Nasumbuliwa na tabia ya kukasirika haraka, nifanye nini?

Tafuta mwanaume wa kukupiga pumbu pumbu hiyo ndo Best solutions itayokuokoa kutoka ktk hiyo haliii

Upande wangu niliwahi kuwa na girlfriend mwenye vitabia vya aina hiyoo sio Siri nilivyoanza kula papuchi na kumpiga pumbu ile kisawa sawa alikuja kutuliaa
 
Ushauri mzuri sana huu[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Typing....... Nafuta
Typing........nafuta

Najaribu kuandika but nafsi inasita, unaweza toa ushauri afu nami nikaambiwa ndo wale wale kama bosi.
 
Muda mwengine nyege zikizidi sana huwa hayo yanatokea. Tafuta bwana akunyooshe vizuri,utaludi kwenye hali yako ya kawaida. Utanishukuru baadae..[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Na hilii ndio jibu sahihi [emoji1474][emoji1474][emoji1474]
 
Kama uko Dodoma mtafut3 Zero IQ anayo tiba.

Kama uko Dar niPm nitakusaidia tiba.

Mikoa jirani muone Mshana Jr huyu anafika kokote kutoa huduma.

Amua ww tu kuchagua.
Yaani chief kwa Dar unajipigia promo sio?
Mwambie na mimi nipo Mkoa wowote alipo nitakwenda! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Hahahah ubatizo wa moto
 
Honestly una disorder ya kiakili tu seems you haven’t let go of what hurt you earlier kwenye uhusiano! Live to love other people isiwe heartbreak moja ikakufungia milango ya baraka kwa vijana wengine.

Ukiniuliza deeply kinacholeta hasira zako ni upweke. You feel so bad with the lonliness but yet guilty of giving yourself to someone who hurt your feelings earlier! Mpe nafasi mtu mpya trusting kuwa ataku treat vyema tu bila kuwa na grudge!

Quick solution tafta mtu mtiane sana yani ile sana uondokane na hio feeling ya kipumbavu! Naamini ukishaingia kwenye uwanja wa mapenzi utakuwa relaxed nyege zikizidigi kwa wanawake zinaletaga hali flani ya ukichaa wengine wanachekaga hovyo wengine ni watu wa hasira hasira!
 
Kwa kimatumbi, mwambie tu hajapata mwingine wa kumzibua vizuri...

Hata upele ukikosa kucha za kuukuna, muwasho wake huwa wamkera muota upele

Shugaa, nichagulie kati ya kiwi hizi mbili moja niikong’oli leo jioni...

1. Ice cream 🍨 @Snowcream

2. Amarula @Karambezi

Hata lunch sili leo ili nisipunguze kiwi yangu ya jioni 😋😋.

Baada ya hapo muwasho utahitaji kidole cha ......... 😅🏃🏽‍♀️.
 
Hujakazwa vizuri....
ww short fused....
get a real fu.ck nakuhakikishia hiyo tabia itakwisha.....
unishukuru badae
 
Tatizo ni kutojiamini. Unajiona kama una kasoro fulani ndio maana umetendwa na kuwachukia wanaume wote!

Jiangalie upya, jipande, jiamini, jione uko sawa ila aliyekutenda ndio hajielewi. Sio wa kwanza wewe kutendwa... watu tumetendwa hadi tumegeuka visiki na hatubabaiki tena; tunasonga mbeleeeee kwa mbeleee. Furahia maisha, furahi na watu wote, relax babe every thing gona be okei. acha kuutwisha ubongo wako chuki mwisho wa siku unakuwa mtu wa kuchukia kila kitu mbele yako!! ona sasa umeharibu kwa bosss!!!! relax anza maisha ya kutafuta furaha na kuitumia
 
[emoji2377][emoji2377][emoji2377] I mean Psycologist or The rapist
....= Psycotherapist!
Yeah rite like you really meant it!Some people come here with real issues but some advice can mess them up more.This is serious!I cannot even imagine how this person feels right now!You have to be banging someone to get cured from a mental disorder... Wow 😮
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…