Natafata mume, mwenye sifa hizi

Natafata mume, mwenye sifa hizi

Mimi ni Binti mwenye umri wa miaka 30, Natafata mme, Sibagui umri Wala kabila, Karibuni Kwa mwenye kuhitaji mke aliyekamilika na anayempenda Mungu.

Atakaewahi atapewa kipaumbele

Tukutane PM
Mimi ni kijana mdogo wa miaka 38 na mwanachama wa CCM. Bila kushawishiwa wala kulazimishwa nimeamua kujitolea kuwa mumeo endapo una kadi hai ya CCM na cheti cha kidato cha nne chenye B ya Physics.
 
Back
Top Bottom