Natabiri kuna jambo zito sana la siri linaendelea katika siasa za Tanzania

we jamaa kwa mikwara hujambo
 
na tangazo la kujiuzulu limesainiwa trh6 [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
🤣🤣🤣
 
Niliyomwombea Ndugai bado hayajampata. Hiyo ni mvua ya lashalasha tu.
 
Unasomeka kwa herufi kubwa.
Time is proving
 
The excitement has peaked. From now on things can only be calm.
 
Sasa usiposema unachojua si ukae kimya tu?
 
matumizi mabaya ya bando
 
Pimbi wewe,

We si Kuna uzi ulilete humu kuwa Ndugai hawezi kuondolewa uspika?
Jiandaeni kupigwa chini wote
 
Hizo ni hadithi za kufikirika tu
 
Tangu ubinadamu ulipokurudia Huwa nakuelewasana
 
Observant yako imeongozwa na uzwazwa, na kutojua maandiko! Hakuna cha 6 wala 7, kama kuna maandiko matakatifu ya kutumia hapa, labda “Ndugai anavuna alicho panda”, basi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…