- Thread starter
- #21
Inaweza kuwa kinyume chake ndio maana nawatahadharisha , Uto ni average team.Yanga atapiga Ntu,zaidi ya kipigo cha Mwarabu,ila kolo atachezea virungu vya ugoko vipatavyo 8😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaweza kuwa kinyume chake ndio maana nawatahadharisha , Uto ni average team.Yanga atapiga Ntu,zaidi ya kipigo cha Mwarabu,ila kolo atachezea virungu vya ugoko vipatavyo 8😅
Dua la MWEWE...Jinsi wanavyojiona ni timu tishio kisa tu walimfunga simba kwa kubahatisha goli 5-1 , hawa watatolewa kirahisi sana na Mamelod.
Kwa mkapa watapigwa 3-1 na kule south watapiwa kama walivyopigwa na CRB plus goli 1.
Wao wanafikiri mfano wakikutana na simba nusu itakuwa ni rahisi kuitoa simba. Wanaamini kila siku ni jumamosi. Nawaambia hivi mfano wakikutana na simba nusu fainal wanaweza kupewa kipigo na wasiamini.
Kwa hatua ya robo fainal uto ndie underdog kuliko timu zote zilizofuzu .
Punguza makasiriko huo ni utabiri na inaweza ikawa kweli.Mtaje aliyekupa mimba, bwege wewe
With this English...you must be on a white collar job.It is better to shut your mouth and let people suspect you are a moron than open it and remove all doubt.
Tia neno Mbumbumbu mkuuKUTOKANA NA MRMBERS KAMA HAWA.....
JF INAZIDI KUPOTEZA MVUTO...
Ila ya Yanga wenye akili wawili hiyo kauli manara ataonekana shujaa mpaka dunia inaishaMbumbumbu wapo wanashangilia draw
Ukiyaona yanavo furahi utadhani yenyewe hayana mechi
Mnadhani Ahly ni tawi lenu kama Tabora United
Nitamheshimu milele Rage aiyewaita mbumbumbu
Mbumbumbu kwenye ujinga wakoJinsi wanavyojiona ni timu tishio kisa tu walimfunga simba kwa kubahatisha goli 5-1 , hawa watatolewa kirahisi sana na Mamelod.
Kwa mkapa watapigwa 3-1 na kule south watapiwa kama walivyopigwa na CRB plus goli 1.
Wao wanafikiri mfano wakikutana na simba nusu itakuwa ni rahisi kuitoa simba. Wanaamini kila siku ni jumamosi. Nawaambia hivi mfano wakikutana na simba nusu fainal wanaweza kupewa kipigo na wasiamini.
Kwa hatua ya robo fainal uto ndie underdog kuliko timu zote zilizofuzu .
Huu ni utabiri na inaweza kuwa kweli.KUTOKANA NA MRMBERS KAMA HAWA.....
JF INAZIDI KUPOTEZA MVUTO...
Usije ukaikimbia post yakoJinsi wanavyojiona ni timu tishio kisa tu walimfunga simba kwa kubahatisha goli 5-1 , hawa watatolewa kirahisi sana na Mamelod.
Kwa mkapa watapigwa 3-1 na kule south watapiwa kama walivyopigwa na CRB plus goli 1.
Wao wanafikiri mfano wakikutana na simba nusu itakuwa ni rahisi kuitoa simba. Wanaamini kila siku ni jumamosi. Nawaambia hivi mfano wakikutana na simba nusu fainal wanaweza kupewa kipigo na wasiamini.
Kwa hatua ya robo fainal uto ndie underdog kuliko timu zote zilizofuzu .
Huu ni utabiri na inaweza kuwa kweli. Al Ahly aliwahi kufungwa 5 na Mamelod. Kutabiriwa Uto kufungwa jumla ya 7-1 Kwa nini uone maajabu?
Wameisahau mechi Yao kuchwa kutwa wapo na YangaMbumbumbu wapo wanashangilia draw
Ukiyaona yanavo furahi utadhani yenyewe hayana mechi
Mnadhani Ahly ni tawi lenu kama Tabora United
Nitamheshimu milele Rage aiyewaita mbumbumbu
Haya ni mataahiraWameisahau mechi Yao kuchwa kutwa wapo na Yanga
We kolo a.k.a ngada FC a.k.a mbumbumbu FC, utakufa mdomo wazi utupe tabu kukufumba..!! Haya itunze hii..!!Jinsi wanavyojiona ni timu tishio kisa tu walimfunga simba kwa kubahatisha goli 5-1 , hawa watatolewa kirahisi sana na Mamelod.
Kwa mkapa watapigwa 3-1 na kule south watapiwa kama walivyopigwa na CRB plus goli 1.
Wao wanafikiri mfano wakikutana na simba nusu itakuwa ni rahisi kuitoa simba. Wanaamini kila siku ni jumamosi. Nawaambia hivi mfano wakikutana na simba nusu fainal wanaweza kupewa kipigo na wasiamini.
Kwa hatua ya robo fainal uto ndie underdog kuliko timu zote zilizofuzu .