Natabiri kuna jambo zito sana la siri linaendelea katika siasa za Tanzania

Alikufa Magufuli na nchi imetulia nn unataka kusema jombii ?? Hata akifa spika tunazika na nchi inakaza mwendo usiishi kwa msisimko boss utakufa mapema kwa matatizo yasiyoambukiza.
 
Hakuna lolote la ajabu
Eti upside down
Hebu leteni mbinu za kujenga vyoo ili watoto wasijisaidie msituni

Hamna lolote yaani mpaka huruma
Yaani mtu kujiuzulu imekuwa vitisho utafikiri leo tunapigwa makombora kila kona [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wamalizane tu
 
Labda anataka tuamini kuwa siidiieff na aijiipii
Hapa umenena sasa. Hawa ukibadili uongozi wanawekwa nje hasa IGP. Na kweli walisisitiza aapishwe. Kingine naanza kuamini ile siri aliyosema CD4 inamhusisha Nimekosa mimi, nimekosa sana
 
Hakuna lolote baya,kila kitu kipo kwenye mikono salama

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Ya October 28 yatawatafuna mmoja mmoja .

Nobody will get out of that Karma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…