Natabiri Urusi atatembeza kichapo cha haja leo usiku hapo Ukraine

Natabiri Urusi atatembeza kichapo cha haja leo usiku hapo Ukraine

Leo usiku bado tu haijafika?[emoji2957]

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Utawaweza Warusi wa Goms,huwa wanapanga wenyewe na muda halafu baadae wanapata tena kazi ya kupangua wakiona Putin yupo kimya. Tulishawazoea tangu watuambie operation ya 72 hrs only na leo tupo mwezi wa kumi
 
Back
Top Bottom