangu amekuwa akisema ni harufu ya kizee, nimejaribu kuitumia sabuni tofauti na perfume lakini wapi.

Kazi nikiingia kuoga nikitoka harufu mbaya sana humo ndani, nitumie dawa gani au kama kuna anayejua kutatua hii changamoto naomba msaada wenu jamani.

Asanteni
Nguvu za giza hizo zinainyemelea ndoa yenu.
 
Habari zenu wana JF

Nimekula nasumbuliwa na harufu ambao mke wangu amekuwa akisema ni harufu ya kizee, nimejaribu kuitumia sabuni tofauti na perfume lakini wapi.

Kazi nikiingia kuoga nikitoka harufu mbaya sana humo ndani, nitumie dawa gani au kama kuna anayejua kutatua hii changamoto naomba msaada wenu jamani.

Asanteni
Unatafutiwa sababu
 
Mkuu hauna harufu yoyote ni vile tu umeshachokwa. Soon utaambiwa unanuka beberu ova.
Sio kuchokwa mkuu ni mambo ya kishirkina tu.
Binafsi nilitaka kufukuza mke wangu kwa sababu ya harufu mbaya aliyokuwa anatoa.

Chanzo kilikuwa kumwazimisha jirani yake skirt.
Jirani huyo alikuja kuazima hiyo nguo kwa mke wangu kumbe alikuwa na lake.

Na harufu hiyo nilikuwa nasikia mimi mwnyewe. Wanangu, na familia nzima niliyokuwa nayo ilikuwa haisikii harufu hiyo. Hata yeye mke wangu alikuwa hasikii.
 
Nenda hospital linaweza kuwa tatizo la kiafya.

You could be rotting. (Joking)
 
Dingi oga vizuri boksa badili kila unapooga. Swaki vizuri. Mdomoni hakikisha unatoa vile vidude vinaitwa TONSIL STONES. Ni rahisi tuuu hivyoooo

Nilikuwa sijui kama vinaitwa hivyo imebidi ni goggle ni vitu gani… [emoji2] nilikuwaga navionaga zamani unakuta unakohoa kinaruka navinusa vinanuka vibaya

Sorry huo ni ugonjwa ama
 
OSHA M@pumbu,badili boksa/vest kila siku.
Nyoa m@vyuuzz muda wote uwe para.
 
Nilikuwa sijui kama vinaitwa hivyo imebidi ni goggle ni vitu gani… [emoji2] nilikuwaga navionaga zamani unakuta unakohoa kinaruka navinusa vinanuka vibaya

Sorry huo ni ugonjwa ama
Usisubiri hadi uvikohoe vitakuaibisha sana wakati wa romance. Jitahidi every dei unajifanyia simple surgery unavitoa kwa urahisi kwa kidole au cotton buds
 
Anza na hili mana kama swala lingekua ni kuoga naamin hata mkeo angekuwekea ad karafuu kwenye maji ya kuoga . sasa anza kwa kubadili nguo zako karibu zote zile kuu kuu ikiwezekana zichome moto nunua nguo nyingne kwanzia boksa kaush na mashat suruali pia badilisha mkanda unaotumia wa kiunon achana na ile ya kimasai ya ngozi toa yale makava ya ndani ya viatu au badili viatu upate vyenye hewa na vyepesi tafuta mouth wash achana na whitdent iz au tumia whtedent yako ukitaka kwenda kulala swakia iyo mouth wash na uvute mabaki ya nyuma ya koo kwa kufanya kama unakuna masikio kwa kutumia ulim kwa ndan , pia punguza pia kula vyakula vyenye viungo ving kama pilau birian sambusa nk baada ya apo mzee utakua umerud under 30
 
Habari zenu wana JF

Nimekula nasumbuliwa na harufu ambao mke wangu amekuwa akisema ni harufu ya kizee, nimejaribu kuitumia sabuni tofauti na perfume lakini wapi.

Kazi nikiingia kuoga nikitoka harufu mbaya sana humo ndani, nitumie dawa gani au kama kuna anayejua kutatua hii changamoto naomba msaada wenu jamani.

Asanteni
Kuna watu hii harufu wanakuwa nayo, nina rafiki yangu 37 yrs ana harufu hii namzidi umri mbali tu mm sina
 
Back
Top Bottom