MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Mimi ni kijana mdogo wa miaka 38 na mwanachama wa CCM. Bila kushawishiwa wala kulazimishwa nimeamua kujitolea kuwa mumeo endapo una kadi hai ya CCM na cheti cha kidato cha nne chenye B ya Physics.Mimi ni Binti mwenye umri wa miaka 30, Natafata mme, Sibagui umri Wala kabila, Karibuni Kwa mwenye kuhitaji mke aliyekamilika na anayempenda Mungu.
Atakaewahi atapewa kipaumbele
Tukutane PM