mtaa umetulea
JF-Expert Member
- Nov 17, 2020
- 1,840
- 2,381
Inaonekana jamaa kakuumiza sana hahaha ndio dawa yenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks ntalifanyia Kaz[emoji24]Mie ushauri wangu ni huu kwako, Kama wewe mkristo fanya kufunga siku moja au mbili kavu na nenda sehemu uwe peke yako zima Hadi simu zako, kisha mwambie Mungu nisamehe kwa makosa yangu naomba niwasamehe wote walionitendea tofauti hakikisha unamaanisha kutoka ndani usijizuie Kama unaweza kulia Lia haswa omba sana, ukipata mda wa kupmzika chukua Biblia soma kitabu Cha Matendo ya mitume kwanzia sura ya 10 na kuendelea uone jinsi watu walitendewa mabaya lakini hawakujibu kwa ubaya.
Kila siku uamkapo na unalalapo chukua hatua ya kuomba Toba japo kwa dakika kumi na soma japo sura moja tu kwenye Biblia kitabu chochote, fanya hivyo bila kukoma hapa utajikuta imekuwa mtu wa tofauti sana maishani mwako unaweza kuja kuwa mke Bora kupita kiasi.
Naandika haya naelewa mtoto wa kike huwa anakula ni mtu wa namna gani haswa akitendwa sana na watu wanaowapenda kupita kiasi, please chukua ushauri huo utakuja nimshukuru baadae tofauti na hapo utaishia kufukuzwa kazi na kuishia kulewa na kuishia pabaya mno.
Mungu akusadie
Nmeshangaa na MimiYeah rite like you really meant it!Some people comes here with real issues but some advice can mess them up more.This is serious!I cannot even imagine how this person feels right now!You have to be banging someone to get cured from a mental disorder... Wow [emoji50]
Thank you so much kwa ushaur wako wako ,nawashukuru wote mlionishauri[emoji120]Honestly una disorder ya kiakili tu seems you haven’t let go of what hurt you earlier kwenye uhusiano! Live to love other people isiwe heartbreak moja ikakufungia milango ya baraka kwa vijana wengine.
Ukiniuliza deeply kinacholeta hasira zako ni upweke. You feel so bad with the lonliness but yet guilty of giving yourself to someone who hurt your feelings earlier! Mpe nafasi mtu mpya trusting kuwa ataku treat vyema tu bila kuwa na grudge!
Quick solution tafta mtu mtiane sana yani ile sana uondokane na hio feeling ya kipumbavu! Naamini ukishaingia kwenye uwanja wa mapenzi utakuwa relaxed nyege zikizidigi kwa wanawake zinaletaga hali flani ya ukichaa wengine wanachekaga hovyo wengine ni watu wa hasira hasira!
We ushawahai kumaliza hata wiki??Tunaweza kukaa mda mrefu mno ila case ya huyu kaumizwa kwenye mahusiano na sign mojaaapo ya depression ni hasira na kujichukia.
Sawa dokta loveHonestly una disorder ya kiakili tu seems you haven’t let go of what hurt you earlier kwenye uhusiano! Live to love other people isiwe heartbreak moja ikakufungia milango ya baraka kwa vijana wengine.
Ukiniuliza deeply kinacholeta hasira zako ni upweke. You feel so bad with the lonliness but yet guilty of giving yourself to someone who hurt your feelings earlier! Mpe nafasi mtu mpya trusting kuwa ataku treat vyema tu bila kuwa na grudge!
Quick solution tafta mtu mtiane sana yani ile sana uondokane na hio feeling ya kipumbavu! Naamini ukishaingia kwenye uwanja wa mapenzi utakuwa relaxed nyege zikizidigi kwa wanawake zinaletaga hali flani ya ukichaa wengine wanachekaga hovyo wengine ni watu wa hasira hasira!
ObrigadosThank you so much kwa ushaur wako wako ,nawashukuru wote mlionishauri[emoji120]
Nenda katafute msaada kwa professionals rafiki yangu hapa watakuvuruga akili tu.Utakuwa sawa ukiongea na mtu sahihi,umueleze shida yako na ukipata msaada wa anger management problem ♥️Nmeshangaa na Mimi
Mkuu ni sawa kwa kumshauri lakini pia hapa panaweza kuwa na wataalamu wazuri kupita hata hao wengine, maana Jf imekusanya kila idara humu kikubwa achague kilicho sahihi na takataka atupeNenda katafute msaada kwa professionals rafiki yangu hapa watakuvuruga akili tu.Utakuwa sawa ukiongea na mtu,umueleze shida yako na ukipata msaada sahihi wa anger management problem ♥️
hili nalo nenoNi kujiendekeza tu, we mwenyewe ushajua unachofanya sio Sawa ila hutaki kubadilika.
Tabia yako pia imechangiwa na malezi au makuzi. Unaonekana Walikutendekeza sana wazazi wako.
You need love,from psychological view, unamiss upendo kutoka kwa mtu wako wa muhimu sana either mpenzi au family, halafu you are stressed with a certain situationImekua almost a few month now tangu niwe katika Hali hii back to my point I have been through hell in relationship so sijui ndo hii Hali nayojiskia ndo imetokana na hivyo I don't know....[emoji1751][emoji1751]
Nimekuwa ni mtu ambae sina hisia kabisa nmekuwa mkali Sana niliepitiliza nmekuwa a fast panic person yani sitaki kuongeleshwa na Kaka wa aina yoyote ( mwanaume yyote ) ambae anakuja kwa habar za mahusiano Yan sometimes hata mwanaume akiwa anaanzisha maongez na Mimi I sometimes najikuta namsikiliza Afu nisimjibu Yan au naweza kuta nmemfokea tu from no where.
Muda mwingine nimekua hata nkimuona mwanaume anaonesha Hali ya kuniangalia sana najikuta namgombeza like it's a big deal napaniki tuuuh mda wote yan dah mpaka nmeanza kujichukia sasa na hiz Tabia sometimes I try kurudi katika Hali yangu ya zaman then najikuta tu hii Hali inajirudia.
Tena juzi was even worse nilijikuta namjibu boss wangu aliniuliza juu ya Jambo la kazi " we Ni ndo wale wale tu mbwa usinibabaishe ikasababisha mzozo mkubwa sanaa mpk Sasa Mambo hayapo sawa ofisin kwangu najichukia with this condition=, I want my self back I want me.
Nifanye nini !?
Shugaa, nichagulie kati ya kiwi hizi mbili moja niikong’oli leo jioni...
1. Ice cream 🍨 @Snowcream
2. Amarula @Karambezi
Hata lunch sili leo ili nisipunguze kiwi yangu ya jioni 😋😋.
Baada ya hapo muwasho utahitaji kidole cha ......... 😅🏃🏽♀️.
Umemchoma na kitu chenye ncha kali[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nyege zinakusumbua huna lolote