vvvv
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 406
- 717
Hatuna huo upuuzi wa dezo ,dezo dezo ni dalili za kutatuliwa marindaNa nyie mkaingizwe bure ili ili rekodi yenu itambulike.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuna huo upuuzi wa dezo ,dezo dezo ni dalili za kutatuliwa marindaNa nyie mkaingizwe bure ili ili rekodi yenu itambulike.
Ndugu mbumbu soka si mchezo wa matajiri na ndio maana ata wachezji wake wengi 80% ni tabaka la kati na maskini.Unakua mpumbavu..kwamba utopolo hamjazi uwanja halafu hapo.hapo mnajinasibu kushikilia rekodi ya kuingiza mashabiki wengi..hii akili matope...
Semeni.ukwel tu mashabik.wengi aina yako ambao ndio mko wengi ni WALALAHOI, MAKAPUKU, kelele na porojo mnaziweza kwenye vijiwe tena hapo mmekaa.juani hata hamjui kula yenu huku mnamtukana Clotus Chama anayepokea milioni 40 kwa mwezi kama mshahara huku mkimpapatikia Pakuma zuazua ambaye maskin ya Mungu hata elfu mbili hajawahi kuwapa, kununua jezi hamuwezi, kadi ya uwanachsma.hamna, yani ni USELESS FANS...
Una msongo wa mawazo kubali kataa ukweli ndio huoUnakua mpumbavu..kwamba utopolo hamjazi uwanja halafu hapo.hapo mnajinasibu kushikilia rekodi ya kuingiza mashabiki wengi..hii akili matope...
Semeni.ukwel tu mashabik.wengi aina yako ambao ndio mko wengi ni WALALAHOI, MAKAPUKU, kelele na porojo mnaziweza kwenye vijiwe tena hapo mmekaa.juani hata hamjui kula yenu huku mnamtukana Clotus Chama anayepokea milioni 40 kwa mwezi kama mshahara huku mkimpapatikia Pakuma zuazua ambaye maskin ya Mungu hata elfu mbili hajawahi kuwapa, kununua jezi hamuwezi, kadi ya uwanachsma.hamna, yani ni USELESS FANS...
Shabiki wa simba ukipiga ramli yaan unajitekenya huku unachekaLabda kwenye TV
Angalia hapoAlafu wanasema uwanja wa watu 20,000 hauwatoshi Hersi alete uwanja wa watu 60,000 kama Mkapa
Sasa hapa boss na wewe ni shabiki kwa style yako. Maana kila uzi unapost hili suala. Ina maana muda wa kufuatilia upumbavu wa mashabiki unao.UKISHABIKIA SANA SIMBA NA YANGA AKILI ZA KICHWANI ZINAONDOKA. UNAANZA KUWA MPUMBAVU AUTOMATICALLY.
Vijana msipoteze muda na mambo ya usimba na uyanga.
Nimemaliza.
Naomba utabiri mechi mbili za leo (correct score) ili nisiwe na shaka na utabiri wakoKama kawaida sisi mashabiki wa Yanga sio watu wa kwenda uwanjani ni wazuri wa kelele barabarani na kwenye vijiwe.
Wakati wenzetu Simba wakijaza uwanja kama kawaida yao sisi hatutajaza na tutakuja na visingizio kibao na lawama kwa uongozi.
Daima mbele nyuma mwiko.
Yanga ina washabiki wengi kuliko Simba by far.Ratio ya mashabiki wa simba ni kubwa kulinganisha na wa yanga.
Simba ndio timu yenye fans wengi zaidi,ndio maana suala la kujaza uwanja kwao ni rahisi sana
Wasipohudhuria, yanga wategemee mvua ya magoli. Mkono ni machacheUko sahihi kabisa. Inawezekana mechi mbili za Yanga na Mamelodi ndiyo zitakuwa na mahudhurio machache zaidi katika mzunguko wa robo fainali.
Ratio ya mashabiki inapatikana vipi, bwashee? Au unajiandikia andikia tuRatio ya mashabiki wa simba ni kubwa kulinganisha na wa yanga.
Simba ndio timu yenye fans wengi zaidi,ndio maana suala la kujaza uwanja kwao ni rahisi sana
MaudhulioSio uchawi ni fact. Sisi Yanga tunatia aibu kwenye maudhulio uwanjani haswa game muhimu.
Sijiandikii tu bwashee, nimetumia reference ya social media,simba inafollowers wengi kuliko yanga, hii inatosha kwa kiasi fulani kuthibitisha kwamba simba kwa upande wa fan base wapo vizuri kulinganisha na 🐸Ratio ya mashabiki inapatikana vipi, bwashee? Au unajiandikia andikia tu
Followers sio mashabiki tumia akili mimi nme follow pages nyingi ambazo sio shabiki wa timu hizolSijiandikii tu bwashee, nimetumia reference ya social media,simba inafollowers wengi kuliko yanga, hii inatosha kwa kiasi fulani kuthibitisha kwamba simba kwa upande wa fan base wapo vizuri kulinganisha na [emoji196]
nakuunga mkonoUKISHABIKIA SANA SIMBA NA YANGA AKILI ZA KICHWANI ZINAONDOKA. UNAANZA KUWA MPUMBAVU AUTOMATICALLY.
Vijana msipoteze muda na mambo ya usimba na uyanga.
Nimemaliza.
Acha ujinga mkuu,unadhani kwanini simba ina followers wengi kuliko yanga?Followers sio mashabiki tumia akili mimi nme follow pages nyingi ambazo sio shabiki wa timu hizol