Natabiri Urusi atatembeza kichapo cha haja leo usiku hapo Ukraine

Putin ni mwamba sana linapokuja suala la kisasi.
Sasa kama ni kisisasi kwanini allikuja kuvamia nchi ya watu kwa matakwa ya kipumabvu. Yeye anapiga miundo mbinu ya ukrain sasa Yeye akipigwa iwe nongwa. Huko kupigwa anakutaka kwa vile ameenda kuvamia ardhi ya watu.

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…