Natabiri Dkt. Nchimbi kutenguliwa nafasi yake kabla ya 2025

Natabiri Dkt. Nchimbi kutenguliwa nafasi yake kabla ya 2025

Ko



Naungana nawe. Nahisi wana ajenda ya siri ya kumuangusha boss wao. Kijana yule,acha kabisaa. SSH alipata jembe kwelikweli kwa wakati sahihi. Lakini sasa,mmh,yetu macho.
Ni kweli Mama yetu Dkt Samia alisemewa vilivyo tena kwenye halaiki kubwa kwa bashasha zote na Mama alianza kukubalika, ila hawa cde Dkt Nchimbi na cde CPA Makalla wao eti ujenzi wa madarasa, vituo vya afya, barabara, maji, etc yaani hivyo vinazungumzwa na wakuu wa mikoa, wilaya, wabunge. Sisi kama wana CCM tunatakiwa kuwa na Katibu mkuu na mwenezi wanaoeneza upendo wa Dkt Samia kwa wapiga kura.
 
Kwa wadau wa siasa na upepo unavyoelekea, nimeona ziara za CDE Dkt. Nchimbi na CDE Makala hakika wanakusanya watu wachache sana na hawana hoja za mikutano na wala ajenda zao hazieleweki. Utasikia wanaongelea ajenda za wakuu wa mikoa na wilaya na wabunge, mwananchi tofauti na ukilinganisha na nyomi za Makonda na alivyokuwa anatengeneza ajenda za kugusa maisha ya watanzania.

Kibaya kabisa utamsikia CDE Makala anasema mpigieni Makofi katibu mkuu (hahahahah, yaani badala ya watu waone pointi wapige makofi wanaamrishwa). Inaonekana kabisa hawana ushawishi na wanampotezea Dkt Samia kura nyingi ambazo Makonda alikuwa keshaanza kuzirudisha kwa CCM.

Natabiri Dkt Nchimbi atatenguliwa ukatibu Mkuu kabla ya 2025!
Chawa wa Makonda taabu kwelikweli.
 
Kwa wadau wa siasa na upepo unavyoelekea, nimeona ziara za CDE Dkt. Nchimbi na CDE Makala hakika wanakusanya watu wachache sana na hawana hoja za mikutano na wala ajenda zao hazieleweki. Utasikia wanaongelea ajenda za wakuu wa mikoa na wilaya na wabunge, mwananchi tofauti na ukilinganisha na nyomi za Makonda na alivyokuwa anatengeneza ajenda za kugusa maisha ya watanzania.

Kibaya kabisa utamsikia CDE Makala anasema mpigieni Makofi katibu mkuu (hahahahah, yaani badala ya watu waone pointi wapige makofi wanaamrishwa). Inaonekana kabisa hawana ushawishi na wanampotezea Dkt Samia kura nyingi ambazo Makonda alikuwa keshaanza kuzirudisha kwa CCM.

Natabiri Dkt Nchimbi atatenguliwa ukatibu Mkuu kabla ya 2025!
Ccm haina mvuto kwa kizazi hiki, nguvu za Dola ndio backup Yao. Magufuli alikuwa na nyomi ya vyombo vya Dola, ilipofika wakati wa uchaguzi ikabidi apore uchaguzi! Ccm haitegemei kura yoyote, Bali vyombo vya Dola ndio kura zao zilipo.
 
"Huyu ni kijana wetu,lakini amesema jambo la kijinga" kauli ya Katibu Mkuu.
Katibu Mkuu anasema ukweli,ukweli usemwe."Mtu akisema jambo la kijinga lazima tuseme hapa kasema jambo la kijinga"
Kuna wengine wanafikiri kutishia kuwapoteza watu wana wanaokosoa kuwa ni halali,na kujihisi wapo juu ya sheria.

Sasa wapambe wanatumika kumchafua Katibu Mkuu.
 
Kuna wale vijana wa zamani kwenye mikutano bado wanatumia vile vichekesho vya zamani vya la kuchumpa ,lakuparama, wagagagigigogo
 
Bora kwenye wenezi wangemuweka hata King Msukuma kidogo yule na darasa lake la saba ana hoja na anajua kujenga hoja angesaidia kukitetea chama ila hao jamaaa ni futuhi.Hivi tuseme ukweli tu yule makala anaweza kujenga hoja ama ww unaweza kweli kupoteza mda kwenda kuwasikiliza jamaa hao.
Wasukuma mnajitoa fahamu sana.Kumbukeni kamwa mshamba hawezi kurudi Ikulu Tena.Huyo muuaji wenu akili yake iko makalioni.
 
Hapana sasa ndiyo kinaelekea kubaya. Wananchi huko mitaani hawalewi CCM inafanya nini. Leo hii ukimuuliza mwananchi wa kawaida ajenda ya CCM ni nini? Ila akina CDE Makala wao eti mashule, hospital etc, je mkuu wa mkoa, wilaya na Mbunge aseme nini?
Makonda yeye alikuwa anasema nini?
 
Kwa wadau wa siasa na upepo unavyoelekea, nimeona ziara za CDE Dkt. Nchimbi na CDE Makala hakika wanakusanya watu wachache sana na hawana hoja za mikutano na wala ajenda zao hazieleweki. Utasikia wanaongelea ajenda za wakuu wa mikoa na wilaya na wabunge, mwananchi tofauti na ukilinganisha na nyomi za Makonda na alivyokuwa anatengeneza ajenda za kugusa maisha ya watanzania.

Kibaya kabisa utamsikia CDE Makala anasema mpigieni Makofi katibu mkuu (hahahahah, yaani badala ya watu waone pointi wapige makofi wanaamrishwa). Inaonekana kabisa hawana ushawishi na wanampotezea Dkt Samia kura nyingi ambazo Makonda alikuwa keshaanza kuzirudisha kwa CCM.

Natabiri Dkt Nchimbi atatenguliwa ukatibu Mkuu kabla ya 2025!
Ngoja abakibaki ili CCM wajifunze kwamba siasa ni KIPAJI na siyo kupeana connection
 
Huyo KM ameteuliwa kimkakati kwa ajili ya mchakato wa kupitisha wagombea ndani ya chama 2025, hatoki hapo.

Mambo ya nyomi hayo ni ya Makalla, KM ni mtendaji wa chama, uenezi sio kazi yake.
Kwahiyo KM yeye anafanya tu mikutano ya ndani?? Hizo anazoziita kero anazisikilizia wapi? Huna akili
 
Upepo unasoma kwa Henry James kuwa mwenezi miezi michache ijayo au Makonda kurudi kwenye hiyo nafasi. hawa wazee wangepumzika tu..
Yaani mpaka wanatia huruma. Upepo wa Makonda umewapoteza vibaya vibayo mno
 
Kwa wadau wa siasa na upepo unavyoelekea, nimeona ziara za CDE Dkt. Nchimbi na CDE Makala hakika wanakusanya watu wachache sana na hawana hoja za mikutano na wala ajenda zao hazieleweki. Utasikia wanaongelea ajenda za wakuu wa mikoa na wilaya na wabunge, mwananchi tofauti na ukilinganisha na nyomi za Makonda na alivyokuwa anatengeneza ajenda za kugusa maisha ya watanzania.

Kibaya kabisa utamsikia CDE Makala anasema mpigieni Makofi katibu mkuu (hahahahah, yaani badala ya watu waone pointi wapige makofi wanaamrishwa). Inaonekana kabisa hawana ushawishi na wanampotezea Dkt Samia kura nyingi ambazo Makonda alikuwa keshaanza kuzirudisha kwa CCM.

Natabiri Dkt Nchimbi atatenguliwa ukatibu Mkuu kabla ya 2025!
ni dalili nzuri kufa kwa ccm
 
Nchimvi hapendi u Hawa,

Sijui boss anajisikiaje!!
 
Back
Top Bottom