Natabiri Yanga kutolewa na Mamelodi kwa jumla ya Magoli 7-1

Natabiri Yanga kutolewa na Mamelodi kwa jumla ya Magoli 7-1

Jinsi wanavyojiona ni timu tishio kisa tu walimfunga simba kwa kubahatisha goli 5-1 , hawa watatolewa kirahisi sana na Mamelod.
Kwa mkapa watapigwa 3-1 na kule south watapiwa kama walivyopigwa na CRB plus goli 1.

Wao wanafikiri mfano wakikutana na simba nusu itakuwa ni rahisi kuitoa simba. Wanaamini kila siku ni jumamosi. Nawaambia hivi mfano wakikutana na simba nusu fainal wanaweza kupewa kipigo na wasiamini.

Kwa hatua ya robo fainal uto ndie underdog kuliko timu zote zilizofuzu .
Dua la MWEWE...
 
Mbumbumbu wapo wanashangilia draw
Ukiyaona yanavo furahi utadhani yenyewe hayana mechi
Mnadhani Ahly ni tawi lenu kama Tabora United

Nitamheshimu milele Rage aiyewaita mbumbumbu
Ila ya Yanga wenye akili wawili hiyo kauli manara ataonekana shujaa mpaka dunia inaisha
 
Mimi Simba ila hii mechi Yanga wanaweza wakaja na suprise, hata Mamelodi akipita atakuwa kama kuku aliyejiokoa kwa mbweha amenyonyoka manyoya.

Jamani Yanga Simba mbaya kihivo,inaweza ikatokea Simba akamtoa Al Ahly na Yanga akimtoa Mamelodi.
 
Jinsi wanavyojiona ni timu tishio kisa tu walimfunga simba kwa kubahatisha goli 5-1 , hawa watatolewa kirahisi sana na Mamelod.
Kwa mkapa watapigwa 3-1 na kule south watapiwa kama walivyopigwa na CRB plus goli 1.

Wao wanafikiri mfano wakikutana na simba nusu itakuwa ni rahisi kuitoa simba. Wanaamini kila siku ni jumamosi. Nawaambia hivi mfano wakikutana na simba nusu fainal wanaweza kupewa kipigo na wasiamini.

Kwa hatua ya robo fainal uto ndie underdog kuliko timu zote zilizofuzu .
Mbumbumbu kwenye ujinga wako

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Jinsi wanavyojiona ni timu tishio kisa tu walimfunga simba kwa kubahatisha goli 5-1 , hawa watatolewa kirahisi sana na Mamelod.
Kwa mkapa watapigwa 3-1 na kule south watapiwa kama walivyopigwa na CRB plus goli 1.

Wao wanafikiri mfano wakikutana na simba nusu itakuwa ni rahisi kuitoa simba. Wanaamini kila siku ni jumamosi. Nawaambia hivi mfano wakikutana na simba nusu fainal wanaweza kupewa kipigo na wasiamini.

Kwa hatua ya robo fainal uto ndie underdog kuliko timu zote zilizofuzu .
Usije ukaikimbia post yako
 
Mbumbumbu wapo wanashangilia draw
Ukiyaona yanavo furahi utadhani yenyewe hayana mechi
Mnadhani Ahly ni tawi lenu kama Tabora United

Nitamheshimu milele Rage aiyewaita mbumbumbu
Wameisahau mechi Yao kuchwa kutwa wapo na Yanga
 
Tatizo kubwa la mentality za mashabiki wa hizi timu za kariakoo ni kutopenda kukubali uwezo wa mpinzani wako,last season Yanga ilidharauliwa mnoo kwenye competition iliyokuwa inaendelea hakuna aliyewaza watafika mpaka final kila hatua wanayoingia mashabiki wanasema hapa ndy mwisho wenu,baada ya kufika fainali wakageuza maneno hilo ni kombe la walioshindwa njooni huku kwa wanaume[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mungu sio mnafki wakapangwa kwenye group gumu la mabingwa watupu kwenye nchi zao kila mmoja akasema yake hamtoboi mwisho wanaume wapo quarter final sasa Wimbo ni mmoja tu hamtoboi[emoji2369]wanasahau kuwa hata wao wamepewa giant mwingine sijui sisi mashabiki wa timu za kariakoo tunatatizo gani?

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Jinsi wanavyojiona ni timu tishio kisa tu walimfunga simba kwa kubahatisha goli 5-1 , hawa watatolewa kirahisi sana na Mamelod.
Kwa mkapa watapigwa 3-1 na kule south watapiwa kama walivyopigwa na CRB plus goli 1.

Wao wanafikiri mfano wakikutana na simba nusu itakuwa ni rahisi kuitoa simba. Wanaamini kila siku ni jumamosi. Nawaambia hivi mfano wakikutana na simba nusu fainal wanaweza kupewa kipigo na wasiamini.

Kwa hatua ya robo fainal uto ndie underdog kuliko timu zote zilizofuzu .
We kolo a.k.a ngada FC a.k.a mbumbumbu FC, utakufa mdomo wazi utupe tabu kukufumba..!! Haya itunze hii..!!
 
Back
Top Bottom