Natabiri Dkt. Nchimbi kutenguliwa nafasi yake kabla ya 2025

Natabiri Dkt. Nchimbi kutenguliwa nafasi yake kabla ya 2025

Mnajisumbua kumpigia debe huyo Muuaji Bashite. Makonda yupo Arusha kama mlango wa kutokea.

Team ya Nchimbi ipo sana hadi 2027. Usanii wa kupanda punda na mkokoteni uliisha na huyo Zerobrain. Wewe utaendelea tu kupata maumivu kama ni mpambe wa Nyamitako.
😂😂😂 Nyamitako
 
Kwahiyo KM yeye anafanya tu mikutano ya ndani?? Hizo anazoziita kero anazisikilizia wapi? Huna akili
Hakuna kisichojulikana nchi hii.changamoto zote ziko wazi.wala haziitaji mbwembwe kuzisikiliza.tatizo ni uwezo wakuzitatua hamna
 
Kwa wadau wa siasa na upepo unavyoelekea, nimeona ziara za CDE Dkt. Nchimbi na CDE Makala hakika wanakusanya watu wachache sana na hawana hoja za mikutano na wala ajenda zao hazieleweki. Utasikia wanaongelea ajenda za wakuu wa mikoa na wilaya na wabunge, mwananchi tofauti na ukilinganisha na nyomi za Makonda na alivyokuwa anatengeneza ajenda za kugusa maisha ya watanzania.

Kibaya kabisa utamsikia CDE Makala anasema mpigieni Makofi katibu mkuu (hahahahah, yaani badala ya watu waone pointi wapige makofi wanaamrishwa). Inaonekana kabisa hawana ushawishi na wanampotezea Dkt Samia kura nyingi ambazo Makonda alikuwa keshaanza kuzirudisha kwa CCM.

Natabiri Dkt Nchimbi atatenguliwa ukatibu Mkuu kabla ya 2025!
Natabiri Dk Nchimbi ndiye Rais wa Tanzania mwaka 2030
 
Hapana sasa ndiyo kinaelekea kubaya. Wananchi huko mitaani hawalewi CCM inafanya nini. Leo hii ukimuuliza mwananchi wa kawaida ajenda ya CCM ni nini? Ila akina CDE Makala wao eti mashule, hospital etc, je mkuu wa mkoa, wilaya na Mbunge aseme nini?
Acheni MAJUNGU na FITINA. Kila anayeteuliwa ni kumpiga Majungu na fitina tu
 
Hii nafasi inahitani kijana kama ilivyokuwa Kwa makonda.kwa Sasa imepoa kama uji uliolala.akiwa anasikiliza changamoto za wananchi hamna utatuzi wote zaidi ya kusema mkuu wawilaya atakuwa kuwaona.
 
Kwa wadau wa siasa na upepo unavyoelekea, nimeona ziara za CDE Dkt. Nchimbi na CDE Makala hakika wanakusanya watu wachache sana na hawana hoja za mikutano na wala ajenda zao hazieleweki. Utasikia wanaongelea ajenda za wakuu wa mikoa na wilaya na wabunge, mwananchi tofauti na ukilinganisha na nyomi za Makonda na alivyokuwa anatengeneza ajenda za kugusa maisha ya watanzania.

Kibaya kabisa utamsikia CDE Makala anasema mpigieni Makofi katibu mkuu (hahahahah, yaani badala ya watu waone pointi wapige makofi wanaamrishwa). Inaonekana kabisa hawana ushawishi na wanampotezea Dkt Samia kura nyingi ambazo Makonda alikuwa keshaanza kuzirudisha kwa CCM.

Natabiri Dkt Nchimbi atatenguliwa ukatibu Mkuu kabla ya 2025!
Sijasoma uzi wako lakini kwa kifupi hakuna lisilo na mwisho.
 
Kwa wadau wa siasa na upepo unavyoelekea, nimeona ziara za CDE Dkt. Nchimbi na CDE Makala hakika wanakusanya watu wachache sana na hawana hoja za mikutano na wala ajenda zao hazieleweki. Utasikia wanaongelea ajenda za wakuu wa mikoa na wilaya na wabunge, mwananchi tofauti na ukilinganisha na nyomi za Makonda na alivyokuwa anatengeneza ajenda za kugusa maisha ya watanzania.

Kibaya kabisa utamsikia CDE Makala anasema mpigieni Makofi katibu mkuu (hahahahah, yaani badala ya watu waone pointi wapige makofi wanaamrishwa). Inaonekana kabisa hawana ushawishi na wanampotezea Dkt Samia kura nyingi ambazo Makonda alikuwa keshaanza kuzirudisha kwa CCM.

Natabiri Dkt Nchimbi atatenguliwa ukatibu Mkuu kabla ya 2025!
Mudawote aka Sukumagang teh teh teh utakufa nacho kijiba cha roho!
 
Kwa wadau wa siasa na upepo unavyoelekea, nimeona ziara za CDE Dkt. Nchimbi na CDE Makala hakika wanakusanya watu wachache sana na hawana hoja za mikutano na wala ajenda zao hazieleweki. Utasikia wanaongelea ajenda za wakuu wa mikoa na wilaya na wabunge, mwananchi tofauti na ukilinganisha na nyomi za Makonda na alivyokuwa anatengeneza ajenda za kugusa maisha ya watanzania.

Kibaya kabisa utamsikia CDE Makala anasema mpigieni Makofi katibu mkuu (hahahahah, yaani badala ya watu waone pointi wapige makofi wanaamrishwa). Inaonekana kabisa hawana ushawishi na wanampotezea Dkt Samia kura nyingi ambazo Makonda alikuwa keshaanza kuzirudisha kwa CCM.

Natabiri Dkt Nchimbi atatenguliwa ukatibu Mkuu kabla ya 2025!
Nchimbi hadi 2030 na baada ya hapo atagombea urais
 
Kwa wadau wa siasa na upepo unavyoelekea, nimeona ziara za CDE Dkt. Nchimbi na CDE Makala hakika wanakusanya watu wachache sana na hawana hoja za mikutano na wala ajenda zao hazieleweki. Utasikia wanaongelea ajenda za wakuu wa mikoa na wilaya na wabunge, mwananchi tofauti na ukilinganisha na nyomi za Makonda na alivyokuwa anatengeneza ajenda za kugusa maisha ya watanzania.

Kibaya kabisa utamsikia CDE Makala anasema mpigieni Makofi katibu mkuu (hahahahah, yaani badala ya watu waone pointi wapige makofi wanaamrishwa). Inaonekana kabisa hawana ushawishi na wanampotezea Dkt Samia kura nyingi ambazo Makonda alikuwa keshaanza kuzirudisha kwa CCM.

Natabiri Dkt Nchimbi atatenguliwa ukatibu Mkuu kabla ya 2025!
We mtu mmoja usisemee wengi
 
Hapana sasa ndiyo kinaelekea kubaya. Wananchi huko mitaani hawalewi CCM inafanya nini. Leo hii ukimuuliza mwananchi wa kawaida ajenda ya CCM ni nini? Ila akina CDE Makala wao eti mashule, hospital etc, je mkuu wa mkoa, wilaya na Mbunge aseme nini?
Hao wananchi nao watakuwa vilaza tu,
Yani walikuwa wanajuwa ajenda vizuri Bashite akiwa kiongozi wao halafu baada ya Mr. Gugu tu kuingia tayari wameisahau hata wiki haijaisha!
 
Hapana sasa ndiyo kinaelekea kubaya. Wananchi huko mitaani hawalewi CCM inafanya nini. Leo hii ukimuuliza mwananchi wa kawaida ajenda ya CCM ni nini? Ila akina CDE Makala wao eti mashule, hospital etc, je mkuu wa mkoa, wilaya na Mbunge aseme nini?
Kabisa na mimi naona uelekeo sasa siyo,.. Makala na Nchimbi hawana mvuto kwenye siasa kwa wananchi..
 
Hata asipokuepo.. kwani ana msaada gani kwa watanzania !?
 
Back
Top Bottom