Nasumbuliwa na tabia ya kukasirika haraka, nifanye nini?

Nasumbuliwa na tabia ya kukasirika haraka, nifanye nini?

Imekua almost a few month now tangu niwe katika Hali hii back to my point I have been through hell in relationship so sijui ndo hii Hali nayojiskia ndo imetokana na hivyo I don't know....[emoji1751][emoji1751]

Nimekuwa ni mtu ambae sina hisia kabisa nmekuwa mkali Sana niliepitiliza nmekuwa a fast panic person yani sitaki kuongeleshwa na Kaka wa aina yoyote ( mwanaume yyote ) ambae anakuja kwa habar za mahusiano Yan sometimes hata mwanaume akiwa anaanzisha maongez na Mimi I sometimes najikuta namsikiliza Afu nisimjibu Yan au naweza kuta nmemfokea tu from no where.

Muda mwingine nimekua hata nkimuona mwanaume anaonesha Hali ya kuniangalia sana najikuta namgombeza like it's a big deal napaniki tuuuh mda wote yan dah mpaka nmeanza kujichukia sasa na hiz Tabia sometimes I try kurudi katika Hali yangu ya zaman then najikuta tu hii Hali inajirudia.

Tena juzi was even worse nilijikuta namjibu boss wangu aliniuliza juu ya Jambo la kazi " we Ni ndo wale wale tu mbwa usinibabaishe ikasababisha mzozo mkubwa sanaa mpk Sasa Mambo hayapo sawa ofisin kwangu najichukia with this condition=, I want my self back I want me.

Nifanye nini !?

Tafuta mwanaume wa kukupiga pumbu pumbu hiyo ndo Best solutions itayokuokoa kutoka ktk hiyo haliii

Upande wangu niliwahi kuwa na girlfriend mwenye vitabia vya aina hiyoo sio Siri nilivyoanza kula papuchi na kumpiga pumbu ile kisawa sawa alikuja kutuliaa
 
Mie ushauri wangu ni huu kwako, Kama wewe mkristo fanya kufunga siku moja au mbili kavu na nenda sehemu uwe peke yako zima Hadi simu zako, kisha mwambie Mungu nisamehe kwa makosa yangu naomba niwasamehe wote walionitendea tofauti hakikisha unamaanisha kutoka ndani usijizuie Kama unaweza kulia Lia haswa omba sana, ukipata mda wa kupmzika chukua Biblia

Mungu akusadie
Ushauri mzuri sana huu[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Typing....... Nafuta
Typing........nafuta

Najaribu kuandika but nafsi inasita, unaweza toa ushauri afu nami nikaambiwa ndo wale wale kama bosi.
 
Muda mwengine nyege zikizidi sana huwa hayo yanatokea. Tafuta bwana akunyooshe vizuri,utaludi kwenye hali yako ya kawaida. Utanishukuru baadae..[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Na hilii ndio jibu sahihi [emoji1474][emoji1474][emoji1474]
 
Kama uko Dodoma mtafut3 Zero IQ anayo tiba.

Kama uko Dar niPm nitakusaidia tiba.

Mikoa jirani muone Mshana Jr huyu anafika kokote kutoa huduma.

Amua ww tu kuchagua.
Yaani chief kwa Dar unajipigia promo sio?
Mwambie na mimi nipo Mkoa wowote alipo nitakwenda! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Usijali, hiyo ni hali ya kawaida tuu. Utazoea. Unaonekana wewe bado mgeni kwenye maswala ya relationships na bado ulikua na ule utoto wa kuamini kwenye true love. Sasa umepigwa ka tukio unaona kama dunia yote imekuelemea. Hayo ni mambo ya kawaida, usichukulie personal wala huna haja ya kukasirikia wanaume. Wanaume ndio tulivyo kwa vibinti virembo kama wewe hua tunamega na kusepa no hard feelings. Pull urself together, collect the pieces and move on maana ukijidai we ndio unajua saana kukasirika haitakusaidia na sanasana utaharibu na mambo mengine sasa ofisini nk.
Hahahah ubatizo wa moto
 
Imekua almost a few month now tangu niwe katika Hali hii back to my point I have been through hell in relationship so sijui ndo hii Hali nayojiskia ndo imetokana na hivyo I don't know....[emoji1751][emoji1751]

Nimekuwa ni mtu ambae sina hisia kabisa nmekuwa mkali Sana niliepitiliza nmekuwa a fast panic person yani sitaki kuongeleshwa na Kaka wa aina yoyote ( mwanaume yyote ) ambae anakuja kwa habar za mahusiano Yan sometimes hata mwanaume akiwa anaanzisha maongez na Mimi I sometimes najikuta namsikiliza Afu nisimjibu Yan au naweza kuta nmemfokea tu from no where.

Muda mwingine nimekua hata nkimuona mwanaume anaonesha Hali ya kuniangalia sana najikuta namgombeza like it's a big deal napaniki tuuuh mda wote yan dah mpaka nmeanza kujichukia sasa na hiz Tabia sometimes I try kurudi katika Hali yangu ya zaman then najikuta tu hii Hali inajirudia.

Tena juzi was even worse nilijikuta namjibu boss wangu aliniuliza juu ya Jambo la kazi " we Ni ndo wale wale tu mbwa usinibabaishe ikasababisha mzozo mkubwa sanaa mpk Sasa Mambo hayapo sawa ofisin kwangu najichukia with this condition=, I want my self back I want me.

Nifanye nini !?

Honestly una disorder ya kiakili tu seems you haven’t let go of what hurt you earlier kwenye uhusiano! Live to love other people isiwe heartbreak moja ikakufungia milango ya baraka kwa vijana wengine.

Ukiniuliza deeply kinacholeta hasira zako ni upweke. You feel so bad with the lonliness but yet guilty of giving yourself to someone who hurt your feelings earlier! Mpe nafasi mtu mpya trusting kuwa ataku treat vyema tu bila kuwa na grudge!

Quick solution tafta mtu mtiane sana yani ile sana uondokane na hio feeling ya kipumbavu! Naamini ukishaingia kwenye uwanja wa mapenzi utakuwa relaxed nyege zikizidigi kwa wanawake zinaletaga hali flani ya ukichaa wengine wanachekaga hovyo wengine ni watu wa hasira hasira!
 
Kwa kimatumbi, mwambie tu hajapata mwingine wa kumzibua vizuri...

Hata upele ukikosa kucha za kuukuna, muwasho wake huwa wamkera muota upele

Shugaa, nichagulie kati ya kiwi hizi mbili moja niikong’oli leo jioni...

1. Ice cream 🍨 @Snowcream

2. Amarula @Karambezi

Hata lunch sili leo ili nisipunguze kiwi yangu ya jioni 😋😋.

Baada ya hapo muwasho utahitaji kidole cha ......... 😅🏃🏽‍♀️.
 
Imekua almost a few month now tangu niwe katika Hali hii back to my point I have been through hell in relationship so sijui ndo hii Hali nayojiskia ndo imetokana na hivyo I don't know....[emoji1751][emoji1751]

Nimekuwa ni mtu ambae sina hisia kabisa nmekuwa mkali Sana niliepitiliza nmekuwa a fast panic person yani sitaki kuongeleshwa na Kaka wa aina yoyote ( mwanaume yyote ) ambae anakuja kwa habar za mahusiano Yan sometimes hata mwanaume akiwa anaanzisha maongez na Mimi I sometimes najikuta namsikiliza Afu nisimjibu Yan au naweza kuta nmemfokea tu from no where.

Muda mwingine nimekua hata nkimuona mwanaume anaonesha Hali ya kuniangalia sana najikuta namgombeza like it's a big deal napaniki tuuuh mda wote yan dah mpaka nmeanza kujichukia sasa na hiz Tabia sometimes I try kurudi katika Hali yangu ya zaman then najikuta tu hii Hali inajirudia.

Tena juzi was even worse nilijikuta namjibu boss wangu aliniuliza juu ya Jambo la kazi " we Ni ndo wale wale tu mbwa usinibabaishe ikasababisha mzozo mkubwa sanaa mpk Sasa Mambo hayapo sawa ofisin kwangu najichukia with this condition=, I want my self back I want me.

Nifanye nini !?

Hujakazwa vizuri....
ww short fused....
get a real fu.ck nakuhakikishia hiyo tabia itakwisha.....
unishukuru badae
 
Tatizo ni kutojiamini. Unajiona kama una kasoro fulani ndio maana umetendwa na kuwachukia wanaume wote!

Jiangalie upya, jipande, jiamini, jione uko sawa ila aliyekutenda ndio hajielewi. Sio wa kwanza wewe kutendwa... watu tumetendwa hadi tumegeuka visiki na hatubabaiki tena; tunasonga mbeleeeee kwa mbeleee. Furahia maisha, furahi na watu wote, relax babe every thing gona be okei. acha kuutwisha ubongo wako chuki mwisho wa siku unakuwa mtu wa kuchukia kila kitu mbele yako!! ona sasa umeharibu kwa bosss!!!! relax anza maisha ya kutafuta furaha na kuitumia
 
[emoji2377][emoji2377][emoji2377] I mean Psycologist or The rapist
....= Psycotherapist!
Yeah rite like you really meant it!Some people come here with real issues but some advice can mess them up more.This is serious!I cannot even imagine how this person feels right now!You have to be banging someone to get cured from a mental disorder... Wow 😮
 
Back
Top Bottom