Natabiri jaribio lolote la kubadilisha Katiba na ukomo wa Rais litaibua mazito

Mungu ameingilia kati, ameliokowa Taifa bila umwagaji damu kwa kumtwaa yule malaika wa kuzimu.
 
Jaribio hilo tulisahau kwasababu mwakani tunapata Rais mwanamke. Mungu hawezi kuvumilia upuuz.

1954
Mungu akuongezee maono, imekuwa hivyo kweli.
Nahifadhi hii comment.
I restore this comment on ur behalf.

Umeona hii dunia ilivyo? Yuko wapi leo Magufuli na ubabe wote na ujeuri wote na ukatili wote?

Wamebaki wajane na yatima tu wanalialia kina Poleole na Musiba.
 
Mungu akuongezee maono, imekuwa hivyo kweli.

I restore this comment on ur behalf.

Umeona hii dunia ilivyo? Yuko wapi leo Magufuli na ubabe wote na ujeuri wote na ukatili wote?

Wamebaki wajane na yatima tu wanalialia kina Poleole na Musiba.
Tuliwambia walionufaika na ushetani wote watalia na kusaga meno
 
Kwani nani anataka kubadili katiba
 
Soma uzi huu hapa chini comment #7, kisha uniambie usahihi wa mtoa comment umekuja kwa uwezo wa maono ama aliijua mipango?

 
😳😳😳😳
Du, nimesoma.....yaani hata siamini!!

Hii dunia inabidi nitulie tu, hakuna lolote nilijualo na kwa umri huu nilionao ni dhahiri kuwa nitapita hapa dunia bila kujua lolote!!!!
 
Hata muhusika mwenyewe mipango aliijua,

akawa anasema mara kwa mara mniombee,

kwenye kampeni alikua anasema
mwinyi mlimpa miaka 10,
mkapa mkampa 10,
kikwete mkampa 10,
kwanini mimi mnataka mnipe mitano?

hayo maswali unafikiri alikua anawauliza wananchi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…