imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Nakazia 👆Labda anataka kua mke wa Pili wa DAB
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakazia 👆Labda anataka kua mke wa Pili wa DAB
Watakuambia:-[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawampendi sana lakini ukiwauliza kwa nn hampendi hawana jibu
✍️✍️✍️✍️✍️✍️.Wat
Hiyo ni uwakilishi wa expression ya walio wengi hasa wale ambao hawana shughuli za kufanya na umri usiozidi miaka 35
Boss unaweza kuniambia kwa nini humuitaji makonda ?? Msipandikizwe ubaya kwa kusikia kwa watu au kusoma kwenye magezeti na mitandao je wewe makonda alishawahi kukufanyia ubaya acheni chuki hizo haijengi kwa taarifa mwamba akiwa raisi hii Tanzania itaheshimika sana.So kwakuwa unaumia Kwa watu kutomkubali ndo unakuja na illusions zako za kichwani na kujifanya mtabiri?
Nitaweka tu hakuna shida.Umesahau kuweka namba yako ya kudumbukiziwa ka chochote kitu.
Makondakta akiwa raisi nahama nchi aisee hata burundi naenda ishi maana nchi itaishaaa.Habari Wana JF
Nisipende kuzunguka Sana Ni Kwamba PAUL MAKONDA anaenda Kuwa Raisi Wa Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania mwaka 2030 Tuombeni Uhai...
Uvumilie sana ila kikubwa watanzania tunaambukizana uninga unamchukia makonda kwa kusikia kwenye mitandao je wewe alishawahi kukufanyia ubaya?Nimekula matusi kuna thread ipo humu, kisa ku-support makonda [emoji16][emoji16][emoji16]
Labda rais wa jamhuri ya kolomijeHabari Wana JF
Nisipende kuzunguka Sana Ni Kwamba PAUL MAKONDA anaenda Kuwa Raisi Wa Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania mwaka 2030 Tuombeni Uhai...
We ni sawa na wale wehu wanaookota makopo barabaraniHabari Wana JF
Nisipende kuzunguka Sana Ni Kwamba PAUL MAKONDA anaenda Kuwa Raisi Wa Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania mwaka 2030 Tuombeni Uhai...
Mtu mwenyewe ni mchawi, Makonda ni mchawi mwenzieUnafunza kichwani. Shindwa pepo.
Utakuja kujificha Makonda ni Rais ajaye wewe **** endelea na ujunga wakoTatizo mnavimbiwa mnakuja kuropoka.
Namba yako ya simu iko wapi?Habari Wana JF
Nisipende kuzunguka Sana Ni Kwamba PAUL MAKONDA anaenda Kuwa Raisi Wa Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania mwaka 2030 Tuombeni Uhai...
Kuna uchaguzi 2025,Habari Wana JF
Nisipende kuzunguka Sana Ni Kwamba PAUL MAKONDA anaenda Kuwa Raisi Wa Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania mwaka 2030 Tuombeni Uhai
Ukweli Ni kwamba Paul makonda anapitia wakati mgumu sana ila huwa anakuwa na uvumilivu wa Kuyabeba wengi Wenu Mnamchukia sana Huyu Mwamba naamini Mungu atamsimamia kwa kila Hatua anayopita na kila baya mnalomfanyia.
Ukweli ni Kwamba naumia sana kumuona mh.paul makonda kila analofanya nyinyi mnaliona baya.
Hivi kwa nini huwa mnamchukia huyu mwamba,hivi kwa nini huwa hampendi huyu mwamba?
Je kitu gani kinawafanya nyinyi mum mumuone tofauti wakati makonda ni mtete wa wanyonge?
Kikubwa na kwamba binadamu wengi wa Tanzania mmejaa chuki nyingi sana juu ya huyu mwamba.
Naumia sana kumuona mtu mwenye kipawa cha uongozi mnakichukia.
Ombi langu hii hazina ya mtu kama makonda anatakiwa atunzwe sehemu ili mwisho wa siku aje kuikomboa hii Tanzania.
Poul makonda mheshimiwa wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ajaye sina cha kuongea zaidi ila naamini kila baya litapita na utakuja kushinda hii vita.
Hapa nipo mbioni kuhama mkoa kumfuata mh.poul makonda huko ARUSHA popote atapo hama mimi nitamfuata .
Moyo wangu unafarijika kumuona makonda ananyazifa katika serikali hii.
Mungu naomba huyu mtu umtie nguvu kwa kila jambo.
Nina mengi sana juu ya makonda lakini huko ulipo nakuombea dua njema na nipo mbioni hadi mwezi wa Tano panapo majaliwa nitakuwa Arusha najisikia raha sana unapokuwa na uongozi sehemu mojawapo ya serikali ya Tanzania.
Mungu akulinde na mabaya,akuepushie wabaya wote wanaokuombea dua mbaya mh.poul makonda.
Nahakikisha nitakuwa mwananchi wako mwema juu yako kwa kila jambo
Ahsante.