ndammu
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 3,971
- 4,440
Kama anazo au hana hoja yangu kwanini amekwenda kuua raia kwakusingizia kwamba ni operation?Yeye kaenda kuua MAGAIDI ana baraka zote
Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama anazo au hana hoja yangu kwanini amekwenda kuua raia kwakusingizia kwamba ni operation?Yeye kaenda kuua MAGAIDI ana baraka zote
Mrusi hapendi magaidi,uchokozi,dharau Wala majivuno.Magaidi huwa anawanyoosha vilivo🥱Urusi uzuri wake husubiri achokozwe na ndipo hujibu....
Baada ya kuchokozwa na kushambuliwa meli zake kule baharini natabiri pale Kiev leo hakutalalika na tutarajie kichapo cha haja.
Tafuta historia ya ugomvi wao,Hata kwa kugoogle,Ila kubwa ni uchokozi na niambaya ya Nato na vibaraka wake kwa Motherland Russia 🥱Kama anazo au hana hoja yangu kwanini amekwenda kuua raia kwakusingizia kwamba ni operation?
Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
Matokeo yake anatembezewa mkong'oto yeye mwenyewe mpaka anajificha kwenye andaki kama nguchiro [emoji2][emoji16]Yeye kaenda kuua MAGAIDI ana baraka zote
nan alimchokoza akaivamia Crimea ? nan alimchokoza akaivamia Ukraine ?Urusi uzuri wake husubiri achokozwe na ndipo hujibu....
Baada ya kuchokozwa na kushambuliwa meli zake kule baharini natabiri pale Kiev leo hakutalalika na tutarajie kichapo cha haja.
kama hawawez kulënga kamb za jeshi watawezaj ikulu , acha waendelee kulipua bembea za watotoMm nataka watume drone Kamikaze iondoke na kichwa cha Zelensky
nafaka za ukraine unataka ziexchange si wiz huu ? wauze nafaka zao , hii Urusi aliwai ifanya hata mwaka 1940 aliivamia ukraine akawa anaiba nafaka , Urusi wapuuz sanaPale palikuwa na Meli za chakula, wana mkataba ndani ya vita ikiwemo kuruhusu exchange ya nafak.
Leo Russia wamemua kusitisha, then kw kosa la kushambulia vyakula (terrorism) , retaliation sijui itkuwje
waliolipua ndio wenye nafaka wamezuia wizi , huu wiz sio mara ya kwanza Urusi kuufanya dhidi ya UkraineKatibu wa UN kafanya kazi bure kufanikisha chakula kusafirishwa lakini majitu yasiyo na akili yamevuruga mpango huo MAJITU ..
baraka za nan wkt alivamia hata bila bunge la urusi kubarikiYeye kaenda kuua MAGAIDI ana baraka zote
Aache ujinga abakie nchini mwakeMrusi hapendi magaidi,uchokozi,dharau Wala majivuno.Magaidi huwa anawanyoosha vilivo🥱
Sema mrusi kiboko ya wapuuzi😄😄nafaka za ukraine unataka ziexchange si wiz huu ? wauze nafaka zao , hii Urusi aliwai ifanya hata mwaka 1940 aliivamia ukraine akawa anaiba nafaka , Urusi wapuuz sana
Zilianzia mbali na aliwaonya kipindi chote,kuwa Nato kusogea mlangoni kwake ni sawa na mwana alitafutaye mwana atalipata,na huenda Leo hii Ndio maana ya mwanakulitafuta🥱nan alimchokoza akaivamia Crimea ? nan alimchokoza akaivamia Ukraine ?
mwamba wa machege, ameuliwa wanajeshi wake mpaka kaamua kupeleka wafungwa vitani lakini vijana wa JKT piaPutin ni mwamba sana linapokuja suala la kisasi.
urusi achokozwe mara ngapi, alisema ulaya na US wakiisaidia Ukraine silaha atazishambulia kwa nuclear sasa mpaka US na ulaya wanajipigia kwa pasi yeye ndo kwanza anakodi ndege za kivita toka IranHata mi nawaza hivyo alihaidi akichokozwa tena kuna harsh response ngoja tuone