πππ NyamitakoMnajisumbua kumpigia debe huyo Muuaji Bashite. Makonda yupo Arusha kama mlango wa kutokea.
Team ya Nchimbi ipo sana hadi 2027. Usanii wa kupanda punda na mkokoteni uliisha na huyo Zerobrain. Wewe utaendelea tu kupata maumivu kama ni mpambe wa Nyamitako.
Hakuna kisichojulikana nchi hii.changamoto zote ziko wazi.wala haziitaji mbwembwe kuzisikiliza.tatizo ni uwezo wakuzitatua hamnaKwahiyo KM yeye anafanya tu mikutano ya ndani?? Hizo anazoziita kero anazisikilizia wapi? Huna akili
Wakati anawaponda wenzake mbona ukuongea.....ππWanazunguka kumponda makonda , jamaa ni viazi sana
Natabiri Dk Nchimbi ndiye Rais wa Tanzania mwaka 2030Kwa wadau wa siasa na upepo unavyoelekea, nimeona ziara za CDE Dkt. Nchimbi na CDE Makala hakika wanakusanya watu wachache sana na hawana hoja za mikutano na wala ajenda zao hazieleweki. Utasikia wanaongelea ajenda za wakuu wa mikoa na wilaya na wabunge, mwananchi tofauti na ukilinganisha na nyomi za Makonda na alivyokuwa anatengeneza ajenda za kugusa maisha ya watanzania.
Kibaya kabisa utamsikia CDE Makala anasema mpigieni Makofi katibu mkuu (hahahahah, yaani badala ya watu waone pointi wapige makofi wanaamrishwa). Inaonekana kabisa hawana ushawishi na wanampotezea Dkt Samia kura nyingi ambazo Makonda alikuwa keshaanza kuzirudisha kwa CCM.
Natabiri Dkt Nchimbi atatenguliwa ukatibu Mkuu kabla ya 2025!
Acheni MAJUNGU na FITINA. Kila anayeteuliwa ni kumpiga Majungu na fitina tuHapana sasa ndiyo kinaelekea kubaya. Wananchi huko mitaani hawalewi CCM inafanya nini. Leo hii ukimuuliza mwananchi wa kawaida ajenda ya CCM ni nini? Ila akina CDE Makala wao eti mashule, hospital etc, je mkuu wa mkoa, wilaya na Mbunge aseme nini?
Sijasoma uzi wako lakini kwa kifupi hakuna lisilo na mwisho.Kwa wadau wa siasa na upepo unavyoelekea, nimeona ziara za CDE Dkt. Nchimbi na CDE Makala hakika wanakusanya watu wachache sana na hawana hoja za mikutano na wala ajenda zao hazieleweki. Utasikia wanaongelea ajenda za wakuu wa mikoa na wilaya na wabunge, mwananchi tofauti na ukilinganisha na nyomi za Makonda na alivyokuwa anatengeneza ajenda za kugusa maisha ya watanzania.
Kibaya kabisa utamsikia CDE Makala anasema mpigieni Makofi katibu mkuu (hahahahah, yaani badala ya watu waone pointi wapige makofi wanaamrishwa). Inaonekana kabisa hawana ushawishi na wanampotezea Dkt Samia kura nyingi ambazo Makonda alikuwa keshaanza kuzirudisha kwa CCM.
Natabiri Dkt Nchimbi atatenguliwa ukatibu Mkuu kabla ya 2025!
Punguza makasilikoWasukuma mnajitoa fahamu sana.Kumbukeni kamwa mshamba hawezi kurudi Ikulu Tena.Huyo muuaji wenu akili yake iko makalioni.
Mudawote aka Sukumagang teh teh teh utakufa nacho kijiba cha roho!Kwa wadau wa siasa na upepo unavyoelekea, nimeona ziara za CDE Dkt. Nchimbi na CDE Makala hakika wanakusanya watu wachache sana na hawana hoja za mikutano na wala ajenda zao hazieleweki. Utasikia wanaongelea ajenda za wakuu wa mikoa na wilaya na wabunge, mwananchi tofauti na ukilinganisha na nyomi za Makonda na alivyokuwa anatengeneza ajenda za kugusa maisha ya watanzania.
Kibaya kabisa utamsikia CDE Makala anasema mpigieni Makofi katibu mkuu (hahahahah, yaani badala ya watu waone pointi wapige makofi wanaamrishwa). Inaonekana kabisa hawana ushawishi na wanampotezea Dkt Samia kura nyingi ambazo Makonda alikuwa keshaanza kuzirudisha kwa CCM.
Natabiri Dkt Nchimbi atatenguliwa ukatibu Mkuu kabla ya 2025!
Nchimbi hadi 2030 na baada ya hapo atagombea uraisKwa wadau wa siasa na upepo unavyoelekea, nimeona ziara za CDE Dkt. Nchimbi na CDE Makala hakika wanakusanya watu wachache sana na hawana hoja za mikutano na wala ajenda zao hazieleweki. Utasikia wanaongelea ajenda za wakuu wa mikoa na wilaya na wabunge, mwananchi tofauti na ukilinganisha na nyomi za Makonda na alivyokuwa anatengeneza ajenda za kugusa maisha ya watanzania.
Kibaya kabisa utamsikia CDE Makala anasema mpigieni Makofi katibu mkuu (hahahahah, yaani badala ya watu waone pointi wapige makofi wanaamrishwa). Inaonekana kabisa hawana ushawishi na wanampotezea Dkt Samia kura nyingi ambazo Makonda alikuwa keshaanza kuzirudisha kwa CCM.
Natabiri Dkt Nchimbi atatenguliwa ukatibu Mkuu kabla ya 2025!
We mtu mmoja usisemee wengiKwa wadau wa siasa na upepo unavyoelekea, nimeona ziara za CDE Dkt. Nchimbi na CDE Makala hakika wanakusanya watu wachache sana na hawana hoja za mikutano na wala ajenda zao hazieleweki. Utasikia wanaongelea ajenda za wakuu wa mikoa na wilaya na wabunge, mwananchi tofauti na ukilinganisha na nyomi za Makonda na alivyokuwa anatengeneza ajenda za kugusa maisha ya watanzania.
Kibaya kabisa utamsikia CDE Makala anasema mpigieni Makofi katibu mkuu (hahahahah, yaani badala ya watu waone pointi wapige makofi wanaamrishwa). Inaonekana kabisa hawana ushawishi na wanampotezea Dkt Samia kura nyingi ambazo Makonda alikuwa keshaanza kuzirudisha kwa CCM.
Natabiri Dkt Nchimbi atatenguliwa ukatibu Mkuu kabla ya 2025!
Hao wananchi nao watakuwa vilaza tu,Hapana sasa ndiyo kinaelekea kubaya. Wananchi huko mitaani hawalewi CCM inafanya nini. Leo hii ukimuuliza mwananchi wa kawaida ajenda ya CCM ni nini? Ila akina CDE Makala wao eti mashule, hospital etc, je mkuu wa mkoa, wilaya na Mbunge aseme nini?
Kabisa na mimi naona uelekeo sasa siyo,.. Makala na Nchimbi hawana mvuto kwenye siasa kwa wananchi..Hapana sasa ndiyo kinaelekea kubaya. Wananchi huko mitaani hawalewi CCM inafanya nini. Leo hii ukimuuliza mwananchi wa kawaida ajenda ya CCM ni nini? Ila akina CDE Makala wao eti mashule, hospital etc, je mkuu wa mkoa, wilaya na Mbunge aseme nini?
Bonge la point.....Uelekeo Sahihi ni UPI?
Product ilifika declining stage inahitaji mikakati mipya kuiuza kwa kutumia kizazi kipya!