Natafakari nini cha kumfanya...

Natafakari nini cha kumfanya...

Lugha ya mjini wewe ni danga huna zaidi ya hilonau zamani buzi la kuchunwa
 
Habari wanaJF, nitajitaidi kufupisha japo mambo ni mengi sana.

Mwaka jana mwezi wa saba nilifanikiwa kupata mtoto mmoja wa kule milimani akiwa sehemu yake ya kazi akiwa na jiko sehemu flani beach kwa upande wa juu,kiukweli yule binti nirembo sana na yuko very smart and manipulator mzuri sana, mapenzi yalianza kwa mbwebwe mpaka nyumba kwetu na kwao plus mtoto wake na mzazi wake kunijua mambo yalianza kubadilika kidogo kidogo mara ataki Twende wote sehemu mara mawasiliano anachoka sana mpaka awe free by that time nimeshazama mazima, alinichezea mind game moja hatari kuniaminisha she is very innocent na hofu ya Mungu basi nikalibeba ilo lakini chini ya kapeti nasikia story za mtaani kuna jamaa mmoja wa beach flani naye anapiga na wanaonekana nikiuliza nakatiliwa so nikasema sio kesi maisha yaendelee.

This year January akiwa kwao uko milimani siku ya new year nikapewa block moja ya watsap na call nikarudiwa na sababu ya kuwa kuna msiba kwao hakuwa sawa lakini cha ajabu hakujua natumia simu nyingine kuview status zake akiwa anajiachia mahotelini and so ikaenda nikablockiwa tena this time nikaambiwa simu imekufa tukawa tunawasiliana kwa simu yake nyingine up to date, kuna ahadi nilimpa kwa kweli imekuwa kama fimbo na imeonyesha yuko interest ya iyo ahadi kuliko ata mimi muhusika nilichofanya nikawa natoa kidogo kidogo, inafika mda iyo simu nyingine nayo inazimwa pia kwaiyo imekuwa vurugu kabsa ndani ya moyo.Mda wote huu mimi ndio nilikuwa na sponsor kila kitu mtaji, pocket money, hela ya kula nyumbani, kodi ata ada ya mtoto na vitu vinge vidogo vidogo.

Maswali ninayo mengi sana kichwani kosa langu liko wapi na mbona hakuwa muwazi toka mwanzo nipite nisepe zangu i dedicated my self kwenye hayo mahusiano kujua nimepata mke bora kabsa nimejikuta nimeingia kwenye madeni yasio na misingi yote kujaribu kumridhisha.Sio kwamba nimekosa mwanamke wakunipenda au sina muonekano ila nimeamua kutulia naye tuanze maisha kwa kweli haya mambo yasikieni kwa mwenzako nimepoteza kilo za kutosha nimejikuta nimetumia zaidi ya 10M ndani ya miezi 6.Nimegombana na washkaji na ndugu sababu yake nikiamini hawamjui vzuri lakn makucha yake nimekuja kuona mwisho.

Wanajf naombeni mnipe muongozo kwenu nimeingiwa na chuki sana sijawai mfanyia mtu baya lakini this time am ready ata kuroga,kama mtu akuwa na huruma na utu juu yako unakuwa kuwaje na huruma kwake,nimejikuta natafakari mengi sana labda ndio tabia yake kucheza na hisia za watu nakuamia kwa mwingine kwa sababu kwa sasa nimemwambia sina kitu ameamua kukaa kimya na simu inazimwa mda mwingine, kuna mtu kaingia mkenge tena nadhani sasa huyu kawa janga la taifa inaweza mkuta mdogo wako au ndugu yako tusitumie jazba wala matusi,i admit she caught me off guard kabisa with the ability she as ni tatizo.
Mkuu naona kuna mahali umeuliza kosa lako nini.....kosa lako ni moja tu mkuu HAKUPENDI hilo ndo kosa lako kubwa sanaaaa
 
Brother 10M+ sio masihara kwa week nilikuwa na tuma 50k at least mara 4 au 3 bado plus ada, vitu vyakula ndani, mtaji,furnitures plus vingi na vingi but in all yani vyote ivo hajaviona yani kweli wanawake ni watu wa ajabu sana kuna mda nilimkodishia gari miezi mitatu nalipa, siku anashida ya hela ya kula nilibidi niweke bond simu kwa masaa machache ili nitume hela ya kununua vitu leo unaniambia nisimfanye kitu kweli?
Daaah mwanangu unakosea sana usirudie tena huu upuuzi ndugu yangu kumpenda sana mwanamke na kujitoa aimaanish ndo anakupenda sana jifunze kufanya vitu kwa kiasi
 
Nakubaliana na wewe kabsa sema niko kwenye kipindi kigumu sana cha kujiuliza kosa liko wapi au hawa viumbe ndio walivo hivi au nimekosea chaguo.
1. Mwanamke yeyote ambaye shida ndiyo iliyomleta kwako, huyo usimuamini kuwa ni wako milele, kaa nae chonjo.

2. Mwanamke yeyote ambaye pesa ndiyo ushawishi mkubwa kwake, yaani anakuona mwanaume pale tu unapomtumia pesa na huo muda ndio anaokupenda zaidi ila ukikosa pesa tu kidogo anabadilika na hakupendi wala kukutia moyo hata kwa kuonyesha kujali hali yako kwa wakati huo ambao huna, huyo naye kaa naye makini.


3. Mwanaume ukiona mwanamke huelewi matendo yake na hakuweki wazi kwa maamuzi baadhi anayofanya, jiongeze acha kupoteza muda.

4. Mapenzi ya kukutana mjini na kujuana miezi mitatu, sita au mwaka tu kisha kuanza kuaminiana na kupanga ndoa, huko ni kudanganyana kama hujajiandaa kustahimili matukio mazito.

5. Usimuamini mwanamke kiasi cha hisia zako kuingia kwa asilimia 100, yaani namaanisha wewe mwanaume achana na masuala ya kupenda kwa moyo, wewe unapaswa kupenda kwa akili. Siyo mwanaume unapenda mpaka unakuwa mtu wa kuendeshwa, onyesha uanaume wako kwa kutotoa mwanya wa hisia zako kutawaliwa. Kiongozi lazima kutumia akili na hisia kiasi, siyo kwa asilimia 100 unatumia hisia kufanya maamuzi, utaumia.


6. Naomba kusisitiza hili mwanaume acha kutanguliza pesa na kutoatoa vitu hovyo kwa mwanamke. Wanawake hawa wana akili sana tu ukionekana wewe mapenzi yako yanalindwa na fedha basi atakutumia vilivyo, jenga mazingira ya mwanamke kukupenda kiuhalisia na siyo kwa kupitia pesa na sina maana ya usimpe, hapana ila USIENDEKEZE.

Miezi 6 umepoteza 10M mwamba hukushtuka kuelewa unawekeza wapi??

Mwisho ni kwamba, ebu tanguliza malengo fulani katika maisha yako na malengo hayo yawe na uzito kuliko chochote kile, kwa mfano binafsi namuomba Mungu baada ya miaka kadhaa walau nijenge nyumba za kusaidia wahitaji hata mbili tu kubwa na waweze kupata huduma zote BURE, na malengo mengine yenye kuendana na hili. Kuna wakati nikiwaza mahusiano kuniharibia baraka na alama ambayo nitaiacha hapa duniani naona mahusiano kwani kitu gani ?? Hivyo kutobabaishwa na chochote maana najua kuna ambacho naweza tengea muda na kikanipa furaha zaidi hata kuliko mahusiano hayo. Nadhani ndiyo maana wife hajawai nipandia kichwani, huwa namueleza wazi kabisa kuna ya msingi kuliko yeye na familia hivyo akizingua anakaa pembeni mda wowote watu tuache legacy za maana na kukumbukwa milele.
 
Binadamu huwa anafundishwa zaidi pale yanapomkuta,, so amini kuanzia leo utakuwa mwalimu mzuri sana kwenye huu ulingo wa malavidavi
 
Haya mambo yanaumiza sana,kama una roho ndogo unaweza kumdhuru mtu kwa namna yeyote ila ndio haina budi kuyapotezea
 
Habari wanaJF, nitajitaidi kufupisha japo mambo ni mengi sana.

Mwaka jana mwezi wa saba nilifanikiwa kupata mtoto mmoja wa kule milimani akiwa sehemu yake ya kazi akiwa na jiko sehemu flani beach kwa upande wa juu,kiukweli yule binti nirembo sana na yuko very smart and manipulator mzuri sana, mapenzi yalianza kwa mbwebwe mpaka nyumba kwetu na kwao plus mtoto wake na mzazi wake kunijua mambo yalianza kubadilika kidogo kidogo mara ataki Twende wote sehemu mara mawasiliano anachoka sana mpaka awe free by that time nimeshazama mazima, alinichezea mind game moja hatari kuniaminisha she is very innocent na hofu ya Mungu basi nikalibeba ilo lakini chini ya kapeti nasikia story za mtaani kuna jamaa mmoja wa beach flani naye anapiga na wanaonekana nikiuliza nakatiliwa so nikasema sio kesi maisha yaendelee.

This year January akiwa kwao uko milimani siku ya new year nikapewa block moja ya watsap na call nikarudiwa na sababu ya kuwa kuna msiba kwao hakuwa sawa lakini cha ajabu hakujua natumia simu nyingine kuview status zake akiwa anajiachia mahotelini and so ikaenda nikablockiwa tena this time nikaambiwa simu imekufa tukawa tunawasiliana kwa simu yake nyingine up to date, kuna ahadi nilimpa kwa kweli imekuwa kama fimbo na imeonyesha yuko interest ya iyo ahadi kuliko ata mimi muhusika nilichofanya nikawa natoa kidogo kidogo, inafika mda iyo simu nyingine nayo inazimwa pia kwaiyo imekuwa vurugu kabsa ndani ya moyo.Mda wote huu mimi ndio nilikuwa na sponsor kila kitu mtaji, pocket money, hela ya kula nyumbani, kodi ata ada ya mtoto na vitu vinge vidogo vidogo.

Maswali ninayo mengi sana kichwani kosa langu liko wapi na mbona hakuwa muwazi toka mwanzo nipite nisepe zangu i dedicated my self kwenye hayo mahusiano kujua nimepata mke bora kabsa nimejikuta nimeingia kwenye madeni yasio na misingi yote kujaribu kumridhisha.Sio kwamba nimekosa mwanamke wakunipenda au sina muonekano ila nimeamua kutulia naye tuanze maisha kwa kweli haya mambo yasikieni kwa mwenzako nimepoteza kilo za kutosha nimejikuta nimetumia zaidi ya 10M ndani ya miezi 6.Nimegombana na washkaji na ndugu sababu yake nikiamini hawamjui vzuri lakn makucha yake nimekuja kuona mwisho.

Wanajf naombeni mnipe muongozo kwenu nimeingiwa na chuki sana sijawai mfanyia mtu baya lakini this time am ready ata kuroga,kama mtu akuwa na huruma na utu juu yako unakuwa kuwaje na huruma kwake,nimejikuta natafakari mengi sana labda ndio tabia yake kucheza na hisia za watu nakuamia kwa mwingine kwa sababu kwa sasa nimemwambia sina kitu ameamua kukaa kimya na simu inazimwa mda mwingine, kuna mtu kaingia mkenge tena nadhani sasa huyu kawa janga la taifa inaweza mkuta mdogo wako au ndugu yako tusitumie jazba wala matusi,i admit she caught me off guard kabisa with the ability she as ni tatizo.
Kitakachoponya moyo wako ni kuvunja uhusiano na ukaribu na yeye.

Kwa sasa una migogoro miwili, wewe na nafsi yako, wewe na yeye yaani unajutia upendo wako kwake halafu unamchuki kwanini ulimpenda na kufanya yote kwaajili yake kitu ambacho si kosa...

Katika hali yako usifikirie kufanya kisasi bali angalia unawezaje kuponya nafsi yako, move on and break soul ties ili siku huyo binti akili ikimkaa sawa na akajirudi kwako, wewe uwe imara kumkataa...
 
Kitakachoponya moyo wako ni kuvunja uhusiano na ukaribu na yeye.

Kwa sasa una migogoro miwili, wewe na nafsi yako, wewe na yeye yaani unajutia upendo wako kwake halafu unamchuki kwanini ulimpenda na kufanya yote kwaajili yake kitu ambacho si kosa...

Katika hali yako usifikirie kufanya kisasi bali angalia unawezaje kuponya nafsi yako, move on and break soul ties ili siku huyo binti akili ikimkaa sawa na akajirudi kwako, wewe uwe imara kumkataa...
Nimeshafanya hayp maamuzi na nimemweleza kuwa alichofanya kunitumia sio ubinadamu angesema shida yake kwangu kulikp kupotezeana mda na resources,kwa jinsi alivo mjeuri akulijibu ilo so i wished her the best in life lakini atanikumbuka siku na ata kutana na mtu aliyejitoa kama mimi kwake atachezea D. U. D. U kwenda mbele tu.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Habari wanaJF, nitajitaidi kufupisha japo mambo ni mengi sana.

Mwaka jana mwezi wa saba nilifanikiwa kupata mtoto mmoja wa kule milimani akiwa sehemu yake ya kazi akiwa na jiko sehemu flani beach kwa upande wa juu,kiukweli yule binti nirembo sana na yuko very smart and manipulator mzuri sana, mapenzi yalianza kwa mbwebwe mpaka nyumba kwetu na kwao plus mtoto wake na mzazi wake kunijua mambo yalianza kubadilika kidogo kidogo mara ataki Twende wote sehemu mara mawasiliano anachoka sana mpaka awe free by that time nimeshazama mazima, alinichezea mind game moja hatari kuniaminisha she is very innocent na hofu ya Mungu basi nikalibeba ilo lakini chini ya kapeti nasikia story za mtaani kuna jamaa mmoja wa beach flani naye anapiga na wanaonekana nikiuliza nakatiliwa so nikasema sio kesi maisha yaendelee.

This year January akiwa kwao uko milimani siku ya new year nikapewa block moja ya watsap na call nikarudiwa na sababu ya kuwa kuna msiba kwao hakuwa sawa lakini cha ajabu hakujua natumia simu nyingine kuview status zake akiwa anajiachia mahotelini and so ikaenda nikablockiwa tena this time nikaambiwa simu imekufa tukawa tunawasiliana kwa simu yake nyingine up to date, kuna ahadi nilimpa kwa kweli imekuwa kama fimbo na imeonyesha yuko interest ya iyo ahadi kuliko ata mimi muhusika nilichofanya nikawa natoa kidogo kidogo, inafika mda iyo simu nyingine nayo inazimwa pia kwaiyo imekuwa vurugu kabsa ndani ya moyo.Mda wote huu mimi ndio nilikuwa na sponsor kila kitu mtaji, pocket money, hela ya kula nyumbani, kodi ata ada ya mtoto na vitu vinge vidogo vidogo.

Maswali ninayo mengi sana kichwani kosa langu liko wapi na mbona hakuwa muwazi toka mwanzo nipite nisepe zangu i dedicated my self kwenye hayo mahusiano kujua nimepata mke bora kabsa nimejikuta nimeingia kwenye madeni yasio na misingi yote kujaribu kumridhisha.Sio kwamba nimekosa mwanamke wakunipenda au sina muonekano ila nimeamua kutulia naye tuanze maisha kwa kweli haya mambo yasikieni kwa mwenzako nimepoteza kilo za kutosha nimejikuta nimetumia zaidi ya 10M ndani ya miezi 6.Nimegombana na washkaji na ndugu sababu yake nikiamini hawamjui vzuri lakn makucha yake nimekuja kuona mwisho.

Wanajf naombeni mnipe muongozo kwenu nimeingiwa na chuki sana sijawai mfanyia mtu baya lakini this time am ready ata kuroga,kama mtu akuwa na huruma na utu juu yako unakuwa kuwaje na huruma kwake,nimejikuta natafakari mengi sana labda ndio tabia yake kucheza na hisia za watu nakuamia kwa mwingine kwa sababu kwa sasa nimemwambia sina kitu ameamua kukaa kimya na simu inazimwa mda mwingine, kuna mtu kaingia mkenge tena nadhani sasa huyu kawa janga la taifa inaweza mkuta mdogo wako au ndugu yako tusitumie jazba wala matusi,i admit she caught me off guard kabisa with the ability she as ni tatizo.
Aisee!
Hebu tulia kwanza!
Haya mambo haya yasikie tu kwa mtu!
 
Nakubaliana na wewe kabsa sema niko kwenye kipindi kigumu sana cha kujiuliza kosa liko wapi au hawa viumbe ndio walivo hivi au nimekosea chaguo.
Unafikiri mtu akiamua kukufanyia mambo yake unakuwa na kosa?
Yashatukuta wengi tu,lkn hatuwezi kuhukumu wanaume,wanawake kwa kosa la mtu mmoja!
 
You may be looking on the same direction, yet differ on what you see.

Wewe unaona mapenzi kati yenu. Ila yeye anaona fursa. Hapo ni maji na mafuta broh.
 
You may be looking on the same direction, yet differ on what you see.

Wewe unaona mapenzi kati yenu. Ila yeye anaona fursa. Hapo ni maji na mafuta broh.
Well said brother, kama unavosema. I hope she gets what she deserves. Sema hawa watu ni hatari sana

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom