Natabiri Yanga kutolewa na Mamelodi kwa jumla ya Magoli 7-1

Natabiri Yanga kutolewa na Mamelodi kwa jumla ya Magoli 7-1

Tatizo kubwa la mentality za mashabiki wa hizi timu za kariakoo ni kutopenda kukubali uwezo wa mpinzani wako,last season Yanga ilidharauliwa mnoo kwenye competition iliyokuwa inaendelea hakuna aliyewaza watafika mpaka final kila hatua wanayoingia mashabiki wanasema hapa ndy mwisho wenu,baada ya kufika fainali wakageuza maneno hilo ni kombe la walioshindwa njooni huku kwa wanaume[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mungu sio mnafki wakapangwa kwenye group gumu la mabingwa watupu kwenye nchi zao kila mmoja akasema yake hamtoboi mwisho wanaume wapo quarter final sasa Wimbo ni mmoja tu hamtoboi[emoji2369]wanasahau kuwa hata wao wamepewa giant mwingine sijui sisi mashabiki wa timu za kariakoo tunatatizo gani?

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Maneno "HAPA NDIYO MWISHO WENU" waliyatamka kuanzia mwanzo hadi kwenye fainali..!!! Yaani maneno yao nayo yaliingia fainali..!!
 
Tatizo kubwa la mentality za mashabiki wa hizi timu za kariakoo ni kutopenda kukubali uwezo wa mpinzani wako,last season Yanga ilidharauliwa mnoo kwenye competition iliyokuwa inaendelea hakuna aliyewaza watafika mpaka final kila hatua wanayoingia mashabiki wanasema hapa ndy mwisho wenu,baada ya kufika fainali wakageuza maneno hilo ni kombe la walioshindwa njooni huku kwa wanaume[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mungu sio mnafki wakapangwa kwenye group gumu la mabingwa watupu kwenye nchi zao kila mmoja akasema yake hamtoboi mwisho wanaume wapo quarter final sasa Wimbo ni mmoja tu hamtoboi[emoji2369]wanasahau kuwa hata wao wamepewa giant mwingine sijui sisi mashabiki wa timu za kariakoo tunatatizo gani?

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Wanakosa vichaka vya kujifichiamo,aahaa
 
Hua nnajiuliza swali sipati jibu
Hivi inakuaje mtu anaanzisha nyuzi za namna hi?
Mwisho mzikimbie wenyewe
Mkuu mpira ni dk 90!
 
Hua nnajiuliza swali sipati jibu
Hivi inakuaje mtu anaanzisha nyuzi za namna hi?
Mwisho mzikimbie wenyewe
Mkuu mpira ni dk 90!
Ndio mpira ni dakika 90 na Ndio maana nimeandika 'natabiri', inaweza ikawa kama nilivyotabiri au magoli yakapungua kidogo au kuongezeka kidogo. Watu wazima mnashindwa kuelewa neno 'natabiri' kisa tu utabiri upo against mnavyotaka. Eleweni neno 'natabiri' na sio dhambi kuitabiria yanga kuwa itafungwa hata wachambuzi pale DSTV huwa wanatabiri kabla ya mechi.
 
Back
Top Bottom