Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Mungu ameingilia kati, ameliokowa Taifa bila umwagaji damu kwa kumtwaa yule malaika wa kuzimu.Natabiri ya kuwa jaribio lolote la kubadili katiba na kurefusha ukomo wa Rais litazua Moto wa kisiasa ambao haukuwahi kutokea tangu kuwepo kwa Taifa hili.
Yani hamtoamini wala kudhania. Itakuwa ni siku mbaya na nzito kwa Taifa ndipo sote tutaamini kweli kuna deep state in side state.
Nasali Jambo hili lisitokee wala kusemwa tu. Madhara yake yatatutesa sana kama Taifa.
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu akuongezee maono, imekuwa hivyo kweli.
I restore this comment on ur behalf.Nahifadhi hii comment.
Tuliwambia walionufaika na ushetani wote watalia na kusaga menoMungu akuongezee maono, imekuwa hivyo kweli.
I restore this comment on ur behalf.
Umeona hii dunia ilivyo? Yuko wapi leo Magufuli na ubabe wote na ujeuri wote na ukatili wote?
Wamebaki wajane na yatima tu wanalialia kina Poleole na Musiba.
Leo wanahaha kila mahali.Tuliwambia walionufaika na ushetani wote watalia na kusaga meno
[emoji30][emoji30][emoji30] watu waliona mbali.
Aisee
Hiyo ni 'coincidence' tu...hakuna utaalam wala ujanja.[emoji30][emoji30][emoji30] watu waliona mbali.
Kwani nani anataka kubadili katibaNatabiri ya kuwa jaribio lolote la kubadili katiba na kurefusha ukomo wa Rais litazua Moto wa kisiasa ambao haukuwahi kutokea tangu kuwepo kwa Taifa hili.
Yani hamtoamini wala kudhania. Itakuwa ni siku mbaya na nzito kwa Taifa ndipo sote tutaamini kweli kuna deep state in side state.
Nasali Jambo hili lisitokee wala kusemwa tu. Madhara yake yatatutesa sana kama Taifa.
Mungu ibariki Tanzania.
Ulijuaje mkuu? Kuna watu mnaishi mbele ya mda
Mmejiegememeza na kutumia jina la Mungu, kumbe mnamambo yenu ya Siri?
Last seen ya huyu jamaa ni lini?
Ilikuwa kama jambo lisilo wezekanabawacha bana[emoji23][emoji23][emoji23].
kutoka niyeye mpaka rais wa kike mwanamke mwakani.
Wewe jamaa nafungua uzi kwa ajili yako ili uje utuambie kinaga ubaga, ulijuaje?
Kwa aina ya raia wa nchi hii Magu atatawala hadi mola wake atakapomtwaa.
2022.05.03Last seen ya huyu jamaa ni lini?