Nasumbuliwa na magonjwa ya uzazi, kukosa ute, na hamu sijawahi pata wala sijui ladha yake

Nasumbuliwa na magonjwa ya uzazi, kukosa ute, na hamu sijawahi pata wala sijui ladha yake

Tafuta Yale majani wanayochuma wahaya, waha, wahutu na Watutsi ili kuipata kachibari, katerero, kangisi.

Tumia hayo utakuja kunishukuru.
 
Habari jamani naomba msaada.

Mimi ni msichana nasumbuliwa na matatizo ya uzazi nimetumia Dawa nyingi za hospital lakini bila mafanikio na zamitishamba pia hakuna matokeo ila yanakujaga kidogo lakini tatizo linarudi pale pale.

Kiufupi sijawahi pata hamu ya tendo sijui inaradha gani, pia sijawahi pata ute nateseka sana hata nishikwe wapi, naombeni msaada anayejua Dawa ya uhakika nikapona jamani.
Ky ipo achana na ute usio nao!!
ushawai chakatwa sawa sawa
 
Nunua kY au kilainishi cha aina nyingine pharmacy,usitumie mafuta ya nazi au vasseline. Jambo lingine la msingi ni kuondoa mental block/kizuizi akilini,ukijiona wewe ni mgonjwa basi huwezi kupata matokeo chanya .

Kuna wanawake wa hiyo shida ya kukosa ute na wanafanya ngono kwa kutumia vilainishi bila shida. Kama una mpenzi/mume basi zungumza nae ili muweze kuikabili hiyo changamoto pamoja . Usikubali kufanya mapenzi wakati unaumia kwani itakufanya uichukie ngono kabisa.

Mwisho fanya majaribio ya kujiridhisha mwenyewe (masterbation) ili uweze kuujua mwili wako kingono. Hii ni muhimu sana japo watu wata kukaanga hapa,kama una hela jinunulie hata vibrator,Lube/Ky anza kujitafuta.

AChana na manabii feki utapoteza hela zako kwenye sadaka bila mafanikio,be positive nyege zako zipo under your fingertips 😊. Pole sana .
Ajipelekee moto mwenyewe!
 
Habari jamani naomba msaada.

Mimi ni msichana nasumbuliwa na matatizo ya uzazi nimetumia Dawa nyingi za hospital lakini bila mafanikio na zamitishamba pia hakuna matokeo ila yanakujaga kidogo lakini tatizo linarudi pale pale.

Kiufupi sijawahi pata hamu ya tendo sijui inaradha gani, pia sijawahi pata ute nateseka sana hata nishikwe wapi, naombeni msaada anayejua Dawa ya uhakika nikapona jamani.
Chukua bamia tano kata kata osha loweka kwenye maji zilale asubuh kunywa mchuzi wake week tu hamu kama zote
 
Habari jamani naomba msaada.

Mimi ni msichana nasumbuliwa na matatizo ya uzazi nimetumia Dawa nyingi za hospital lakini bila mafanikio na zamitishamba pia hakuna matokeo ila yanakujaga kidogo lakini tatizo linarudi pale pale.

Kiufupi sijawahi pata hamu ya tendo sijui inaradha gani, pia sijawahi pata ute nateseka sana hata nishikwe wapi, naombeni msaada anayejua Dawa ya uhakika nikapona jamani.
Hormone imbalance
 
Habari jamani naomba msaada.

Mimi ni msichana nasumbuliwa na matatizo ya uzazi nimetumia Dawa nyingi za hospital lakini bila mafanikio na zamitishamba pia hakuna matokeo ila yanakujaga kidogo lakini tatizo linarudi pale pale.

Kiufupi sijawahi pata hamu ya tendo sijui inaradha gani, pia sijawahi pata ute nateseka sana hata nishikwe wapi, naombeni msaada anayejua Dawa ya uhakika nikapona jamani.

Nunua kY au kilainishi cha aina nyingine pharmacy,usitumie mafuta ya nazi au vasseline. Jambo lingine la msingi ni kuondoa mental block/kizuizi akilini,ukijiona wewe ni mgonjwa basi huwezi kupata matokeo chanya .

Kuna wanawake wa hiyo shida ya kukosa ute na wanafanya ngono kwa kutumia vilainishi bila shida. Kama una mpenzi/mume basi zungumza nae ili muweze kuikabili hiyo changamoto pamoja . Usikubali kufanya mapenzi wakati unaumia kwani itakufanya uichukie ngono kabisa.

Mwisho fanya majaribio ya kujiridhisha mwenyewe (masterbation) ili uweze kuujua mwili wako kingono. Hii ni muhimu sana japo watu wata kukaanga hapa,kama una hela jinunulie hata vibrator,Lube/Ky anza kujitafuta.

AChana na manabii feki utapoteza hela zako kwenye sadaka bila mafanikio,be positive nyege zako zipo under your fingertips 😊. Pole sana .
Akinunua iyo kitu itawashawishi kutumia Yas
 
Back
Top Bottom