Yuroo yust
Member
- May 14, 2017
- 20
- 33
niamatumian yangu wote wazima nami namshukuru MUNGU kwa yote
ndugu zangu kwa majina naitwa yusuph wambura. napatikana dar
kilicho nisukuma mimi mpaka kufikia hatua ya kuvunja ukimya wangu n matatizo yalionipata mimi na kuamua ni kheri nitumie njia hii kuwafikia watu pengine naweza nikapata msaada
mimi natafta kazi ya kuajiriwa
kikubwa iwe kaz inayo ruhusiwa katika jamii
kwa upande wa elimu sikufanikiwa kumaliza kidato cha nne kutoka na sabab za kifamilia.
kwaio ndugu zanguni naomba tujuzane nipo tayari
ata iwe mbali ntauuza nilicho nacho nifike kikubwa nifanye kaz asanteni
kwa mawasiliano
+255755458754
whatsup
kwa mawasiliano kawaida natumia halotel
+255616872024
ndugu zangu kwa majina naitwa yusuph wambura. napatikana dar
kilicho nisukuma mimi mpaka kufikia hatua ya kuvunja ukimya wangu n matatizo yalionipata mimi na kuamua ni kheri nitumie njia hii kuwafikia watu pengine naweza nikapata msaada
mimi natafta kazi ya kuajiriwa
kikubwa iwe kaz inayo ruhusiwa katika jamii
kwa upande wa elimu sikufanikiwa kumaliza kidato cha nne kutoka na sabab za kifamilia.
kwaio ndugu zanguni naomba tujuzane nipo tayari
ata iwe mbali ntauuza nilicho nacho nifike kikubwa nifanye kaz asanteni
kwa mawasiliano
+255755458754
whatsup
kwa mawasiliano kawaida natumia halotel
+255616872024