Ni kweli Mama yetu Dkt Samia alisemewa vilivyo tena kwenye halaiki kubwa kwa bashasha zote na Mama alianza kukubalika, ila hawa cde Dkt Nchimbi na cde CPA Makalla wao eti ujenzi wa madarasa, vituo vya afya, barabara, maji, etc yaani hivyo vinazungumzwa na wakuu wa mikoa, wilaya, wabunge. Sisi kama wana CCM tunatakiwa kuwa na Katibu mkuu na mwenezi wanaoeneza upendo wa Dkt Samia kwa wapiga kura.Ko
Naungana nawe. Nahisi wana ajenda ya siri ya kumuangusha boss wao. Kijana yule,acha kabisaa. SSH alipata jembe kwelikweli kwa wakati sahihi. Lakini sasa,mmh,yetu macho.
Chawa wa Makonda taabu kwelikweli.Kwa wadau wa siasa na upepo unavyoelekea, nimeona ziara za CDE Dkt. Nchimbi na CDE Makala hakika wanakusanya watu wachache sana na hawana hoja za mikutano na wala ajenda zao hazieleweki. Utasikia wanaongelea ajenda za wakuu wa mikoa na wilaya na wabunge, mwananchi tofauti na ukilinganisha na nyomi za Makonda na alivyokuwa anatengeneza ajenda za kugusa maisha ya watanzania.
Kibaya kabisa utamsikia CDE Makala anasema mpigieni Makofi katibu mkuu (hahahahah, yaani badala ya watu waone pointi wapige makofi wanaamrishwa). Inaonekana kabisa hawana ushawishi na wanampotezea Dkt Samia kura nyingi ambazo Makonda alikuwa keshaanza kuzirudisha kwa CCM.
Natabiri Dkt Nchimbi atatenguliwa ukatibu Mkuu kabla ya 2025!
Ccm haina mvuto kwa kizazi hiki, nguvu za Dola ndio backup Yao. Magufuli alikuwa na nyomi ya vyombo vya Dola, ilipofika wakati wa uchaguzi ikabidi apore uchaguzi! Ccm haitegemei kura yoyote, Bali vyombo vya Dola ndio kura zao zilipo.Kwa wadau wa siasa na upepo unavyoelekea, nimeona ziara za CDE Dkt. Nchimbi na CDE Makala hakika wanakusanya watu wachache sana na hawana hoja za mikutano na wala ajenda zao hazieleweki. Utasikia wanaongelea ajenda za wakuu wa mikoa na wilaya na wabunge, mwananchi tofauti na ukilinganisha na nyomi za Makonda na alivyokuwa anatengeneza ajenda za kugusa maisha ya watanzania.
Kibaya kabisa utamsikia CDE Makala anasema mpigieni Makofi katibu mkuu (hahahahah, yaani badala ya watu waone pointi wapige makofi wanaamrishwa). Inaonekana kabisa hawana ushawishi na wanampotezea Dkt Samia kura nyingi ambazo Makonda alikuwa keshaanza kuzirudisha kwa CCM.
Natabiri Dkt Nchimbi atatenguliwa ukatibu Mkuu kabla ya 2025!
Kwa maneno yako ni kuwa mvino ni ile ile lakini chupa ndiyo zimebadirishwaUelekeo Sahihi ni UPI?
Product ilifika declining stage inahitaji mikakati mipya kuiuza kwa kutumia kizazi kipya!
Kwani huyo fisadi GSM anavyoifisadi nchi mpaka mama yako anajua anaroho nzuri Sana?Kwani roho mbaya inajificha? Au mlivyochukua nyumba ya GSM pale mlifanya roho nzuri?
Wasukuma mnajitoa fahamu sana.Kumbukeni kamwa mshamba hawezi kurudi Ikulu Tena.Huyo muuaji wenu akili yake iko makalioni.Bora kwenye wenezi wangemuweka hata King Msukuma kidogo yule na darasa lake la saba ana hoja na anajua kujenga hoja angesaidia kukitetea chama ila hao jamaaa ni futuhi.Hivi tuseme ukweli tu yule makala anaweza kujenga hoja ama ww unaweza kweli kupoteza mda kwenda kuwasikiliza jamaa hao.
Makonda yeye alikuwa anasema nini?Hapana sasa ndiyo kinaelekea kubaya. Wananchi huko mitaani hawalewi CCM inafanya nini. Leo hii ukimuuliza mwananchi wa kawaida ajenda ya CCM ni nini? Ila akina CDE Makala wao eti mashule, hospital etc, je mkuu wa mkoa, wilaya na Mbunge aseme nini?
Ngoja abakibaki ili CCM wajifunze kwamba siasa ni KIPAJI na siyo kupeana connectionKwa wadau wa siasa na upepo unavyoelekea, nimeona ziara za CDE Dkt. Nchimbi na CDE Makala hakika wanakusanya watu wachache sana na hawana hoja za mikutano na wala ajenda zao hazieleweki. Utasikia wanaongelea ajenda za wakuu wa mikoa na wilaya na wabunge, mwananchi tofauti na ukilinganisha na nyomi za Makonda na alivyokuwa anatengeneza ajenda za kugusa maisha ya watanzania.
Kibaya kabisa utamsikia CDE Makala anasema mpigieni Makofi katibu mkuu (hahahahah, yaani badala ya watu waone pointi wapige makofi wanaamrishwa). Inaonekana kabisa hawana ushawishi na wanampotezea Dkt Samia kura nyingi ambazo Makonda alikuwa keshaanza kuzirudisha kwa CCM.
Natabiri Dkt Nchimbi atatenguliwa ukatibu Mkuu kabla ya 2025!
Kwahiyo KM yeye anafanya tu mikutano ya ndani?? Hizo anazoziita kero anazisikilizia wapi? Huna akiliHuyo KM ameteuliwa kimkakati kwa ajili ya mchakato wa kupitisha wagombea ndani ya chama 2025, hatoki hapo.
Mambo ya nyomi hayo ni ya Makalla, KM ni mtendaji wa chama, uenezi sio kazi yake.
Yaani mpaka wanatia huruma. Upepo wa Makonda umewapoteza vibaya vibayo mnoUpepo unasoma kwa Henry James kuwa mwenezi miezi michache ijayo au Makonda kurudi kwenye hiyo nafasi. hawa wazee wangepumzika tu..
Basi endelea kungojea embe chini ya mnazi, utalipata 2026 labda.Kwahiyo KM yeye anafanya tu mikutano ya ndani?? Hizo anazoziita kero anazisikilizia wapi? Huna akili
Si muunde chama chenu alafu mpeni makonda hicho cheo,ccm dubwana kubwa sana nyie vijana hamuwezi kuelewa,namna kijana Makonda alivyokua anakimbiza muda mchache uliopita.
sasa wameingia hawa wazee vijana awawaelewi kabisa wamepoa awana mvuto.
ni dalili nzuri kufa kwa ccmKwa wadau wa siasa na upepo unavyoelekea, nimeona ziara za CDE Dkt. Nchimbi na CDE Makala hakika wanakusanya watu wachache sana na hawana hoja za mikutano na wala ajenda zao hazieleweki. Utasikia wanaongelea ajenda za wakuu wa mikoa na wilaya na wabunge, mwananchi tofauti na ukilinganisha na nyomi za Makonda na alivyokuwa anatengeneza ajenda za kugusa maisha ya watanzania.
Kibaya kabisa utamsikia CDE Makala anasema mpigieni Makofi katibu mkuu (hahahahah, yaani badala ya watu waone pointi wapige makofi wanaamrishwa). Inaonekana kabisa hawana ushawishi na wanampotezea Dkt Samia kura nyingi ambazo Makonda alikuwa keshaanza kuzirudisha kwa CCM.
Natabiri Dkt Nchimbi atatenguliwa ukatibu Mkuu kabla ya 2025!
akuna cha kuunda chama,wazee wamepwaya wamepooza mno.wastaafu wapishe vijana hiki sio kizazi cha Nyerere.Si muunde chama chenu alafu mpeni makonda hicho cheo,ccm dubwana kubwa sana nyie vijana hamuwezi kuelewa,